Viip mmeulizwa maswali ganii uko?Mungu atasaidia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Viip mmeulizwa maswali ganii uko?Mungu atasaidia
😂😂😂😂 Hatari MkuuGoogle makosa mabali mbali
Hachaa basiiiiHuku Mbeya mujibu wa sheria wamepigwa chini
Mkuu vipi usaili ulikuaje?Ndio mkuu
Ila kwenye usaili walikuja?Huku Mbeya mujibu wa sheria wamepigwa chini
Majibu wametoa hapo hapo?Huku Mbeya mujibu wa sheria wamepigwa chini
Usaili ulikua wa kawaida,sema utashangaa wanatema watu kibao.Mkuu vipi usaili ulikuaje?
Maswali yalikuaje?Usaili ulikua wa kawaida,sema utashangaa wanatema watu kibao.
maswali mengi yalikua ni personalMaswali yalikuaje?
Kivipmaswali mengi yalikua ni personal
Mfano?maswali mengi yalikua ni personal
Sio mbeya tu kote😂😂Huku Mbeya mujibu wa sheria wamepigwa chini
Kwa ngazi ya kidato cha nne, wamewapiga chini mujibu wa sheriaSio mbeya tu kote[emoji23][emoji23]
Eeh mkuuKwa ngazi ya kidato cha nne, wamewapiga chini mujibu wa sheria
Mi nikajua ni Mbeya tuu kumbe ni kote asee, na wahuni wamekaa kimya daa [emoji23][emoji23][emoji23]Eeh mkuu
Kwani mbeya ilikuaje? Waliitwa usaili?😂😂Mi nikajua ni Mbeya tuu kumbe ni kote asee, na wahuni wamekaa kimya daa [emoji23][emoji23][emoji23]
Yap waliitaKwani mbeya ilikuaje? Waliitwa usaili?[emoji23][emoji23]
Sema wasumbufu tu wanawaitaje watu alafu wanawakataYap waliita