- Thread starter
- #21
Mzee kwa zile post za magereza kwa walioomba kwa kutumia cheti Cha form four wameshaitwa kwenye usaili mfano pwani baadhi ya wilaya wanafanya kesho wengine kesho kutwa but mikoa mingine sijajuaForm four tayr kiaje na wanachukua weng wap umeskia nafas zile waga ni chache waga hazizid zaid ya mia5 kuna form four bado six bado wenye degree wote wameomba sema huu mwaka hawajataja idadi ya wanaoitajika lakin tarajien mwisho wa mwez pili msikalili