Usaili Jeshi la Magereza na Uhamiaji

Usaili Jeshi la Magereza na Uhamiaji

Form four tayr kiaje na wanachukua weng wap umeskia nafas zile waga ni chache waga hazizid zaid ya mia5 kuna form four bado six bado wenye degree wote wameomba sema huu mwaka hawajataja idadi ya wanaoitajika lakin tarajien mwisho wa mwez pili msikalili
Mzee kwa zile post za magereza kwa walioomba kwa kutumia cheti Cha form four wameshaitwa kwenye usaili mfano pwani baadhi ya wilaya wanafanya kesho wengine kesho kutwa but mikoa mingine sijajua
 
Hakuna kitu kama hicho mkuu huo mwezi wa pili mwishoni ni kuitwa kozi lakini kuitwa usaili ni siku yoyote kuanzia leo.
Yeaap ni kwelii hua ndo hivoo mwez wa pili mwisho ni kuripoti chuoni kwa ajili ya kozii so hapa mwanzoni mwa February tujiandae na keka la usailii Tu
 
Vinavohitajika muhimu kwenye usahili wa magereza ni nn wakuu
 
Mimi mujibu ila nimeomba kwa form four nimeambia form four wanachukua wengi,wew mujibu au wakujutolea
Mimii ni wa mujibu na nimeomba kwa Form Four Niko Shinyanga usaili ni kesho siee
 
Mpaka sasa uhamiaji bad hawajaita watu kwenye usahili so yule alosema leo tateh 1 wanatoa majina ya watakao fanya usahili ni kutulisha matango pori alafuvyaan uhamiaji had mwisho wa mwezi ndo wanatoa majin
 
Back
Top Bottom