Usaili Jeshi la Magereza na Uhamiaji

Usaili Jeshi la Magereza na Uhamiaji

Mpaka sasa uhamiaji bad hawajaita watu kwenye usahili so yule alosema leo tateh 1 wanatoa majina ya watakao fanya usahili ni kutulisha matango pori alafuvyaan uhamiaji had mwisho wa mwezi ndo wanatoa majin
Haiwezi fika mwisho wa mwezi ndo watoe majina huo muda unaousemea wa pili mwishoni mpaka Watatu mwanzoni ni muda wa kozi kichakamiba Tanga. Angalia details za nyuma za uhamiaji wa pili mwanzoni lazima watoe majina ya usaili.
 
Haiwezi fika mwisho wa mwezi ndo watoe majina huo muda unaousemea wa pili mwishoni mpaka Watatu mwanzoni ni muda wa kozi kichakamiba Tanga. Angalia details za nyuma za uhamiaji wa pili mwanzoni lazima watoe majina ya usaili.
Ndo hua ilivyoo mkuu uko sahihii kabisaa
 
Segerea tulikua kama watu 105 iv ila inasemekana wanahitajika watu watano😆😆😆😆
 
Taratibu za majeshi katika kuajiri huwa chini ya maamuzi yao!! Iweni wapole!! Wanaweza kuchagua kimya kimya kwa kutumia njia zao za kuchunguza waombaji. Ndio maana lazima utambulishwe na serikali za mtaa!
 
Taratibu za majeshi katika kuajiri huwa chini ya maamuzi yao!! Iweni wapole!! Wanaweza kuchagua kimya kimya kwa kutumia njia zao za kuchunguza waombaji. Ndio maana lazima utambulishwe na serikali za mtaa!
Hahaha sawasaw
 
Back
Top Bottom