carnage21
JF-Expert Member
- Jan 24, 2023
- 591
- 1,382
Mujibu wapo wengi tuMkuu vipii wale wa mujibu nao wameitwa hapo ? Kama wapo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mujibu wapo wengi tuMkuu vipii wale wa mujibu nao wameitwa hapo ? Kama wapo
Sisi pale wameuliza maswali ya kawaida,ila ngazi ya wilaya kidogo ndio kutakua na maswali ya mitegomlio fanya usaili jamani tupeni maelekezo maswali ni yapi haswaa..?
Sawaa kakaa viip wanauliza maswali yapi!?Mujibu wapo wengi tu
Kumbe pale kwa ngazi ya wilaya ni bado so pale ni ipi!?Sisi pale wameuliza maswali ya kawaida,ila ngazi ya wilaya kidogo ndio kutakua na maswali ya mitego
Haiwezi fika mwisho wa mwezi ndo watoe majina huo muda unaousemea wa pili mwishoni mpaka Watatu mwanzoni ni muda wa kozi kichakamiba Tanga. Angalia details za nyuma za uhamiaji wa pili mwanzoni lazima watoe majina ya usaili.Mpaka sasa uhamiaji bad hawajaita watu kwenye usahili so yule alosema leo tateh 1 wanatoa majina ya watakao fanya usahili ni kutulisha matango pori alafuvyaan uhamiaji had mwisho wa mwezi ndo wanatoa majin
Ndo hua ilivyoo mkuu uko sahihii kabisaaHaiwezi fika mwisho wa mwezi ndo watoe majina huo muda unaousemea wa pili mwishoni mpaka Watatu mwanzoni ni muda wa kozi kichakamiba Tanga. Angalia details za nyuma za uhamiaji wa pili mwanzoni lazima watoe majina ya usaili.
Mi mwenyewe sio mtaalam sana,ila inasemekana pale wamefanya kwenye magereza tu husikaKumbe pale kwa ngazi ya wilaya ni bado so pale ni ipi!?
Sawaa mkuuMi mwenyewe sio mtaalam sana,ila inasemekana pale wamefanya kwenye magereza tu husika
Daaah😀😀😀Segerea tulikua kama watu 105 iv ila inasemekana wanahitajika watu watano😆😆😆😆
HatariDaaah😀😀😀
Kwelii ni nomaaHatari
BadoooUhamiaji hawajatoa majina wakuu ??
*****Segerea tulikua kama watu 105 iv ila inasemekana wanahitajika watu watano[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
Acha na siee Tupoee TuKumepowa
HApana mkuu nilitumiwa namba za alotuma text kanambia kesho nimpigie anicheki kama jina LipooUmrtumiwa message
Hahaha sawasawTaratibu za majeshi katika kuajiri huwa chini ya maamuzi yao!! Iweni wapole!! Wanaweza kuchagua kimya kimya kwa kutumia njia zao za kuchunguza waombaji. Ndio maana lazima utambulishwe na serikali za mtaa!