Mhhhh labdaπ€Kwa ngazi ya degree washafanya kwa engineer,IT, doctor,wahasibu na washaripoti
Lonja zako Zina mashaka madaktari tena tangazo gani uhamiaji walitaka madaktari.Kwa ngazi ya degree washafanya kwa engineer,IT, doctor,wahasibu na washaripoti
Hayo mambo yapo JW ila kwa mambo ya ndani sijajua aisee hawawezi itana kimya kimya kiasi hicho japo hizo nafasi sikuombaKwa ngazi ya degree washafanya kwa engineer,IT, doctor,wahasibu na washaripoti
Unaweza ukawa sahihi maana kwa huu ukimya wao sio kawaida kabisaMPKA MWEZI WA 3 Kwa form four na six
ππππLonja zako Zina mashaka madaktari tena tangazo gani uhamiaji walitaka madaktari.
Jama mpuuzi kweli aiseeeNilichogundua ni kwamba chenjon hana lonja yoyote yupo kuchangamsha watu kwa kuwapa mteroππππ
TUjuzee MkuuuTUNA KIKAO WAOMBAJI WOTE WAJE APA
Mbonaa ilikua kimyakimyaaTUKUTANE MWEZI 3 BYEBYE WAKUU
Ww jamaa πππTUKUTANE MWEZI 3 BYEBYE WAKUU
Ww jamaa πππ
[/QUOT
Hili jamaa ongo san nilikuwa nakufatilia mda san juzi alhamis alitumbia majina yatoka Alhamis kujamaa yake yupo kitengo cha IT kimyaKwa ngazi ya degree washafanya kwa engineer,IT, doctor,wahasibu na washaripoti
Ni noma ππππHili jamaa ongo san nilikuwa nakufatilia mda san juzi alhamis alitumbia majina yatoka Alhamis kujamaa yake yupo kitengo cha IT kimya
Juzi tena akatwambia analonja la uhamiji kapewa na jamaa yake ya uhamiaji yatatoka jana jumatatu, pia jana ikawa kimya leo
leo analeta stori watu washareport tanga [emoji38]
Acha uwongo mwamba
Ndoige atayokula hatoaminiAlafu akiyatimba anakimbia kwanza anaenda kujipanga kuja na mtero mwingineπππ
ππVip mkuu naona lonja yetu imefeli
tusubili trh za kumi na kitu hivi yanaweza kutoka auNdoige atayokula hatoamini