Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
heee kesho kunainterview ya oral kivip hawasubur majibu kwanza yatoke au ? ndo waje wafanye oralKijana wangu nilimprintia mambo ya kusoma na kumpa. Juzi nilimuuliza Tanzania ina Mikoa mingapi akanijibu 29,kuitaja akataja na Songea, Babati na Musoma[emoji28]nikamrekebisha tukapata jibu kamili,akaijua na Mikoa ya Zanzibar,nikampa CV yale aielezee tangu kazaliwa mpaka leo, nikampa desa aileze Uhamiani ni nini, majukumu yake ni yapi na core values zake ni zipi. Nashukuru yote hayo ameyakuta kama yalivyo, kesho anaenda kwenye Usaili wa Practical Uhamiaji Makao Makuu
Upo smart Sana mkuuKijana wangu nilimprintia mambo ya kusoma na kumpa. Juzi nilimuuliza Tanzania ina Mikoa mingapi akanijibu 29,kuitaja akataja na Songea, Babati na Musoma[emoji28]nikamrekebisha tukapata jibu kamili,akaijua na Mikoa ya Zanzibar,nikampa CV yale aielezee tangu kazaliwa mpaka leo, nikampa desa aileze Uhamiani ni nini, majukumu yake ni yapi na core values zake ni zipi. Nashukuru yote hayo ameyakuta kama yalivyo, kesho anaenda kwenye Usaili wa Practical Uhamiaji Makao Makuu
Usaili umeisha hakuna ORAL,wanasubiri majibu tu watakaopita waende CourseSo uhamiaji nao usahili umeisha tauari
Acha uwongo mwamba oral lazimUsaili umeisha hakuna ORAL,wanasubiri majibu tu watakaopita waende Course
Ukiitwa ORAL uje ulete ushuhuda humu NYUMBU weweAcha uwongo mwamba oral lazim
Hakuna oralUkiitwa ORAL uje ulete ushuhuda humu NYUMBU wewe
Wewe ndiye ulisema unakaribia kustaafu utumishi wa umma? Mbona kama balehe ndo inaanzaUkiitwa ORAL uje ulete ushuhuda humu NYUMBU wewe
Hivi baada ya usaili uliofanyika kuna vipimo vyovyote vinafanyika kwa wasailiwa wote
Vipimo vitafanyika kambini kwa watakaochaguliwaHivi baada ya usaili uliofanyika kuna vipimo vyovyote vinafanyika kwa wasailiwa wote?
Kama ulifanya usaili we sikilizia majibu tuuhamiaji vp uko bado ronja ??
Wao ndio wanajua ila probably ni ndani ya hizi week mbilimajibu ya waliofanya usaili uhamiaji ynatoka lin?