Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huwezi elewa maana wewe ni dr na sio teacher😀😀Umeandika nini?
maombi laki 2Usaili wa walimu Umehairishwa mpaka hapo utakapotangazwa.
Afya mpaka leo hakuna Pdf.
Je, kipi kiko nyuma ya haya?
1. Serikali haina Hela.
2. Utumishi wamelemewa.
Wewe unawaona Ma CCM yako sawa hata ongea Yao tu?? Wameishiwa mbinu wale ila tu wanalazimisha.maombi laki 2
Ajira elfu 10
Kwa idadi hiyo unafanyaje usaili kama sio mwendawazimu
Sio kweli mkuu ,unless hujui maana ya mtaala na sera, mtaala ni long plan while sera ni short plan,Kwa Sasa Bado tunatumia mtaala wa miaka ya 90+ isipokuwa Kwa mtaala ulio Anza kutumika mwaka huu tu Kwa wanafunzi wa kidato Cha kwanza na wale darasa la 1-3 tu ndo Wana mtaala mpyaya mitaala ya 2015 kurudi nyuma wakati karibia mabadiliko ya mitaala imefanyika mara mbili 2016 na sasa 2023 je huyu mwalimu utamsaili kwa kutumia mbinu zipi za 2015 au 2023? Katik hilo waliangalie kwa umakini
Kuwa na adabuMa CCM yalipanga kupiga perdiem ndefu Sana. Imagine from October 23 up to November 19 Ma CCM na Viunga vyake yanapiga Hela tu. Shame on you Roho mbaya nyie.
Yaani Nina hasira nao, imagine saa hizi nimekuwa mfanyabiashara wa madini badala ya kufanya nilichosomea. Ma CCM Mbwa nyieKuwa na adabu
KumekuchaaaSekretarieti ya Ajira katika Ofisi ya Rais Utumishi wa Umma na Utawala Bota wasitisha usaili kwa walimu uliokuwa ufanyike kati ya Oktoba na Novemba mpaka hapo watakapotangaza tena.View attachment 3128048
Hii ni kupisha uchaguzi tu mzee baada ya hapo taratibu zote zinarudi kama zilivyopangwaKilio Chenu kimesika walimu hakika jiandaeni kufutwa machozi
Uchaguzi ni tarehe 27 yaani Bado mwezi mmoja mbeleHii ni kupisha uchaguzi tu mzee baada ya hapo taratibu zote zinarudi kama zilivyopangwa
Uchaguzi unahusiana vipi na usaili, kuna kitu kipo nyuma ya hili, uchaguzi unasimamiwa na Tamisemi na usaili ni Tume ya ajira hizi ni idara mbili tofauti.Hii ni kupisha uchaguzi tu mzee baada ya hapo taratibu zote zinarudi kama zilivyopangwa