EP MEDICS COSMETICS STORE
JF-Expert Member
- Oct 18, 2015
- 2,826
- 4,593
Yeah walikuwa matapeli waleee.Watakuwa Matapeli tu, TRA hawajaongea chochote mpaka sasa. Kuhusu Multiple Applications hawakutoa angalizo/katazo.
Hapo ndio tunapo wakumbuka utumishi sasa mbali na changamoto zao.[emoji42]candidate wa tra mshachinjwa kimya kimya
[emoji16][emoji16] usikate tamaa mkuu..Pole , mimi nimeacha kabisa kufuatilia huo usaili wa TRA toka nilivyotoka Dodoma mpaka leo sijawahi kuwapigia simu wala kuangalia mkeka maana ile idadi siku ile kwenye usaili ilitosha kueleza kila kitu kuwa apa sina changu
Andaeni nauli keshokutwa account zenu status zitaanza kubadilika
Ngoja tuone mkuuAndaeni nauli keshokutwa account zenu status zitaanza kubadilika
Nauli.ya kwenda wapi? TenaAndaeni nauli keshokutwa account zenu status zitaanza kubadilika
anamaanisha dodoma nafikiriNauli.ya kwenda wapi? Tena
Huu uzi unahusu post zilizotangazwa TRA, labda anamaanisha nauli ya kuhudhuria interview tra!!!πππanamaanisha dodoma nafikiri
Si ndio dodoma mzeeHuu uzi unahusu post zilizotangazwa TRA, labda anamaanisha nauli ya kuhudhuria interview tra!!!πππ
Insha Allah iwe kheri maana kuitwa tu kwenye interview bahati hata kama utakosaAndaeni nauli keshokutwa account zenu status zitaanza kubadilika