Hayo c ya T.R.A TULIZA AKILI MKUUAsante boss, lakini mbona hayajakamilika kuna kama mimi niliomba Tax Management Assistant II,Costomer servive Officer II. Hizo hapo kwenye documents hazipo. nimeshindwa kujua kama nipo au sipo. Naomba sana mrejesho ili niwe na taarifa ndani ya Muda.
Watu ni wa moto sana 🤓Hayo c ya T.R.A TULIZA AKILI MKUU
Doh!! Kweli nimekuwa resi sana. Asante aisee,Mtaa unanichanganya sana. Yakitoka tusanuane aisee mambo yananichanganya huku.Hayo c ya T.R.A TULIZA AKILI MKUU
Pole mkuu, kam uko na connection ata ya kuloga tuka loge tuu. Maana mtiti wa TRA kupata job c wakitotoDoh!! Kweli nimekuwa resi sana. Asante aisee,Mtaa unanichanganya sana. Yakitoka tusanuane aisee mambo yananichanganya huku.
😀😀😀😀😀 Mungu atasimama na sisi. Tumetoka mbali na huko kote alikua na sisi tusimsaliti huku mwishoni. Tuwe thabiti kwenye imani.Pole mkuu, kam uko na connection ata ya kuloga tuka loge tuu. Maana mtiti wa TRA kupata job c wakitoto
Wewe ni msemaji wa hizo taasisi au ni mropokaji wa kijitolea ?Hizi ajira ni kwajili ya graduates wanaojitolea (volunteering) kwenye ofisi za TRA na wale wenye connection, nje ya hapo nafasi chache zitatolewa kwa wengine
Zamani haya mambo yalibanwa kwa chombo kimoja cha utumishi kusimamia ajira zote, sikuhizi taasisi nyingi zinajisimamia kwenye ajira
mwaka jana interview ya TRA walitumia madarasa ya udsm kufanyishia interview yao na kwa hesabu yangu nnajua udsm wamemaliza mitihani ya semister 28/02/2025 kwahyo nilijua hili watumie hayo madarasa tena itabidi waite wakati wanafunzi wamemaliza mitihani lakini mwezi wa tatu haujaisha kwani majina kutoka mpk kuitwa kufanya interview sini wiki tu sababu oral nakumbuka walifanyia mbweni,kama umeomba jiandae tu na interview wakitoa majina hakuna muda wa kutosha kujiandaa wiki moja utasoma nnMwezi wa tatu mbona ushafika nusu sas,
Daaah saw Mungu atusaidie huu mwaka uwe wa historia kwangu na wenzangmwaka jana interview ya TRA walitumia madarasa ya udsm kufanyishia interview yao na kwa hesabu yangu nnajua udsm wamemaliza mitihani ya semister 28/02/2025 kwahyo nilijua hili watumie hayo madarasa tena itabidi waite wakati wanafunzi wamemaliza mitihani lakini mwezi wa tatu haujaisha kwani majina kutoka mpk kuitwa kufanya interview sini wiki tu sababu oral nakumbuka walifanyia mbweni,kama umeomba jiandae tu na interview wakitoa majina hakuna muda wa kutosha kujiandaa wiki moja utasoma nn
AminaDaaah saw Mungu atusaidie huu mwaka uwe wa historia kwangu na wenzang
Tanzania Robbery AuthorizationUko 🔥 🔥 moto material yamekaa vzr
We unafanya kazi wapi mkuu?Mnajisumbua tu, nafasi watu washapangiwa nyie wengine mnaenda kukamilisha process tu
[emoji23][emoji23][emoji23] watu Wana uhakika kijana. Duniani hatuwez kua sawa.Nyie wajuba mshaanza kusoma mi nasubilia hadi nione jina
Shida mkuu watu Wana shida Hadi kwenye meno , hizi kazi ndio unakuta mtu ndio tegemeo lake ..mtu anaweza kupata stress kabisa akadondoka...kama waliokua wanasubiri derby na haikufanyika..Watu ni wa moto sana [emoji851]
Next week tu, pdf hilooShida mkuu watu Wana shida Hadi kwenye meno , hizi kazi ndio unakuta mtu ndio tegemeo lake ..mtu anaweza kupata stress kabisa akadondoka...kama waliokua wanasubiri derby na haikufanyika..