Next Elon Musk
Senior Member
- Dec 2, 2019
- 115
- 87
Yeqh kwel so kama ni hivyo inabidi watrain kuwa washindani kwenye industryKweli bro, freshers wengi wamesaidiwa natamani entry level jobs wazidi kuzipata lakini pia mashirika yetu yanahitaji watu wenye uwezo na ubunifu pia
Kumbuka haya mashirika yanapotoa huduma mbovu au yanapoendeshwa pasipo usimamizi thabiti. Tunaumia nchi nzima kwa sababu wote tunatoa kodi ili watu wapate mishahara
Leo hii shirika la serikali lina mtu wa ICT ila kakitu kadogo tu inabidi wachukue mtu kutoka nje au waombe consultancy, hizo gharama unadhani nani analipia kama sio mimi na wewe
Hii Ndo shida ya vijana wengi wa saivi anataka kuingia kwenye interview akutane na maswali ameshakariri toka kwenye halmashauli ya kichwa chakemtu kakosea paper anatafuta faraja
Asiyekuelewa hajitambuiAfadhali mkuu umenielewa. Wanatakiwa kuwa na aina tofauti za usaili kulingana na uzoefu wa mhusika.
Wanaita watu wenye 8+ years experience na certifications kama ITIL, Cisa, PMP etc halafu wanakuuliza terminologies ambazo hazihusiki kabisa kwenye modern IT.
Sio ukariri mkuu ni uelewa wa fani yako wewe kama ujui theoretcal material ya professional basi hautufsi. Bado practical inakuja madogo watakunyosha tuSerikali inaajiri watu waliokariri mambo na hawajui chochote katika mazingira ya kisasa ya utendaji kazi ni jambo baya.
Hawa wahitimu wapya wasiokuwa na uzoefu kabisa wanaenda kufundishwa kazi na wafanyakazi waliopo serikalini sasa hivi.
Tunafahamu jinsi utendaji wa hawa watu wetu serikalini hivyo hawa wapya watakuwa kama hao hao. Vicious cycle.
Usidhani watu wenye experience huwa hawajifunzi ila hawajifunzi ya darasani pekeeSio ukariri mkuu ni uelewa wa fani yako wewe kama ujui theoretcal material ya professional basi hautufsi. Bado practical inakuja madogo watakunyosha tu
Hahaha kusoma muhimu kwa kweliUnaweza ukawa unasema kweli mtoa na wachangiaji ila kujua terminology hata wewe unaweza zijua tu nakupa mfano mie kipindi nipo chuo Nilienda kufanya field office ya mhindi mmoja ipo karikoo yule jamaaa ana zaidi ya Miaka 10 Toka amalize chuo ila anajua terminology na definitions karibu zote alikua ananitwanga maswali mpka natamani kesho nisije ofisini na nikaona Bora tuwe tunaenda site kufunga network na CCTV camera tu labda hakutakua na maswali duh huko ndo nilikoma Sasa Akishika switch anaanza kukupa pindi Nini maana ya switch,Kuna aina ngapi za switch na ujinga mwingi tu mpka nikawa najiona Sina kitu kichwani aisee so Toka siku hiyo huwa nasoma tu nikipata mda hizi terminology ndogo ndogo na ujobless huu hata hainisumbui
Poor reasoning.. I'm out.Sio ukariri mkuu ni uelewa wa fani yako wewe kama ujui theoretcal material ya professional basi hautufsi. Bado practical inakuja madogo watakunyosha tu
Lengo hapa ni kuonesha namna nyingine wanayoweza kuitumia.Umeongea point mkuu... ila tatizo ni kwamba mfumo ndo tayari upo hivo na kubadilisha mfumo hiyo sio kazi rahisi kama kuandika uzi JF.
Hapa as an individual ni kujaribu kujibadilisha wewe mwenyewe ili uendane na mfumo.
Kama mfumo unakutaka ukariri vya darasani na sio kuwa na uzoefu.. itabidi uji tune kukariri vya darasani pindi unapoenda kwenye interview.. la sivo, utakuwa unaangukia pua kila siku halafu unakuja kulalamika kwamba wewe una uzoefu wa kutosha.
You missed the entire meaning of this post.Hii Ndo shida ya vijana wengi wa saivi anataka kuingia kwenye interview akutane na maswali ameshakariri toka kwenye halmashauli ya kichwa chake
Ndo mfumo mkuu kubadilika ni ngumu... kubaliana na hiyo hali na wewe uanze tu kukaririLengo hapa ni kuonesha namna nyingine wanayoweza kuitumia.
Kwahiyo shauri labda unadhani wafundishwe na nani sasa? Au wazungu waje?au mtu atoke burundi,congo au ghana?Actually paper naweza kufaulu. Hapa naongelea hatari ya kuajiri freshers watakaoenda kufundishwa kazi na hawa watu wetu wa serikalini ambao wote tunajua utendaji wao wa kazi.
Nyingi ya hizo kazi ni za daraja la kuingilia kazini,uzoefu sio kigezo.Ni daraja la kufundishwa kaziπππ sio kila kitu mchukulie negative, anachokiongea mtoa mada ni kweli, hakuna sehemu inayowa_favour freshers au watu ambao hawana experience kubwa kama Utumishi.
Lazima ufaulu kwanza tu ID yako yenyewe unaitwa ExpertActually paper naweza kufaulu. Hapa naongelea hatari ya kuajiri freshers watakaoenda kufundishwa kazi na hawa watu wetu wa serikalini ambao wote tunajua utendaji wao wa kazi.
Wale walioenda leo dodoma kufanya usaili wa BAKITA ...msanifu lugha na mchunguzi lugha walitoa maswali gani na mangapi?Asiyekuelewa hajitambui
Huenda bado hawajatoka, subiri wakitoka watakupa muongozoWale walioenda leo dodoma kufanya usaili wa BAKITA ...msanifu lugha na mchunguzi lugha walitoa maswali gani na mangapi?
Vipi mkuu mlifanya kwa kanda kama Waziri alivyotoa ahadi hyo?.Nimehudhuria usaili kadhaa wa utumishi kwa kazi nilizoomba kupitia ajira portal wiki hii. Ni kazi za ICT officers.
Kwenye mchujo (written interview) wanauliza maswali ambayo ni ya wanafunzi, yale maswali yanayohusisha kukariri vitu vingi na terminologies.