Hahaha nikajua unaniletea zako kama kwenye uzi fulani tulikua tunabonga kimasai kama kawa ukanipa tafsiri zako zileHahahaa ila nimeusahahu huo wimbo sijui alitoa 2002 nimeutafuta nimeukosa hata jina wala lyrics sijui.
In one of the photos (pictured) Bolt seems to give Duarte, a 20-year-old student, a kiss on the cheek while she looks into the cameraeti mwanafunzi
tizama picha ya juu yaani macho ya kilevi kabisa
AhahHaaahaa naufahamu ule uzi bana haahahaa bado nipo kwenye brash ya lugha bana.Hahaha nikajua unaniletea zako kama kwenye uzi fulani tulikua tunabonga kimasai kama kawa ukanipa tafsiri zako zile
Unaitwa Sorry,Blame it on me ,umetoka mwaka 2007
Kwa hiyo Wamarekani ndo walimfanya akaenda ku hang out na huyo mchuchu ili tu wamkamate akifanya jambo baya?kila mwaka anawakimbiza wamarekani kwenye medali, unadhani watamwacha hivihivi.. wameshindwa kumkamata na madawa ya kuongeza nguvu za misuli sasa wanatafuta chochote kile kitakachomchafua ilimradi tu kumshusha.. these white people will never leave any black man alone. LET A NIGGA BREATHE!!
acha umburura, nimezungumzia jinsi bad news ilivyotravel fast.Kwa hiyo Wamarekani ndo walimfanya akaenda ku hang out na huyo mchuchu ili tu wamkamate akifanya jambo baya?
Akili zingine bana...!!!
Hebu weka hiyo nukuu ya ulipozungumzia jinsi "bad news ilivyotravel fast".acha umburura, nimezungumzia jinsi bad news ilivyotravel fast.
mwenye macho haambiwi ona.Hebu weka hiyo nukuu ya ulipozungumzia jinsi "bad news ilivyotravel fast".
Manake mi sijaiona...
kila mwaka anawakimbiza wamarekani kwenye medali, unadhani watamwacha hivihivi..
wameshindwa kumkamata na madawa ya kuongeza nguvu za misuli sasa wanatafuta chochote kile kitakachomchafua ilimradi tu kumshusha..
these white people will never leave any black man alone. LET A NIGGA BREATHE!!
mwenye macho haambiwi ona.
huwezi kuelewa, its more than meets the eye.Ok..kila mwaka anawakimbiza Wamarekani...kwa hiyo wamemshindwa kwenye riadha na hivyo wanamska kwenye mambo mengine, siyo?
Hao Wamarekani ndo walimfanya akaenda kula raha na huyo binti?
Wamarekani ndo wameshindwa kumkamata Bolt na madawa ya kuongeza nguvu za misuli?
Vichekesho!
So it's a black and white thing now huh? Good grief!!
Ni wapi ulipozungumzia habari kuenea kwa kasi?
Hapo juu nimenukuu karibu mstari kwa mstari bandiko lako unalowalaumu Wamarekani na Wazungu!
Wapi ulipozungumzia kasi ya habari?
huwezi kuelewa, its more meets the eye.
Ni shangingi lakini labda lipo Shule....nadhani cheo cha Uanafunzi hakina mpaka.Huyo mwanafunzi?, wewe mzee unaangalia vizuri?, hilo li shangingi kabisa lilozoea
typical clown.. thinking everything is funny.Hahaaaa typical blackie...just blame whitey for everything!
typical clown.. thinking everything is funny.