Usain Bolt haamini macho yake baada ya kushindwa

Hivi ulikuwa unaangalia picha tu au ulikuwa unasikiliza
I thought you are better than this
Naona imekuwa ligi sasa
Hebu mzee tuyaache
 
Hata Tundu Lisu, ingawa unakwepa kumtaja.
Tundu Lissu, Mbowe, Lipumba, Zitto, Lowassa... nani mwingine ambaye sijamtaja... Oh kumbe kuna kina Pengo, Malasusa...

Wengine tena... Magonjwa Mtambuka, Asprin.... taja wote uwajuao hakuna atakayebaki mshindi. Wote tutalazwa chini ya tani saba ya udongo hata kama tuna mamlaka gani

Cha msingi tenda wema uende zako...
 
Naona hii ni salamu kwa bwana Floyd Mayweather ,lolote lile linaweza kutokea.

Klitshko alipigwa na AJ,Pac akapigwa na Jeff Horn ,sasa sijui Conor naye atafanya maajabu.

Roho itaniuma sana kwa kweli kama mwanangu Floyd atakalishwa na haka kajamaa.
 

Mkuu wote hao sawa wapo watakao wa-replace, lakini huyo ndugu bolded red sidhani kama kutapata tokea kama yeye. Huyo ni Limited edition.
 
Ni kweli mkuu hata Lowasa inatakiwa apumzike. Nimemsikia nikiwa mdogo hadi sasa nina watoto wakubwa!!
 
Ni kweli mkuu hata Lowasa inatakiwa apumzike. Nimemsikia nikiwa mdogo hadi sasa nina watoto wakubwa!!
Hayo ni mapenzi ya Mungu. Yesu alipumzika kabla ya baba yake mlezi Yusufu. Apangaye kifo ni Mungu pekee. Kama wewe wapenda afe basi tumwachie Mungu asikie kilio chako na akutendee miujiza
 
Hayo ni mapenzi ya Mungu. Yesu alipumzika kabla ya baba yake mlezi Yusufu. Apangaye kifo ni Mungu pekee. Kama wewe wapenda afe basi tumwachie Mungu asikie kilio chako na akutendee miujiza
Nadhani wewe unajua kuandika tu lakini kusoma hujui. Wapi nimeandika kwamba Lowasa anatakiwa kufariki?
 
Kama Gatlin atakuwa katumia madawa tena basi wazo la mdau hapo chini linawezekana
 
Mkuu wote hao sawa wapo watakao wa-replace, lakini huyo ndugu bolded red sidhani kama kutapata tokea kama yeye. Huyo ni Limited edition.
Wala sikatai maadam una uhakika.... Najua una uhakika kuna atakayemreplace baba yako.
 
Thank you for the good explanation
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…