Its Pancho
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 15,966
- 26,404
Sote tunajua wazi simba hawana kocha tangu pablo kutoka real Madrid afukuzwe.
Kwa hivyo nafasi yake yupo kocha wa muda ambaye alikuwa msaidizi yaani matola.
Wakati haya yakiendelea huko yanga wanafanya usajiri wa lazarous kambole ambaye ni pendekezo la kocha nabi, kwa maana yanga wanafanyia kazi mapendekezo ya kocha wao.
Hii ni maana halisi ya uweledi katika kazi kama ambavyo mataifa mengine yanafanya, ikumbukwe kuwa kocha nabi aliletewa beki wa kushoto kutoka Uganda mustapha kiiza lakini alimkataa na uongozi ukaachana naye.
Sasa huku simba hawana kocha je mapendekezo haya ya usajiri ni kutoka kwa nani?
Wamemsajiri Moses phiri je amependekezwa na kocha gani?
Wamemsajiri victor akpan je kocha yupi amependekeza?
Hapa unakuja kugundua wazi simba kuna wizi na upigaji mkubwa sana, naanza kuamini yale mambo ya 10 percent kuna wapiga dili wengi humo.
Halafu kwa mtindo huu eti wanataka waingie fainali huko cafcl!
Utaingiaje ikiwa unao viongozi wezi na wapiga dili?
Utaingiaje ikiwa tajiri yeye ndo anasajiri bila mapendekezo ya kocha?
Utaingiaje ikiwa team ina migogoro ya ndani kwa ndani baina ya viongozi wenyewe ambao kiuhalisia wote ni wezi na wamepishana maslahi yao ya wizi?
Sawa basi tuseme matola ndo amemtaka akpan? What next then?
Halafu akija kocha mpya anapewa wachezaji hawa wa hovyo waliosajiriwa kwa madili na 10 percent eti malengo yetu ni kufika fainali! Fainali ipi hiyo?
Haya bwalya ameachwa, je ni pendekezo la nani kuwa aachwe? Kocha gani?
Vipi kocha mpya asisubiriwe kwanza kisha achague wachezaji anaowataka na wale watakaotemwa sababu yeye ndio mkufunzi wao?
Kuna harufu ya rushwa na upigaji mkubwa sana humo..! Na sio ajabu tukaambiwa pablo ametoka real Madrid kumbe ni wizi na udalali.
Simba ni klabu inayoendeshwa kizamani
Mwisho kuiga wengne wanayofanya ni sawa sio dhambi, yanga apongezwe kwa hili.
Kwa hivyo nafasi yake yupo kocha wa muda ambaye alikuwa msaidizi yaani matola.
Wakati haya yakiendelea huko yanga wanafanya usajiri wa lazarous kambole ambaye ni pendekezo la kocha nabi, kwa maana yanga wanafanyia kazi mapendekezo ya kocha wao.
Hii ni maana halisi ya uweledi katika kazi kama ambavyo mataifa mengine yanafanya, ikumbukwe kuwa kocha nabi aliletewa beki wa kushoto kutoka Uganda mustapha kiiza lakini alimkataa na uongozi ukaachana naye.
Sasa huku simba hawana kocha je mapendekezo haya ya usajiri ni kutoka kwa nani?
Wamemsajiri Moses phiri je amependekezwa na kocha gani?
Wamemsajiri victor akpan je kocha yupi amependekeza?
Hapa unakuja kugundua wazi simba kuna wizi na upigaji mkubwa sana, naanza kuamini yale mambo ya 10 percent kuna wapiga dili wengi humo.
Halafu kwa mtindo huu eti wanataka waingie fainali huko cafcl!
Utaingiaje ikiwa unao viongozi wezi na wapiga dili?
Utaingiaje ikiwa tajiri yeye ndo anasajiri bila mapendekezo ya kocha?
Utaingiaje ikiwa team ina migogoro ya ndani kwa ndani baina ya viongozi wenyewe ambao kiuhalisia wote ni wezi na wamepishana maslahi yao ya wizi?
Sawa basi tuseme matola ndo amemtaka akpan? What next then?
Halafu akija kocha mpya anapewa wachezaji hawa wa hovyo waliosajiriwa kwa madili na 10 percent eti malengo yetu ni kufika fainali! Fainali ipi hiyo?
Haya bwalya ameachwa, je ni pendekezo la nani kuwa aachwe? Kocha gani?
Vipi kocha mpya asisubiriwe kwanza kisha achague wachezaji anaowataka na wale watakaotemwa sababu yeye ndio mkufunzi wao?
Kuna harufu ya rushwa na upigaji mkubwa sana humo..! Na sio ajabu tukaambiwa pablo ametoka real Madrid kumbe ni wizi na udalali.
Simba ni klabu inayoendeshwa kizamani
Mwisho kuiga wengne wanayofanya ni sawa sio dhambi, yanga apongezwe kwa hili.