Usajili huu unaofanywa na Simba ni mapendekezo ya kocha gani? Ni uhuni na kukosa weledi, wamechanganyikiwa

Usajili huu unaofanywa na Simba ni mapendekezo ya kocha gani? Ni uhuni na kukosa weledi, wamechanganyikiwa

Sote tunajua wazi simba hawana kocha tangu pablo kutoka real Madrid afukuzwe..!

Kwa hivyo nafasi yake yupo kocha wa muda ambaye alikuwa msaidizi yaani matola..!

Wakati haya yakiendelea huko yanga wanafanya usajiri wa lazarous kambole ambaye ni pendekezo la kocha nabi, kwa maana yanga wanafanyia kazi mapendekezo ya kocha wao,

Hii ni maana halisi ya uweledi katika kazi kama ambavyo mataifa mengine yanafanya, ikumbukwe kuwa kocha nabi aliletewa beki wa kushoto kutoka Uganda mustapha kiiza lakini alimkataa na uongozi ukaachana naye...

Sasa huku simba hawana kocha je mapendekezo haya ya usajiri ni kutoka kwa nani?
Wamemsajiri Moses phiri je amependekezwa na kocha gani?

Wamemsajiri victor akpan je kocha yupi amependekeza?

Hapa unakuja kugundua wazi simba kuna wizi na upigaji mkubwa sana, naanza kuamini yale mambo ya 10 percent kuna wapiga dili wengi humo..
Halafu kwa mtindo huu eti wanataka waingie fainali huko cafcl!

Utaingiaje ikiwa unao viongozi wezi na wapiga dili?
Utaingiaje ikiwa tajiri yeye ndo anasajiri bila mapendekezo ya kocha?
Utaingiaje ikiwa team ina migogoro ya ndani kwa ndani baina ya viongozi wenyewe ambao kiuhalisia wote ni wezi na wamepishana maslahi yao ya wizi?

Sawa basi tuseme matola ndo amemtaka akpan? What next then?

Halafu akija kocha mpya anapewa wachezaji hawa wa hovyo waliosajiriwa kwa madili na 10 percent eti malengo yetu ni kufika fainali! Fainali ipi hiyo?

Haya bwalya ameachwa, je ni pendekezo la nani kuwa aachwe? Kocha gani?
Vipi kocha mpya asisubiriwe kwanza kisha achague wachezaji anaowataka na wale watakaotemwa sababu yeye ndio mkufunzi wao?

Kuna harufu ya rushwa na upigaji mkubwa sana humo..! Na sio ajabu tukaambiwa pablo ametoka real Madrid kumbe ni wizi na udalali..

Simba ni klabu inayoendeshwa kizamani

Mwisho kuiga wengne wanayofanya ni sawa sio dhambi, yanga apongezwe kwa hili.
Binafsi mimi ni shabiki wa Yanga.

Ila kwa Simba naona hawana namna zaidi ya kuendelea na usajili bila kocha. Process ya usajili ni ya muda mrefu sio siku mbili tatu. Yawezekana ni mapendekezo ya muda mrefu ya Pablo ndio wanafanyia kazi.

Mleta mada unajua mwisho wa kupeleka majina CAF ni mwezi huu? Wasubirie kocha mpya wakati naye bado wanamtafuta? Hata akija na ligi inaenda mwisho ataweza kukisoma kikosi kwa muda mfupi na kuwezesha sajili?
 
Binafsi mimi ni shabiki wa Yanga.

Ila kwa Simba naona hawana namna zaidi ya kuendelea na usajili bila kocha. Process ya usajili ni ya muda mrefu sio siku mbili tatu. Yawezekana ni mapendekezo ya muda mrefu ya Pablo ndio wanafanyia kazi.

Mleta mada unajua mwisho wa kupeleka majina CAF ni mwezi huu? Wasubirie kocha mpya wakati naye bado wanamtafuta? Hata akija na ligi inaenda mwisho ataweza kukisoma kikosi kwa muda mfupi na kuwezesha sajili?
Tunajua mwisho ni tarehe 30.
Lakini hiki sio kisingizio kabisa kwa sababu kwani wameanza kufanya hivi leo tu? Wameanza Zamani sana, pablo aliwataka vipi wachezaji kati kati ya msimu wapi huko?

Tena CAF msimu huu ndio wameshtukiza tu kwamba imekuwa mapema majina kuwasilishwa simba ni wahuni.
 
Nyinyi ambao Kocha ndie anasajili na anasikilizwa kwa kila kitu mmewahi fika wapi huko Caf champions league??
Cheki huyu
Unaleta ushabiki wa vijiweni huko kwenu.
Mafanikio ni kuchukua makombe basi huko CAf simba ana kombe gani au lile la ranks?
 
Sote tunajua wazi simba hawana kocha tangu pablo kutoka real Madrid afukuzwe..!

Kwa hivyo nafasi yake yupo kocha wa muda ambaye alikuwa msaidizi yaani matola..!

Wakati haya yakiendelea huko yanga wanafanya usajiri wa lazarous kambole ambaye ni pendekezo la kocha nabi, kwa maana yanga wanafanyia kazi mapendekezo ya kocha wao,

Hii ni maana halisi ya uweledi katika kazi kama ambavyo mataifa mengine yanafanya, ikumbukwe kuwa kocha nabi aliletewa beki wa kushoto kutoka Uganda mustapha kiiza lakini alimkataa na uongozi ukaachana naye...

Sasa huku simba hawana kocha je mapendekezo haya ya usajiri ni kutoka kwa nani?
Wamemsajiri Moses phiri je amependekezwa na kocha gani?

Wamemsajiri victor akpan je kocha yupi amependekeza?

Hapa unakuja kugundua wazi simba kuna wizi na upigaji mkubwa sana, naanza kuamini yale mambo ya 10 percent kuna wapiga dili wengi humo..
Halafu kwa mtindo huu eti wanataka waingie fainali huko cafcl!

Utaingiaje ikiwa unao viongozi wezi na wapiga dili?
Utaingiaje ikiwa tajiri yeye ndo anasajiri bila mapendekezo ya kocha?
Utaingiaje ikiwa team ina migogoro ya ndani kwa ndani baina ya viongozi wenyewe ambao kiuhalisia wote ni wezi na wamepishana maslahi yao ya wizi?

Sawa basi tuseme matola ndo amemtaka akpan? What next then?

Halafu akija kocha mpya anapewa wachezaji hawa wa hovyo waliosajiriwa kwa madili na 10 percent eti malengo yetu ni kufika fainali! Fainali ipi hiyo?

Haya bwalya ameachwa, je ni pendekezo la nani kuwa aachwe? Kocha gani?
Vipi kocha mpya asisubiriwe kwanza kisha achague wachezaji anaowataka na wale watakaotemwa sababu yeye ndio mkufunzi wao?

Kuna harufu ya rushwa na upigaji mkubwa sana humo..! Na sio ajabu tukaambiwa pablo ametoka real Madrid kumbe ni wizi na udalali..

Simba ni klabu inayoendeshwa kizamani

Mwisho kuiga wengne wanayofanya ni sawa sio dhambi, yanga apongezwe kwa hili.
Punguz huo utopolo kwanza nataka nikuulize swali je wale wachezaji waliopo ni pendekezo la kocha jibu ni hapana na je kama ni hivyo kocha mpya anapokuja afukuze wachezaji aanze upya? La hasha! Jibu ni hapana kwa hy ww kaa kwa kutulia
 
Simba wanafanya kosa lile lile walilokuwa wanafanya Yanga miaka ya nyuma. Ni kitu kiko wazi kabisa Team inatakiwa isajili kocha kisha ifuate kusajili wachezaji. Sasa unasajili wachezaji alafu kocha! Unakuwa umesajili kwa mapendekezo ya nani?

Uswahili huu uliiponza Yanga kwa miaka minne nyuma, Simba wanauiga
Ukiwaambia wanakasirika halafu kocha anaambiwa eti malengo yetu utufikishe nusu fainali CAFCL!
 
Punguz huo utopolo kwanza nataka nikuulize swali je wale wachezaji waliopo ni pendekezo la kocha jibu ni hapana na je kama ni hivyo kocha mpya anapokuja afukuze wachezaji aanze upya? La hasha!
Kiufupi hujaelewa umekurupuka team lazima iwe na wachezaji waandamizi ndo maana pale Bayern kila kocha kija anawakuta kina Muller na neuer na anaawacha..

Hujaelewa
 
Mashabiki wanashangilia kila kitu as long as timu imeamua.

Kocha akija ataambiwa ukifungwa mechi tano mfululizo tunakutimua 😃😃.

Nahisigi makocha wanakuja kufundisha timu ka hizo wanakuaga na njaa sana maana kufanikiwa sometimes huwa ni bahati na sarakasi za nje ya uwanja.
Wakija wale professional basi wataomba kuondoka wenyewe tu kwa figisu za wazawa.
Kiufupi ni Madudu matupu yanapaswa kurekebishwa kwa namna kubwa simba wwanajinasibu kwamba wao ni proffesional ,je kwa namna hii au?

Eti kocha akija anaambiwa"wachezaji wetu hawa hapa huyu mwamba wa lusaka usimnyime namba"

Pia"tunataka utufikishe CAFCL final"..!
 
Mashabiki wanashangilia kila kitu as long as timu imeamua.

Kocha akija ataambiwa ukifungwa mechi tano mfululizo tunakutimua [emoji2][emoji2].

Nahisigi makocha wanakuja kufundisha timu ka hizo wanakuaga na njaa sana maana kufanikiwa sometimes huwa ni bahati na sarakasi za nje ya uwanja.
Wakija wale professional basi wataomba kuondoka wenyewe tu kwa figisu za wazawa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Sote tunajua wazi simba hawana kocha tangu pablo kutoka real Madrid afukuzwe..!

Kwa hivyo nafasi yake yupo kocha wa muda ambaye alikuwa msaidizi yaani matola..!

Wakati haya yakiendelea huko yanga wanafanya usajiri wa lazarous kambole ambaye ni pendekezo la kocha nabi, kwa maana yanga wanafanyia kazi mapendekezo ya kocha wao,

Hii ni maana halisi ya uweledi katika kazi kama ambavyo mataifa mengine yanafanya, ikumbukwe kuwa kocha nabi aliletewa beki wa kushoto kutoka Uganda mustapha kiiza lakini alimkataa na uongozi ukaachana naye...

Sasa huku simba hawana kocha je mapendekezo haya ya usajiri ni kutoka kwa nani?
Wamemsajiri Moses phiri je amependekezwa na kocha gani?

Wamemsajiri victor akpan je kocha yupi amependekeza?

Hapa unakuja kugundua wazi simba kuna wizi na upigaji mkubwa sana, naanza kuamini yale mambo ya 10 percent kuna wapiga dili wengi humo..
Halafu kwa mtindo huu eti wanataka waingie fainali huko cafcl!

Utaingiaje ikiwa unao viongozi wezi na wapiga dili?
Utaingiaje ikiwa tajiri yeye ndo anasajiri bila mapendekezo ya kocha?
Utaingiaje ikiwa team ina migogoro ya ndani kwa ndani baina ya viongozi wenyewe ambao kiuhalisia wote ni wezi na wamepishana maslahi yao ya wizi?

Sawa basi tuseme matola ndo amemtaka akpan? What next then?

Halafu akija kocha mpya anapewa wachezaji hawa wa hovyo waliosajiriwa kwa madili na 10 percent eti malengo yetu ni kufika fainali! Fainali ipi hiyo?

Haya bwalya ameachwa, je ni pendekezo la nani kuwa aachwe? Kocha gani?
Vipi kocha mpya asisubiriwe kwanza kisha achague wachezaji anaowataka na wale watakaotemwa sababu yeye ndio mkufunzi wao?

Kuna harufu ya rushwa na upigaji mkubwa sana humo..! Na sio ajabu tukaambiwa pablo ametoka real Madrid kumbe ni wizi na udalali..

Simba ni klabu inayoendeshwa kizamani

Mwisho kuiga wengne wanayofanya ni sawa sio dhambi, yanga apongezwe kwa hili.
Kwani hao simba hawana bodi au idara ya ufundi????

Na we we ndiye mtaalamu wa soka mbona hujafafanua kuhusu wajibu wa hizo idara?? Na he miaka SSC inafanya vizuri Mani alikuwa msajili wa wachezaji???

Msijifanye wajuaje kwa kuandika utumbo wenu je uliuliza mapendekezo gani aliacha?? Na je mapendekezo yake yataendana na mfumo atakaouleta kocha mpya ??? Naomba ungejikita katika maeneo hayo yote
 
Sote tunajua wazi simba hawana kocha tangu pablo kutoka real Madrid afukuzwe..!

Kwa hivyo nafasi yake yupo kocha wa muda ambaye alikuwa msaidizi yaani matola..!

Wakati haya yakiendelea huko yanga wanafanya usajiri wa lazarous kambole ambaye ni pendekezo la kocha nabi, kwa maana yanga wanafanyia kazi mapendekezo ya kocha wao,

Hii ni maana halisi ya uweledi katika kazi kama ambavyo mataifa mengine yanafanya, ikumbukwe kuwa kocha nabi aliletewa beki wa kushoto kutoka Uganda mustapha kiiza lakini alimkataa na uongozi ukaachana naye...

Sasa huku simba hawana kocha je mapendekezo haya ya usajiri ni kutoka kwa nani?
Wamemsajiri Moses phiri je amependekezwa na kocha gani?

Wamemsajiri victor akpan je kocha yupi amependekeza?

Hapa unakuja kugundua wazi simba kuna wizi na upigaji mkubwa sana, naanza kuamini yale mambo ya 10 percent kuna wapiga dili wengi humo..
Halafu kwa mtindo huu eti wanataka waingie fainali huko cafcl!

Utaingiaje ikiwa unao viongozi wezi na wapiga dili?
Utaingiaje ikiwa tajiri yeye ndo anasajiri bila mapendekezo ya kocha?
Utaingiaje ikiwa team ina migogoro ya ndani kwa ndani baina ya viongozi wenyewe ambao kiuhalisia wote ni wezi na wamepishana maslahi yao ya wizi?

Sawa basi tuseme matola ndo amemtaka akpan? What next then?

Halafu akija kocha mpya anapewa wachezaji hawa wa hovyo waliosajiriwa kwa madili na 10 percent eti malengo yetu ni kufika fainali! Fainali ipi hiyo?

Haya bwalya ameachwa, je ni pendekezo la nani kuwa aachwe? Kocha gani?
Vipi kocha mpya asisubiriwe kwanza kisha achague wachezaji anaowataka na wale watakaotemwa sababu yeye ndio mkufunzi wao?

Kuna harufu ya rushwa na upigaji mkubwa sana humo..! Na sio ajabu tukaambiwa pablo ametoka real Madrid kumbe ni wizi na udalali..

Simba ni klabu inayoendeshwa kizamani

Mwisho kuiga wengne wanayofanya ni sawa sio dhambi, yanga apongezwe kwa hili.
Wachezaji hawasajiliwi na kocha mkuu pekee
Kuna benchi la ufundi
Timu zote ziko hivyo
 
Itoshe tu kusema Utopolo achaneni na mambo ya Simba.
 

Attachments

  • FB_IMG_1655579378566.jpg
    FB_IMG_1655579378566.jpg
    31.8 KB · Views: 4
Kiufupi ni Madudu matupu yanapaswa kurekebishwa kwa namna kubwa simba wwanajinasibu kwamba wao ni proffesional ,je kwa namna hii au?

Eti kocha akija anaambiwa"wachezaji wetu hawa hapa huyu mwamba wa lusaka usimnyime namba"

Pia"tunataka utufikishe CAFCL final"..!
Ni ngumu sana mkuu, halafu ukizingatia ni maandalizi ya mwanzo kabisa wa msimu.

Huvi wameshindwa nini kutafuta kocha kwanza.!!
 
Wakati mwingine ni sahihi Maana hawa makocha nao wakati mwingine hawaaminiki .
Yanga ilimpa mwinyi zahera mamlaka ya kusajili akaenda kuzoa hakina Kindoki , papaa molinga n.k. Matokeo yake kila mmoja anajua kilichoipata Yanga .
 
Itaje bajeti aliyopewa Nabi ya usajili ili tupime kama huo usajili ni pendekezo lake. Klabu za kibongo ikiwemo yanga yako zinaenda hivyo hivyo husishupaze sana shingo kwa simba.
 
Sote tunajua wazi simba hawana kocha tangu pablo kutoka real Madrid afukuzwe..!

Kwa hivyo nafasi yake yupo kocha wa muda ambaye alikuwa msaidizi yaani matola..!

Wakati haya yakiendelea huko yanga wanafanya usajiri wa lazarous kambole ambaye ni pendekezo la kocha nabi, kwa maana yanga wanafanyia kazi mapendekezo ya kocha wao,

Hii ni maana halisi ya uweledi katika kazi kama ambavyo mataifa mengine yanafanya, ikumbukwe kuwa kocha nabi aliletewa beki wa kushoto kutoka Uganda mustapha kiiza lakini alimkataa na uongozi ukaachana naye...

Sasa huku simba hawana kocha je mapendekezo haya ya usajiri ni kutoka kwa nani?
Wamemsajiri Moses phiri je amependekezwa na kocha gani?

Wamemsajiri victor akpan je kocha yupi amependekeza?

Hapa unakuja kugundua wazi simba kuna wizi na upigaji mkubwa sana, naanza kuamini yale mambo ya 10 percent kuna wapiga dili wengi humo..
Halafu kwa mtindo huu eti wanataka waingie fainali huko cafcl!

Utaingiaje ikiwa unao viongozi wezi na wapiga dili?
Utaingiaje ikiwa tajiri yeye ndo anasajiri bila mapendekezo ya kocha?
Utaingiaje ikiwa team ina migogoro ya ndani kwa ndani baina ya viongozi wenyewe ambao kiuhalisia wote ni wezi na wamepishana maslahi yao ya wizi?

Sawa basi tuseme matola ndo amemtaka akpan? What next then?

Halafu akija kocha mpya anapewa wachezaji hawa wa hovyo waliosajiriwa kwa madili na 10 percent eti malengo yetu ni kufika fainali! Fainali ipi hiyo?

Haya bwalya ameachwa, je ni pendekezo la nani kuwa aachwe? Kocha gani?
Vipi kocha mpya asisubiriwe kwanza kisha achague wachezaji anaowataka na wale watakaotemwa sababu yeye ndio mkufunzi wao?

Kuna harufu ya rushwa na upigaji mkubwa sana humo..! Na sio ajabu tukaambiwa pablo ametoka real Madrid kumbe ni wizi na udalali..

Simba ni klabu inayoendeshwa kizamani

Mwisho kuiga wengne wanayofanya ni sawa sio dhambi, yanga apongezwe kwa hili.
Mapendekezo ya Kocha Barbra.
 
Wakati mwingine ni sahihi Maana hawa makocha nao wakati mwingine hawaaminiki .
Yanga ilimpa mwinyi zahera mamlaka ya kusajili akaenda kuzoa hakina Kindoki , papaa molinga n.k. Matokeo yake kila mmoja anajua kilichoipata Yanga .
Nilishangaa Yanga ilipomrudisha Zahera kama Mkurugenzi wa ufundi. Usajili wa Molinga na Kindoki ulitosha kumpa mkono wa Kwa Heri daima.
 
Hizi timu mbili Simba na yanga ni Kama wanakaa meza moja kufanya mambo .
Nina wasiwasi Wana makubaliano yao kuwa wewe tawala misimu kadhaa na Mimi ntakupokea misimu kadhaa ni kama biashara fulani ivi, maana haiwezekani timu km ya Simba ambayo imefika mbali ianze kuporomoka gafla na kuja na mbinu zile zile ambazo ziliwaferisha watani zao yanga misimu kadhaaa.

Mtu lazima upate mashaka kidogo ,inawezekana vipi kwenye usajir ukaacha kusajir wachezaji wa maana na kusajir mchezaji mmoja chama na huku ukiwategemea akina nyoni ,bocco, Gadiel ,mhilu,mwanuke ,kagere ,mugalu eti wakufikishe nusu final shirikisho!!

Why makosa Yale Yale yaendelee kujirudia msimu na msimu .
Ivi hapo Simba kitengo Cha kusajir kipoje au kila kiongozi analeta mchezaji wake.

Za chini chini inasemekana matola anapambana Sana Wawa na bocco na mugalu wabakie msimu ujao maana Ana kamisheni zake toka kwa hao jamaa ,je huu ndio mpira wa kufika mbali?

Niwe mkweli tu hata msimu ujao naiona Simba ikikosa ubingwa na kufanya vibaya club bingwa maana uswahili na ubahili plus upigaji vimetawala hapo msimbazi.

Tunakosa hata nguvu za kwenda viwanjan sabab ya huu ujinga wa wazwaz.pia Simba haijifunz tu kuwa safar hii timu ni za Moto Sana Hakuna urahis hata kidogo ,Ila acha iwe hivyo nadhan viongozi wanatamani siku moja waje washikiwe mabango au kupigwa mayai viza na mashabik ndipo wataelewa uchungu na maumivu wanayopata mashabiki.

Hamna pesa semeni mashabiki wachangie ,lengo timu iwe imara tu acheni blabla

Hizi 10percent zikikomeshwa nadhani tutaenda sawa kabisa ,Kuna viongozi hapo Simba wanapaswa kuchungwa kwa jicho Kali Sana .
 
Back
Top Bottom