Chukwu emeka
JF-Expert Member
- Jan 12, 2018
- 24,314
- 38,919
Mchezaji wa Mtibwa Sugar ya mkoani Morogoro Nickson Kibabage amesaini mkataba wa miaka minne kuichezea klabu ya Difaa El Jadida ya Morocco.Kibabage anaungana na Simon Msuva katika klabu hiyo.