Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
huyu ana utofauti gan na kina Boko na Kagere! Nilijua labda simba inatafuta mchezaji mwenye criteria tofauti na waliopo!Scout wa Simba, benchi letu la ufundi, makocha wa Zambia na Congo wote wamekubaliana kwamba kama Simba inataka kupigania taji la Ubingwa wa Afrika ni lazima iwe na mshambuliaji mwenye uwezo kama Chris Mugalu. Karibu Chris ‘The Animal‘ #NguvuMoja https://t.co/fIVJKTf2xyView attachment 1539235View attachment 1539237
Criteria zipi?huyu ana utofauti gan na kina Boko na Kagere!
Nilijua labda simba inatafuta mchezaji mwenye criteria tofauti na waliopo!
Mipango ya [emoji881][emoji881][emoji881] ni kimataifa mkuuNgoja tukutane na as vita au raja Casablanca ndo tutajua makali yake sio tukutane na ruvu shooting au mbeya city, ndo mnatuambiaa mnaona makali yake.
Sent from my SM-A260F using JamiiForums mobile app
Watateseka sanaBado uwanjan tutawamaliza wallahi
Ndo nako wangoja uko sio kikombe VPL cjui 80million.Mipango ya [emoji881][emoji881][emoji881] ni kimataifa mkuu
Huwa nategemea mtu akiwa JF kidogo angeweza kutumia akili ila bado tabu ipo palepale nakosa tofauti na fb. Mchezaji hata hajawahi kumuona popote,kaangalia clips youtube ila amekuja na hitimisho. Ujinga tuCriteria zipi?
Ushawahi muona akicheza?
Wabongo ujuaji mwingi
Inasikitishha Mkuu..Huwa nategemea mtu akiwa JF kidogo angeweza kutumia akili ila bado tabu ipo palepale nakosa tofauti na fb. Mchezaji hata hajawahi kumuona popote,kaangalia clips youtube ila amekuja na hitimisho. Ujinga tu
nlikuwa Zambia, na nlikuwa nakaa jiran na uwanja wa Dynamo, hawa wachezaji nawajua vizuri, sijakurupuka kishabiki!Criteria zipi?
Ushawahi muona akicheza?
Wabongo ujuaji mwingi
Ko striker mbovu anaweza mfungaji bora? Goli 21.nlikuwa Zambia, na nlikuwa nakaa jiran na uwanja wa Dynamo, hawa wachezaji nawajua vizuri, sijakurupuka kishabiki!