Usajili Mpya Simba SC: Umakini na utulivu wa kiwango cha juu sana unahitajika

Usajili Mpya Simba SC: Umakini na utulivu wa kiwango cha juu sana unahitajika

Watatu hapana mkuu, useless player wapo wengi sana pale Simba,ukisema watatu hebu piga hesabu za kawaida tu kwa beki za kati Wawa, tairone,nyoni, Kennedy,mlipili hao wote hakuna wa afadhali labda nitamtetea mlipili hapati nafasi,haya njoo kwa beki wa kulia kapombe hatabiliki muda wote anaweza majeruhi nani mbadala wake shamte?, huwezi kumpanga shamte mbele ya mawinga wasumbufu na wazuri atakuwa uchochoro muda wote,hadi hapo watatu wameishia kwa mabeki tu,ukija kwa kiungo mkabaji mkude sio yule tunayemjua ubora na spidi vimepungua, ukija kwa striker ukimtoa Kagere ktk ufungaji magoli mengi ya Simba yamefungwa na viungo hatuna striker pale.
Dah, ngoja tuone,,

Benchi la ufundi hata siliamini,, vile kutuletea KICHUYA[emoji23],

Sijui huwa wanawaza nn ?

Ivi kweli KICHUYA?




Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wachezaji 5 wawili lazima wawe wa njee.
Hapa sijaelewa wanatakiwa wachezaji wazuri tu au ni lazima watoke njee? Je, kama haja yake inaweza timilizwa na waliopo hapa hapa kuna nini?
 
Media za Ghana zimeripoti mazungumzo yanaendelea baina ya simba na Asante Kotoko ,Simba inamchukua mchezaji mmoja kutoka Asante Kotoko

Sent using Jamii Forums mobile app
Anaweza akawa yule striker wao ana Rasta anaitwa songne kama sijakosea amekataa kuongeza mkataba huko na kuna wakati aliwahi kutakiwa na zesco na Al hilal ya Sudan,pia amewahi kuja hapa kucheza na Simba ktk Simba day ya mwaka juzi,tulipocheza na Asante kotoko.
 
Wachezaji 5 wawili lazima wawe wa njee.
Hapa sijaelewa wanatakiwa wachezaji wazuri tu au ni lazima watoke njee? Je, kama haja yake inaweza timilizwa na waliopo hapa hapa kuna nini?
Shida ipo ktk kumwaga pesa[emoji57] na huduma stahiki,


Ligi ya Africa inahitaji african player,, mambo ya wahindi sijui wabrazil sijui nn tatizo?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndo huyo huyo rasta
Anaweza akawa yule striker wao ana Rasta anaitwa songne kama sijakosea amekataa kuongeza mkataba huko na kuna wakati aliwahi kutakiwa na zesco na Al hilal ya Sudan,pia amewahi kuja hapa kucheza na Simba ktk Simba day ya mwaka juzi,tulipocheza na Asante kotoko.
FB_IMG_1585077706502.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom