Usajili Mpya Simba SC: Umakini na utulivu wa kiwango cha juu sana unahitajika

Usajili Mpya Simba SC: Umakini na utulivu wa kiwango cha juu sana unahitajika

Hahahaha, usajiri Wa mwaka Jana nao ulianza hivi hivi ,mwisho Wa siku wakaletwa akina Wilker da Silva

Ila hope this time fungu lipo ila kumbukeni sheria ya matumizi ya fedha ktk usajiri msizidi bajeti km Man city
 
Hahahaha, usajiri Wa mwaka Jana nao ulianza hivi hivi ,mwisho Wa siku wakaletwa akina Wilker da Silva

Ila hope this time fungu lipo ila kumbukeni sheria ya matumizi ya fedha ktk usajiri msizidi bajeti km Man city
Yaani tusajili 5 alafu tusipigwe?

Yaan hata uwe na pesa ukienda kununua jeans 5 kwa mpigo,, kati ya 5 ni mbili tu ndio utapenda kuzivaa ila zilizobaki mara moja moja,

Hao watano ni wawaili tu ndio wataanza,

Hawataweza kupenya ktk first 11 tupo hapa, wachezaji wenyewe tunachuka waliochuja au makapi.

Yule Mzambia sijui Bwalya kwa nn tulimkosa? Si ufinyu wa pesa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mtendaji mkuu wa Klabu ya Simba (CEO), Senzo Mazingiza amethibitisha kupokea ripoti ya kocha Sven Vanderbroeck kuhusu Usajili wa msimu ujao Katika ripoti hiyo Kocha Sven anataka wachezaji 5 wa nguvu ikiwa wawili wachezaji wa ndani na watatu wachezaji wa nje na kazi ya kutafuta wachezaji hao imeanza mara moja.

Katika ripoti hiyo Kocha Sven amesema kigezo cha umri na uwezo kitumike haswa kuchagua wachezaji hao wachezaji wanaotakiwa ni mabeki watatu ikiwa wawili wa Kati na moja wa kulia, kiungo mkabaji mmoja na mshambuliaji mmoja. Senzo amesema wameanza kubainisha wachezaji hao kabla ya kuwachuja na kufanya Usajili.

Kimsingi nafasi anazohitaji kocha zina matatizo makubwa,ukweli usemwe. Simba SC haina beki wakushiba. Simba SC ina shida ya striker wa kumsaidia Kagere Meddie.

Repoti inasema kocha anataka wachezaji wa nje watatu. Hapa ndio umakini wa kiwango cha lami unahitajika,tusifanye makosa kama tuliyofanya kwa Wabrazili. Kwa maoni yangu hao wageni wawe ni Striker mmoja msaidizi wa Kagere. Beki mmoja wa kati anahitajika sana maana upepo wa Nyoni umekwisha. Pia mgeni mmoja wa kumsaidia Shomari Kapombe.

Katika hizo nafasi 2 za local prayers napendekeza uongozi wa Simba SC wamuulike Lusajo wa Namungo na Nondo Mwamnyeto.

Kuna strikers kadhaa wa kigeni wanatajwa kufanya mazungumzo na Simba SC, mmojawapo akiwa Justin Shonga wa Orlando Pirates. Kama tetesi hizi ni kweli basi itakuwa bonge moja la usajili. Kiukweli Simba sc inahitaji wachezaji wenye speed kama Shonga.

Wapo wachezaji ambao inabidi wapewe mkono wa kwa kheri hata kama ni kwa mkopo. Mmoja wapo ni Beki wa Kati Mbrazili, Haruna Shamte, John Bocco, Saidi Ndemla, Mlipili na Nyoni. Wako baadhi bado ni wazuri ila sioni namna watakavyoweza kupata nafasi ya kucheza.

Haya ni maoni yangu binafsi. Jambo la msingi ni kuwa usajili uliopita Simba Sc iliboronga. Ni matumani tetu msimu mtatumia akili kubwa kwa sababu ya uongozi imara chini ya CEO Senzo.
Lusajo hapana labda BLEIS

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yaani tusajili 5 alafu tusipigwe?

Yaan hata uwe na pesa ukienda kununua jeans 5 kwa mpigo,, kati ya 5 ni mbili tu ndio utapenda kuzivaa ila zilizobaki mara moja moja,

Hao watano ni wawaili tu ndio wataanza,

Hawataweza kupenya ktk first 11 tupo hapa, wachezaji wenyewe tunachuka waliochuja au makapi.

Yule Mzambia sijui Bwalya kwa nn tulimkosa? Si ufinyu wa pesa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Walimuhitaji baada ya kumkosa wakawaambieni msiwe na wasiwasi kwanza Bwalya ni nani? Tuna wachezaji kibao wanaoshabihiana na huyo mchezaji. Sasa sijui ni kina nani hao ha ha ha
 
Back
Top Bottom