Usajili Mpya Simba SC: Umakini na utulivu wa kiwango cha juu sana unahitajika

Mkuu....Nyoso tena.....kwani....si ni agemate....wa kina Yondani.... hapana kwa kweli hatupaswi hata kumfikiria.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ha ha ha hueleweki unachosema au ndio ile madhara ya umbumbumbu?[emoji2] Maraunaonhelea mabeki Mara unaenda kwa washambuliaji, Mara unarudi tena kwa mabeki
 
MO mwaka huu hatoi hata mia, mwaka jana Simba walikuwa na mihela ya CAF na bado alishindwa kusajili akina Shonga, Mwaka huu timu haijapata hata mia ya CAF , atasubiri free agent na kusajili akina Mwanyeto
 
MO mwaka huu hatoi hata mia, mwaka jana Simba walikuwa na mihela ya CAF na bado alishindwa kusajili akina Shonga, Mwaka huu timu haijapata hata mia ya CAF , atasubiri free agent na kusajili akina Mwanyeto
Hali iliyopo sasa hapa Duniani sio rahisi burudani zikaendelea ndani ya miezi 3 toka sasa. Yaani ikitokea mashindano yakija kuendelea hapa ndio tutawajua wale wenye vipaji.

Wanasayansi wanaangaika mpaka sasa ila tuendelee na maombi.
 
Tatizo Simba sio pesa sema namba wanavyotumia pesa Ajibu alipewa mkataba kwa mapenzi Wala sio mahitaji ndemla naye hivyohivyo bocco alishapata timu south tukalazimisha huku tukijua Ana matatizo ya majeruhi katika wabrazil watatu ni fraga pekee mwenye kiwango kizuri pesa hizohizo zingetumiwa vizuri leo tungekuwa tunaongea kitu kingine na hapo tulikuwa na pesa za mauzo ya kichuya na salamba
 
Wewe Rage alikusingizia tu kukuita mbumbumbu!
 
Simba mpo wapi uzi wenu mmeutelekeza huku wakati muda wa usajili ndio umefika
 
Ila Simba walitakiwa kuwa na malengo ya muda mrefu na mfupi. Malengo ya muda mfupi ni kuwa na timu bora ya kupigania mataji kitu ambacho tumeweza lakini malengo ya muda mrefu ni kuwa na tibu bora ya vijana kwa ajili ya baadae lakini uwekezaji wetu wa timu ya vijana ni wa kusuasua kwanza hatuna kocha mwenye sifa pili ukiondoa kipa hakuna mchezaji aliyepandishwa ukaona ana kitu mwisho hata wachezaji vijana kama Rashid Juma tumeshindwa kuwapromoti
 
mkuu mo anaifuatilia hiyo ishu lkn alikuwa alete watafuta vipaji kutoka ughaibun lkn korona imekwamisha tatizo la makocha wetu ukiwapa kz.ya.kutafuta vipaji wanaleta.wenye vipaji na wtt wa mjomba na mashemeji
 
mkuu mo anaifuatilia hiyo ishu lkn alikuwa alete watafuta vipaji kutoka ughaibun lkn korona imekwamisha tatizo la makocha wetu ukiwapa kz.ya.kutafuta vipaji wanaleta.wenye vipaji na wtt wa mjomba na mashemeji
Nazungumzia kuandaa timu bora ya vijana kwa wakati ujao kama kile cha kina mkude, ajibu, ndemla, miraji na wengineo
 
Trust me
Wanaondoka ni
Tairone
Shamte
Mlipili
Ndemla/fraga
Dilunga kuna biashara



Wanaokuja suggestion
Shonga
Mwamnyeto
Kelvin kijiri
Yondani
Papy Shishimbi 2years contronct /tayar huyu
Shonga tumeshafeli, hatuna hela za kumlipa na CEO amethibitisha hilo. Mwamnyeto ameshaenda utopolo kwa hiyo tumsahau tu. Kijiri akija poa tu kwa sababu anastahili, Tshishimbi anastahili coz atakuja kukaba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…