Rufiji dam
JF-Expert Member
- Feb 20, 2020
- 4,107
- 9,671
- Thread starter
- #21
Nakuambia haujui mpira wewe kaa kimya Feisal kuitwa Feitoto sio hoja unajua kama BEBETO wa Brazil alikuwa anaitwa crybaby. Ujinga punguza nicknames zipo tu.Na kwa nini umekazana aondoke Yanga?Kwani hamumuhitaji?Au mnataka mgawane mafao na Simba?Halafu ameshakuwa mzee.Mambo ya kumuita Toto ndiyo nini sasa?