Usajili wa Aziz Ki umeleta hasara kuliko faida?

Usajili wa Aziz Ki umeleta hasara kuliko faida?

The Boss

JF-Expert Member
Joined
Aug 18, 2009
Posts
49,282
Reaction score
117,244
Ukitazama Kwa jicho la tatu utagundua kama sio kumleta Aziz Ki na kumlipa zaidi ya milioni 25 Kwa mwezi pengine Feisal asingeondoka Yanga na kama Feisal asingeondoka na kwenda Azam kulipwa hela nyingi pengine Chama Leo asingekuwa anadai hela zaidi.

Naona kila mchezaji sasa anaangalia mbona Aziz Ki analipwa million 25...kwanini Mimi nilipwe 15...hii hasara imezikumba timu zote mbili za kkooo.

Na hata huko Azam kila atakejiona ana perform kuliko Feisal atauliza mbona Feisal mnampa hela hizi Mimi hamnipi.

Yote haya chanzo Aziz Ki.
 
Ukitazama Kwa jicho la tatu utagundua kama sio kumleta Aziz Ki na kumlipa zaidi ya milioni 25 Kwa mwezi ...pengine Feisal asingeondoka Yanga...
Ndiyo maana mishahara hutakiwa kuwa siri kulingana na contract. Ni kweli kuwa Feisal alimwonea wivu sana Azizi Ki na ndio ulikuwa mwanzo wa matatizo yote.

Sidhani kama Timu za Tanzania zimeshafika katika kiwango hicho cha kuwalipa wachezaji TSh25m; wote wanaolipwa hivyo ni kwa hela ya bakuli, siyo hela ya timu.
 
Sema Azizi K ameleta mabadiliko.
Watu kulipwa vizuri sio hasara.

Mpira unapesa sana
Hasara ambayo ipo kwa Azizi Ki ni kiwango chake kutokuwa constant yani kinapanda na kushuka kama dollar.

Huyu jamaa wana Yanga wengi walishindwa kuona weakness yake kwasababu baadhi ya magepu yanayo expose ubovu wake yalikuwa filled na ubora wa Mayele.

Sasa Mayele saizi kaondoka ina maana mchizi akiendelea na kiwango kile kile cha kauka nikuvae atajikuta yupo Ihefu kwa mkopo.
 
Hasara ambayo ipo kwa Azizi Ki ni kiwango chake kutokuwa constant yani kinapanda na kushuka kama dollar.

Huyu jamaa wana Yanga wengi walishindwa kuona weakness yake kwasababu baadhi ya magepu yanayo expose ubovu wake yalikuwa filled na ubora wa Mayele.

Sasa Mayele saizi kaondoka ina maana mchizi akiendelea na kiwango kile kile cha kauka nikuvae atajikuta yupo Ihefu kwa mkopo.
Ubora upi wa Mayele uano uzungumzia? una ndimi mbili kama mwana CCM
IMG_20230717_165405.jpg
 
Angalia data za kipindi hicho then fanya comparison kati ya Kibu na Mayele nani alikuwa bora.
Sasa kwanini una sema Aziz Ki hawezi ku improve wakati ndio msimu wake wa kwanza, pili twakimu za Aziz Ki unaionaje mbovu kamaliza na goli 9 assist 3 ukitoa Saido nani ana hizo number kwa hio position kwenye ligi ya NBC? Wewe ni mnafiki
 
Sasa kwanini una sema Aziz Ki hawezi ku improve wakati ndio msimu wake wa kwanza, pili twakimu za Aziz Ki unaionaje mbovu kamaliza na goli 9 assist 3 ukitoa Saido nani ana hizo number kwa hio position kwenye ligi ya NBC? Wewe ni mnafiki
Rejea kauli ya Rage kuhusu Madunduka hutopata tabu kabisa na mitizamo ya hawa Makolo.
 
Sasa kwanini una sema Aziz Ki hawezi ku improve wakati ndio msimu wake wa kwanza, pili twakimu za Aziz Ki unaionaje mbovu kamaliza na goli 9 assist 3 ukitoa Saido nani ana hizo number kwa hio position kwenye ligi ya NBC? Wewe ni mnafiki
Kwanza hakuna sehemu nimesema hawezi ku improve

Pili takwimu za Azizi Ki kuhusu magoli hazitoi tathmini ya ubora wake hususani pale unapoona magoli yaliyofungwa mostly yalikuwa ni uzembe wa kipa.

Sasa hatuwezi kuendelea kutumaini kuwa kila siku hao makipa watazidi kukosea ili ye afunge.
 
Ukitazama Kwa jicho la tatu utagundua kama sio kumleta Aziz Ki na kumlipa zaidi ya milioni 25 Kwa mwezi ...pengine Feisal asingeondoka Yanga....na kama Feisal asingeondoka na kwenda Azam kulipwa hela nyingi ...pengine Chama Leo asingekuwa anadai hela zaidi...

Naona kila mchezaji sasa anaangalia mbona Aziz Ki analipwa million 25...kwanini Mimi nilipwe 15...hii hasara imezikumba timu zote mbili za kkooo.....
Na hata huko Azam kila atakejiona ana perform kuliko Feisal atauliza mbona Feisal mnampa hela hizi Mimi hamnipi...

Yote haya chanzo Aziz Ki...
Mkuu usijali, tayari kupitia Mayele, Yanga imetoa darsa kuhusu namna ya kuuza wachezaji kwa faida kubwa.

Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
 
Ukitazama Kwa jicho la tatu utagundua kama sio kumleta Aziz Ki na kumlipa zaidi ya milioni 25 Kwa mwezi ...pengine Feisal asingeondoka Yanga....na kama Feisal asingeondoka na kwenda Azam kulipwa hela nyingi ...pengine Chama Leo asingekuwa anadai hela zaidi...

Naona kila mchezaji sasa anaangalia mbona Aziz Ki analipwa million 25...kwanini Mimi nilipwe 15...hii hasara imezikumba timu zote mbili za kkooo.....
Na hata huko Azam kila atakejiona ana perform kuliko Feisal atauliza mbona Feisal mnampa hela hizi Mimi hamnipi...

Yote haya chanzo Aziz Ki...

Ndiyo maana misemo ya hekima inasema "Mshahara ni siri kati ya Mwajiri na Mwajiriwa" ili kuepusha mambo kama hayo.
 
Ukitazama Kwa jicho la tatu utagundua kama sio kumleta Aziz Ki na kumlipa zaidi ya milioni 25 Kwa mwezi ...pengine Feisal asingeondoka Yanga....na kama Feisal asingeondoka na kwenda Azam kulipwa hela nyingi ...pengine Chama Leo asingekuwa anadai hela zaidi...

Naona kila mchezaji sasa anaangalia mbona Aziz Ki analipwa million 25...kwanini Mimi nilipwe 15...hii hasara imezikumba timu zote mbili za kkooo.....
Na hata huko Azam kila atakejiona ana perform kuliko Feisal atauliza mbona Feisal mnampa hela hizi Mimi hamnipi...

Yote haya chanzo Aziz Ki...
Aziz Ki ameifungia magoli muhimu, moja wapo ni kuipeleka Yanga robo fainali tena ugenini Tunis .
 
Hasara ambayo ipo kwa Azizi Ki ni kiwango chake kutokuwa constant yani kinapanda na kushuka kama dollar.

Huyu jamaa wana Yanga wengi walishindwa kuona weakness yake kwasababu baadhi ya magepu yanayo expose ubovu wake yalikuwa filled na ubora wa Mayele.

Sasa Mayele saizi kaondoka ina maana mchizi akiendelea na kiwango kile kile cha kauka nikuvae atajikuta yupo Ihefu kwa mkopo.
Ki ni natural no 10,nabi formula yake no 10 anashuka sana chini tena deep kama no 6 iko ndio ki alishindwa kwenda nacho,feisal alishaini 10 ya nabi sbb ni mkabaji asilia na ndio maana unaona mudathir kwa nabi no 10 alikua kishaanza kuimudu,ki akiachiwa acheze ile 10 asilia kama anavyocheza chama pale kwenu,mtaficha sura zenu hapa,ki akipunguziwa jukumu la kuanzisha mpira toka chini hamna no 10 atakaemfikia hapa TZ
 
Kwanza hakuna sehemu nimesema hawezi ku improve

Pili takwimu za Azizi Ki kuhusu magoli hazitoi tathmini ya ubora wake hususani pale unapoona magoli yaliyofungwa mostly yalikuwa ni uzembe wa kipa.

Sasa hatuwezi kuendelea kutumaini kuwa kila siku hao makipa watazidi kukosea ili ye afunge.
Mpira wa miguu ni mchezo mgumu sana uwanjani, huitaji akili na nguvu na kipaji juu.

Mshabiki kama wewe utachukulia ni uzembe wa makipa. Lakini mbona si wote wanaotumia uzembe huo ?!. Utasema manula alifungwa kwa uzembe ?!. Kafunga Tunis tena mchezo wa mtoano utasema kipa alikuwa mzembe !!. Kafunga kwa Gallants utasema ilkuwa uzembe wa kipa !!.
 
Kwanza hakuna sehemu nimesema hawezi ku improve

Pili takwimu za Azizi Ki kuhusu magoli hazitoi tathmini ya ubora wake hususani pale unapoona magoli yaliyofungwa mostly yalikuwa ni uzembe wa kipa.

Sasa hatuwezi kuendelea kutumaini kuwa kila siku hao makipa watazidi kukosea ili ye afunge.
Wewe na Genta ni bibi na bwana unakana maneno yako umesema sasa hivi!
IMG_20230717_172448.jpg
 
Ki ni natural no 10,nabi formula yake no 10 anashuka sana chini tena deep kama no 6 iko ndio ki alishindwa kwenda nacho,feisal alishaini 10 ya nabi sbb ni mkabaji asilia na ndio maana unaona mudathir kwa nabi no 10 alikua kishaanza kuimudu,ki akiachiwa acheze ile 10 asilia kama anavyocheza chama pale kwenu,mtaficha sura zenu hapa,ki akipunguziwa jukumu la kuanzisha mpira toka chini hamna no 10 atakaemfikia hapa TZ
Natural amekuwa herbalist?

Afu na zile moments alizokuwa anaonekana anapoteza mipira hovyo tena sometimes bila hata kukabwa?

Kuna muda alikuwa anaonekana kutaka kufanya vitu ambavyo haviisaidii timu ili kufurahisha mashabiki.

Anataka kila mpira aupitishe tobo kwa mpinzani, hii nayo utasema imechangiwa na 10 natural?
 
Back
Top Bottom