Usajili wa Aziz Ki umeleta hasara kuliko faida?

Usajili wa Aziz Ki umeleta hasara kuliko faida?

Mechi yenu na Mtibwa uliangalia?

Ukiona lile goli lilisababishwa na uzembe wa beki?
Nilitizama zote ya Mtimbwa ,Azam, Tunisia nk, magoli yote yalifungwa kwa mtindo na style moja.

Sasa wakati anapiga mabeki walikuwepo wapi,halafu kwani kipa anacheza peke yake.
 
Ukitazama Kwa jicho la tatu utagundua kama sio kumleta Aziz Ki na kumlipa zaidi ya milioni 25 Kwa mwezi pengine Feisal asingeondoka Yanga na kama Feisal asingeondoka na kwenda Azam kulipwa hela nyingi pengine Chama Leo asingekuwa anadai hela zaidi.

Naona kila mchezaji sasa anaangalia mbona Aziz Ki analipwa million 25...kwanini Mimi nilipwe 15...hii hasara imezikumba timu zote mbili za kkooo.

Na hata huko Azam kila atakejiona ana perform kuliko Feisal atauliza mbona Feisal mnampa hela hizi Mimi hamnipi.

Yote haya chanzo Aziz Ki.
nimekuelewa sana aisee.
 
Aziz Ki pekee ndio kafunga magoli ya uzembe wa makipa ila wengine wote wamefunga kwa ubora wao?
Nimeonesha hapa hafi screenshot ya Manula akifungwa magoli ya uzembe sijui una uelewa wa namna gani?
 
Nimeonesha hapa hafi screenshot ya Manula akifungwa magoli ya uzembe sijui una uelewa wa namna gani?
Sija ongelea Manula nasema so far amemfunga goli moja tu nmekuuliza wachezaji wengine hawafungi kwa uzembe wa makipa isipokua Aziz Ki tu?
 
Sija ongelea Manula nasema so far amemfunga goli moja tu nmekuuliza wachezaji wengine hawafungi kwa uzembe wa makipa isipokua Aziz Ki tu?
Kwani niliposema Manula ulishindwa kuelewa kuwa mfungaji wa hilo bao alifunga kutokana na uzembe wa kipa?
 
Utakuwa una matatizo binafsi.

Hiyo screenshot yako uliyoiweka kuna sehemu imesema hawezi ku improve?

Kuna sehemu yeyote iliyofunga uwezekano wa mchezaji kuweza kubadilika?

Kusoma nako shida sio?

Chukulia mfano huu

Mabingwa wa Afya wamefanya utafiti na kugundua ukiwa shabiki wa Yanga lazima uwe chizi, na usipokuwa shabiki wa Yanga hautakuwa chizi.

Sasa

Nikisema bullar ukiendelea kuwa shabiki wa Yanga utakuwa chizi, je kauli hiyo maana yake wewe utakuwa chizi miaka yote kwasababu hauta acha kushabikia Yanga ili uondokane na uchizi?

Kama utaweza kuachana na Yanga basi hapo utakuwa umeondokana na uchizi.

Kama utaendelea kuwa shabiki wa Yanga bila kuacha maana yake wewe ni chizi milele.

Ndio ilivyo kwa Azizi Ki.

Kama ataendelea na kiwango kile kile cha bahati na sibu lazima afeli, ila kama ataweza ku improve anaweza kuwa bora maradufu.
Mabingwa wa afya ya uke wa mama yako mzazi?
 
Watasema ulikuwa na faida kwa sababu alimfunga Manula goli moja tu mwaka jana
 
uSemayo ni kwel kabisa,yaan wachezaj wamepanda thamani ambayo hawana,mimi naona ni bora waachane nao kuna wachezaj wazur tu wenye gharama nafuu
 
Ukitazama Kwa jicho la tatu utagundua kama sio kumleta Aziz Ki na kumlipa zaidi ya milioni 25 Kwa mwezi pengine Feisal asingeondoka Yanga na kama Feisal asingeondoka na kwenda Azam kulipwa hela nyingi pengine Chama Leo asingekuwa anadai hela zaidi.

Naona kila mchezaji sasa anaangalia mbona Aziz Ki analipwa million 25...kwanini Mimi nilipwe 15...hii hasara imezikumba timu zote mbili za kkooo.

Na hata huko Azam kila atakejiona ana perform kuliko Feisal atauliza mbona Feisal mnampa hela hizi Mimi hamnipi.

Yote haya chanzo Aziz Ki.
mpira wa aziz k si unauona?
 
Back
Top Bottom