Usajili wa Aziz Ki umeleta hasara kuliko faida?

Usajili wa Aziz Ki umeleta hasara kuliko faida?

Ukitazama Kwa jicho la tatu utagundua kama sio kumleta Aziz Ki na kumlipa zaidi ya milioni 25 Kwa mwezi pengine Feisal asingeondoka Yanga na kama Feisal asingeondoka na kwenda Azam kulipwa hela nyingi pengine Chama Leo asingekuwa anadai hela zaidi.

Naona kila mchezaji sasa anaangalia mbona Aziz Ki analipwa million 25...kwanini Mimi nilipwe 15...hii hasara imezikumba timu zote mbili za kkooo.

Na hata huko Azam kila atakejiona ana perform kuliko Feisal atauliza mbona Feisal mnampa hela hizi Mimi hamnipi.

Yote haya chanzo Aziz Ki.
Ona hii kenge
 
Hivi kwanini Aziz Ki ameaibisha prominent verified members huku? Ni kuwa Azizi alianza vibaya au nyinyi watu hamjui mpira au mapenzi yenu kwa timu fulani yanawafanya kuwa vipofu???
 
Hasara ambayo ipo kwa Azizi Ki ni kiwango chake kutokuwa constant yani kinapanda na kushuka kama dollar.

Huyu jamaa wana Yanga wengi walishindwa kuona weakness yake kwasababu baadhi ya magepu yanayo expose ubovu wake yalikuwa filled na ubora wa Mayele.

Sasa Mayele saizi kaondoka ina maana mchizi akiendelea na kiwango kile kile cha kauka nikuvae atajikuta yupo Ihefu kwa mkopo.
.
 
Back
Top Bottom