Scars
JF-Expert Member
- Apr 8, 2017
- 48,055
- 116,512
Hivi mfano akija Simba bado mtaendelea?Aziz Ki ameanzia alipoishi Mayele, yeye ndio Top score mpaka tunafunga mwaka
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi mfano akija Simba bado mtaendelea?Aziz Ki ameanzia alipoishi Mayele, yeye ndio Top score mpaka tunafunga mwaka
Unazingua 😂😂😁Hasara ambayo ipo kwa Azizi Ki ni kiwango chake kutokuwa constant yani kinapanda na kushuka kama dollar.
Huyu jamaa wana Yanga wengi walishindwa kuona weakness yake kwasababu baadhi ya magepu yanayo expose ubovu wake yalikuwa filled na ubora wa Mayele.
Sasa Mayele saizi kaondoka ina maana mchizi akiendelea na kiwango kile kile cha kauka nikuvae atajikuta yupo Ihefu kwa mkopo.
Kiongozi Kuna swali nataka kuku uliza zile movie za 123 movie mbona kwenye player ya vlc Zina nasa sana ila kwenye tv na player zingine zinakubaliHivi mfano akija Simba bado mtaendelea?
Unazingua sanaUkitazama Kwa jicho la tatu utagundua kama sio kumleta Aziz Ki na kumlipa zaidi ya milioni 25 Kwa mwezi pengine Feisal asingeondoka Yanga na kama Feisal asingeondoka na kwenda Azam kulipwa hela nyingi pengine Chama Leo asingekuwa anadai hela zaidi.
Naona kila mchezaji sasa anaangalia mbona Aziz Ki analipwa million 25...kwanini Mimi nilipwe 15...hii hasara imezikumba timu zote mbili za kkooo.
Na hata huko Azam kila atakejiona ana perform kuliko Feisal atauliza mbona Feisal mnampa hela hizi Mimi hamnipi.
Yote haya chanzo Aziz Ki.
Hili swali tumuulize Mwasibu wa JF OKW BOBAN SUNZUHivi mfano akija Simba bado mtaendelea?
Bado ina maana yoyote hii comment yako mkuu?Hasara ambayo ipo kwa Azizi Ki ni kiwango chake kutokuwa constant yani kinapanda na kushuka kama dollar.
Huyu jamaa wana Yanga wengi walishindwa kuona weakness yake kwasababu baadhi ya magepu yanayo expose ubovu wake yalikuwa filled na ubora wa Mayele.
Sasa Mayele saizi kaondoka ina maana mchizi akiendelea na kiwango kile kile cha kauka nikuvae atajikuta yupo Ihefu kwa mkopo.
Unatumia simu au PC kupakua hizo movies?Kiongozi Kuna swali nataka kuku uliza zile movie za 123 movie mbona kwenye player ya vlc Zina nasa sana ila kwenye tv na player zingine zinakubali
Simu kaka kumbe ila kwenye tv Zina play kama KawaUnatumia simu au PC kupakua hizo movies?
Maana ukitumia PC kwa IDM mara nyingi format ambayo ina catch ni ts
Sasa huwenda media player yako ikawa na inapata usumbufu kwenye ku play video zenye format za ts
Sijaifuta nina maana yanguBado ina maana yoyote hii comment yako mkuu?
HahahahahahaHivi mfano akija Simba bado mtaendelea?
Hahahahahaha hawa jamaa bhana kwahiyo wanamtaka Aziz K ?Hili swali tumuulize Mwasibu wa JF OKW BOBAN SUNZU
Kwenye simu tumia Mx player iko vizuriSimu kaka kumbe ila kwenye tv Zina play kama Kawa
Naunga mkono hoja 🤣Kwenye simu tumia Mx player iko vizuri
VLC ni jina tu kutokana na ukongwe
Yani VLC ni kama Yanga tu wala usiipe matumaini makubwa
Sisi hatumtaki ila yeye mwenyewe navyo sikia anataka kujaHahahahahaha hawa jamaa bhana kwahiyo wanamtaka Aziz K ?
Haya mkuu hii nayo tunatunza.Sijaifuta nina maana yangu
Sisi ma time Traveller huwa hatuyumbishwi na kelele za katikati ya safari wakati tunaujua mwisho wake.
Unajua hiki kiwango mi sikiangalii kwa namna yenu jinsi mnavyokiangaliaHaya mkuu hii nayo tunatunza.
Unahisi baada ya mayele kuondoka Aziz ameng'aa au kama unavyosema anaboronga hadi atakuja ishia Ihefu kwa mkopo
Kwa akili yako mkuu unahisi kwanini aombe kwenda simba iliyo mbovu sasa hivi na aliikataa wakati wa usajili kipindi kile anaenda Yanga? Ukiangalia at least kipindi kile at least simba ilikuwa better kuliko ilivyo sasaUnajua hiki kiwango mi sikiangalii kwa namna yenu jinsi mnavyokiangalia
Azizi Ki ilikuwa ni lazima ajitume kwa bidii zote ili kuonesha nia ya kweli kama ni kweli ataweza ku fit kwenye kikosi cha Simba kama ambavyo amekuwa akitamani
So hiki kiwango ni persuasive approach ya kumfanya Benchika aweze kufikiria ombi lake.
Na Benchika ni mjanja
Simba haikumtaka ni Yanga wenyewe walikuwa wanataka kuwarubuni mashabiki kuwa alikuwa kwenye radar za Simba na nyie ndio mkam winKwa akili yako mkuu unahisi kwanini aombe kwenda simba iliyo mbovu sasa hivi na aliikataa wakati wa usajili kipindi kile anaenda Yanga? Ukiangalia at least kipindi kile at least simba ilikuwa better kuliko ilivyo sasa
Unavyosikia ,Sisi hatumtaki ila yeye mwenyewe navyo sikia anataka kuja
Kila mchezaji hapa Afrika mashariki na kati ana ndoto ya kuchezea Simba.
Hadi wachezaji wa Simba wenyewe nao wana hiyo ndoto
Watanzania wachache sana wenye akili timamuUnavyosikia ,