Usajili wa chama cha siasa cha National Economical Reformation Socialist Party -NERP

Usajili wa chama cha siasa cha National Economical Reformation Socialist Party -NERP

Nchi hii lazima ijitegemee kwa rources ilizonazo haihitaji foreign aid ,nahisi tunakosa exparties katika baadhi ya sector ambao wanaweza kuwa hired anywhere, tunahitaji machinery ,tunahitaji capital vyote vinaweza kupatikana , tunahitaji talented committed ethical strong leadership and management ----etc
 
kama kichwa cha habari hapo juu , tuko mbioni kusajili chama cha siasa kitakachosimia rasilimali za taifa kuwanufaisha wananchi wote wa Taifa hili..
Sajilini NGO ndio mtapiga pesa vizuri, kusajili Chama Cha Sasa siyo deal hata wazungu wanaofadhiri siasa wanatowa ufadhili Kwa vyama kweli vinavyofanya siasa na siyo Kwa genge la wahuni waliokosa ajira na kuamuwa kuwalaghai Watanzania.
 
Nchi hii lazima ijitegemee kwa rources ilizonazo haihitaji foreign aid ,nahisi tunakosa exparties katika baadhi ya sector ambao wanaweza kuwa hired anywhere, tunahitaji machinery ,tunahitaji capital vyote vinaweza kupatikana , tunahitaji talented committed ethical strong leadership and management ----etc
Mm nipeni nafasi ya mtunza hazina
 
Mkuu chama chetu kitakuwa mkombozi wa fikra na maendeleo ya kuweli kwa watu wote wala hatuhitaji ufadhali wa mtu yoyote baba Taifa hakuleta uhuru wa Taifa hili kwa kufadhiliwa na mtu yoyote ......
 
Mkuu chama chetu kitakuwa mkombozi wa fikra na maendeleo ya kuweli kwa watu wote wala hatuhitaji ufadhali wa mtu yoyote baba Taifa hakuleta uhuru wa Taifa hili kwa kufadhiliwa na mtu yoyote ......
Jikombowe wewe na familia yako kwanza halafu ndio uje kujaribu kutulaghai na sisi.

Vyama vilivyopo vinapaswa kupunguzwa idadi na si kuongeza idadi.

Wananchi tuna jambo letu na Mzee Hashimu Rungwe msitutowe kwenye reli.
 
Nchi hii lazima ijitegemee kwa rources ilizonazo haihitaji foreign aid ,nahisi tunakosa exparties katika baadhi ya sector ambao wanaweza kuwa hired anywhere, tunahitaji machinery ,tunahitaji capital vyote vinaweza kupatikana , tunahitaji talented committed ethical strong leadership and management ----etc
Msukuma aliyeweza kuanzisha chama na Cheyo pekee ninyi wengine mnapoteza muda, mjomba wenu dikteta hamnae tena. Katuharibia nchi na kufuta utengano ulokuwepo, amani na upendo vilipotea
 
Mkuu embu angalia maendeleo ya china na Russia this two world superpowers ,,changanoto ya mfumo wa capitalist unanufaisha wachache , ujamaa unanufaisha jamii nzima ,
Kwani China na Urusi sasa hivi sasa sio capitalists? Unaishi dunia ipi? China ni wajamaa au Urusi?

Nchi pekee ya kijamaa kwa sasa ni korea ya kaskazini tu na yenyewe hasa hasa sio ya kijamaa ni ya kidikteka ya kifalme ya Ukoo wa Kim Jong Un Tajiri mkubwa pekee korea kaskazini
 
kama kichwa cha habari hapo juu , tuko mbioni kusajili chama cha siasa kitakachosimia rasilimali za taifa kuwanufaisha wananchi wote wa Taifa hili..
Jina siyo zuri; na haiwezi kuwa "...ECONOMICAL REFORMATION...", pengine unataka kusema "ECONOMIC REFORMATION"

Kifupi chake itakuwa "NERSP', kama hutaki hiyo S, basi iondoe pia kwenye jina.

Hapana, siyo kwa sababu ya hiyo 'Socialist'. Jina tu lilivyokaa halivutii.

Halafu, mbona unakuwa kama hujiwezi kabisa, hata kuleta mada na kuielezea kidogo watu wavutiwe kuisoma huwezi?

Hiki chama pamoja na kuwa na malengo mazuri, lakini kama hakina watu wa kuelezea mambo yanayosimamiwa haitaleta maana yoyote.
 
Kwani China na Urusi sasa hivi sasa sio capitalists? Unaishi dunia ipi? China ni wajamaa au Urusi?

Nchi pekee ya kijamaa kwa sasa ni korea ya kaskazini tu na yenyewe hasa hasa sio ya kijamaa ni ya kidikteka ya kifalme ya Ukoo wa Kim Jong Un Tajiri mkubwa pekee korea kaskazini
Ni chama kipi kinachotawala China?

Na hivi kweli unaelewa maana ya 'Ujamaa'?
 
Nchi hii itakombolewa na wananchi wenyewe pasipo chama chochote cha siasa.
Lakini tuko hapa kuwaletea habari njema falsa ya self-reliance ndiyo msingi wa chama chetu, utu , haki , Hakuna mzungu . myunani atakayetuletea maendeleo yetu bali sisi wenywewe , ujamaa ideolgy ambayo imejengwa katika mioyo wa wananchi inahitajikuhusishwa tena ,nakuja kama nabii wa kizazi hiki kuiokomboa Taifa hili na chama chetu cha NERDP,kuna maeneo lazima maslahi ya Taifa yazingatiwe kwa ajili ya kizazi cha leo na kizazi kichacho ,first preriority National interest .....
 
Nchi hii lazima ijitegemee kwa rources ilizonazo
Japan haina Resources zozote zaidi ya kuwa na teknolojia na imeendelea.Resouces zote wanaagiza nje.Ulichoandika porojo tupu.Ulaya na Marekani wameendelea sio sababu wana resources bali wana teknolojia. Resources zote zinatoka Afrika nk

Huwezi kuendelea bila kuwa na teknolojia yako ya hali ya juu.Kongo Madini yamejaa kibao lakini ni kama takataka tu sababu teknolojia hawana anatakiwa yaende ulaya ,marekani na Japan na Asia kwa wenye teknolojia za kujua wayafanyaje ili yawe nini

Tanzania pia kelele tu za ohh tuna resources za kutosha so what teknolojia hatuna
Kufaidi resources cha kwanza uwe na teknolojia
Mfano una chuma kinatumika kutengeneza sehemu mojawapo ya injini za magari lile block la injini teknolojia unayo ya kutengeneza hizo block za injini? Lakini injini kukamilika haihitaji hilo block peke yake ndani kuna vikorokoro vingi ambavyo huagizwa nchi zingine ili injini ikamilike Teknolojia unayo ya kuunda injini uuze injini za magari na ndege?

Bila teknolojia resources hazikufikishi mbali.Nchi zote zilizoendelea walijipanga uwezo wa teknolojia kwanza
 
Ni chama kipi kinachotawala China?

Na hivi kweli unaelewa maana ya 'Ujamaa'?
Jina la chama ni la kijamaa Chinese Communist Party !!! lakini nchi ya kibepari iliyojaa ubepari kila kona

Jina hawajabadilisha lakini sera na mipango yote ni ya kibepari inayotegemea uchumi wa soko huriua ambao kila mtu anafaidi kwa jasho lake na kujituma Kwake na faida apatayo ni yake hawagawani na mwingine ni yake .Kodi tu ndio Serikali inatumia ikishamkata!
 
Back
Top Bottom