YEHODAYA
JF-Expert Member
- Aug 9, 2015
- 36,902
- 52,001
Huwezi kuwa self reliant wakati teknolojia huna unatumia jembe la mkono na Punda kama nguvu kazi utaishia kuwa lofa tu hata ujitume kufanya kazi kwa nguvu vipi teknolojia duni haijawahi mfanya mtu kuwa self reliantLakini tuko hapa kuwaletea habari njema falsafa ya self-reliance