ujamaa ndio chanzo cha umaskini wa Tanzania. Ni ideology ambayo watu wengi hawailewi! Ni ujinga eti mitaala yetu inafundisha kugawana (sharing) wakati hatuna utajiri wa viwanda badala ya mitaala kufundisha kutafuta (capitalism = investment)!
hivi Nyerere alituonaje? bahati yake namheshimu alituletea uhuru na pia umaskini!@
nb: wazungu hawakumuelewa Nyerere pamoja na kuandika vitabu kibao nao wakaacha ibaki inasomeka "ujamaa" japokuwa yeye Nyerere "ujamaa" alimaanisha "socialism". This means Nyerere ali implement ideology ambayo hakuilewa!
Marxist theory is very complex ideology which tries to analyse ill effects of capitalism and offers solutions to exploitation and unequal distribution of means of production.
Sasa we Nyerere unaanzishaje ujamaa wakati huna utajiri wa viwanda katika nchi , utajiri unaowanufaisha wachache wenye viwanda au makampuni kupitia kulipa wafanyakazi mishahara midogo huku wakibeba faida yote wao?
Unaanzishaje socialism kupinga capitalism ambayo it doesn't exist?
unaanzishaje ujamaa wakati jamii yako ina many classes? Kuna wakulima, wafanyabiashara wadogo, wenye viwanda na makampuni, waajiriwa serikalini, waajiriwa sekta binafsi , na hapo hapo class ya waajiriwa wa serikali na sekta binafsi nao wameajiri houseboys housegirls, wana saluni na maduka,mashuleni, makampuni nk? ni vurugu mechi!
a true capitalist society inayoumiza vibarua wanaonyonywa "proletariat" ina two classes "capitalIst" or bourgeoisie na workers " proletariats" sasa Nyerere alipoanzisha "Ujamaa" je tulikuwa na capitalist society? je nchi ilikuwa imeendelea kwa viwanda?
yaani Nyerere alizingua kinoma!
Mimi naamini nauelewa ujamaa kuliko Nyerere!! nikizeeka nitaandika "socialism" kwa kiswahili ili kutofautisha na "ujamaa" wa Nyerere
in short "ujamaa" sio "socialism" na huwezi kufanya "socialism" bila kwanza nchi kuwa "capitalist" na ukilazimisha lazima ufeli maana sio muundo wake!!
huwezi kutembea bila kuanza kukaa na kusimama
Siupendi ujamaa. Nikisikia ujamaa nakuwa kama nimesikia umasikini