Usajili wa Clotus Chama kwa yanga hadi sasa hauna tija yoyote

Usajili wa Clotus Chama kwa yanga hadi sasa hauna tija yoyote

Joined
Jul 15, 2024
Posts
19
Reaction score
15
Kama umekua ukifatilia mechi za yanga sc msimu huu wa mashindano , nadhan utakua umeona kiwango cha mchezaji Clotus Chama . Kwangu mimi naona hadi sasa Chama hana mchango mkubwa kwenye pitch , maana kwa nilivoona kwenye mechi ambazo amecheza inaonekana energy yake ishashuka kabisa, ila kwa mashabiki wenye timu yao hawawezi kukuelewa kabisa ukiwaambia ivo .
Mimi nasema tena na hapa kwenye JF , Chama atakua anaonekana kwenye zile mechi ndogo ndogo tu! ambazo hazina tention kubwa,ila kwenye big matches sion kabisaaa .
& toka lig ianze kama mnaona hali ilivo inaonekana pale jangwani kuna mambo hayapo sawa kabisa .
# football bring us together.
 
Muda utaongea usimalize maneno yoote
....safari bado ndefu sana
 
Chama,baleke,mkude,okra wameigharimu yanga bilioni 1.8
Kuna wakati injinia hersi saidi anatumia mihemko kusajili
Mkuu ni bilioni 1 point 8 hii hii ya hela za kitanzania?

Naomba unisaidie mchanganuo kama hutajali kiongozi.
 
Kama umekua ukifatilia mechi za yanga sc msimu huu wa mashindano , nadhan utakua umeona kiwango cha mchezaji Clotus Chama . Kwangu mimi naona hadi sasa Chama hana mchango mkubwa kwenye pitch , maana kwa nilivoona kwenye mechi ambazo amecheza inaonekana energy yake ishashuka kabisa, ila kwa mashabiki wenye timu yao hawawezi kukuelewa kabisa ukiwaambia ivo .
Mimi nasema tena na hapa kwenye JF , Chama atakua anaonekana kwenye zile mechi ndogo ndogo tu! ambazo hazina tention kubwa,ila kwenye big matches sion kabisaaa .
& toka lig ianze kama mnaona hali ilivo inaonekana pale jangwani kuna mambo hayapo sawa kabisa .
# football bring us together.
Actualy alichukuliwa for show, ila kwa namba hana wa kumuweka benchi
 
Usajir wa eng. Huwa ni wa kukurupuka,badala aandae watoto watakaoendeleza timu,yeye analeta age go ambao hawana future ktk timu
 
Back
Top Bottom