BRELA
Member
- Dec 14, 2023
- 72
- 52
Ahsante, Karibu tena.Nashukuru kwa ufafanuzi!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ahsante, Karibu tena.Nashukuru kwa ufafanuzi!
Brela naomba utofauti kati ya kusajili jina na kusajili kammpuni.Habari, kwenye usajili wa kampuni mmiliki anaweza kuweka mtaji wowote ambao anajua ataweza kuufanyia biashara yake hata kama kwa muda huo asiwe nao mkononi au benki. Hii ni kutokana na kwamba zipo njia mbalimbali ambazo mmiliki anaweza kutumia kukuza mtaji wake wakati wowote ikiwemo kukopa benki au kuongeza mwekezaji mwingine mara tu baada ya usajili ili kuufikia mtaji anaohitaji kufanyia biashara. Hata hivyo inashauriwa mmiliki kusajili mtaji ambao unauhalisia na biashara anayofanya au anayokusudia kufanya.
Tokea asubuhi Leo 14/04/2024 Mfumo wa ORS haupatikani.Tunafurahi kukuhudumia, karibu tena.
Ila Brela akili zao. Sasa hapo usikute wameamua kulinganisha tembo na elephant. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Eleza hapa kama kuna tofauti kati ya TEMBO LIMITED na ELEPHANT BREEDERS LIMITED. Hii ndiyo muhimu ili na wengine waelimike.
Brela leo tokea asubuhi hampo hewani, kwann mfumo wenu upo chini kiasi hiki hadi mambo kibao yamesimama?Tunafurahi kukuhudumia, karibu tena.
Habari, ilikuweza kupata taarifa sahihi za ada za usajili wa kampuni kulingana na mtaji wa kampuni tembelea katika tovuti yetu ya www.brela.go.tz au wasiliana nasi kupitia namba yetu ya kituo cha miito BRELA 0222 212 800 kwa maelezo na ufafanuzi zaidi.NAdhani gharama za kuanzisha kampuni Tanzania ni kubwa mno; hizo nilizowekea rangi hapa chini. Hazichochei uanzishwaji wa makampuni
-------------------------------------------------------------------
WAKALA wa wa Usajili wa Biashara na Leseni(BRELA) wamezitaja ada za usajili wa kampuni mpya ambapo gharama zake zinaanzia Sh.20,000, Sh.1000,000, Sh.5,000,000,Sh.20,000,000 mpaka Sh.50,000,000 na kwamba viwango hivyo ni kutokana na mtaji wa kampuni husika na kwa usajili wa kampuni za kigeni gharama za usajili ni Dola za Marekani 1,190,Filing fee ni Sh.66,000 na Stamp Duty 6,200.