mbingunikwetu
JF-Expert Member
- Feb 17, 2015
- 13,897
- 18,477
Pilipili usizokula zakuwashiani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
WachomoeUTO inawauma [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196]
Umetaja Klamo, Banda, Onana na Kibu so ni wanne. Umeshajiuliza nafasi aliyosajiliwa Mkude ina wachezaji wangapi aliowakuta?Ni ajabu sana kwa hizi timu zetu za Kitanzania Simba na Yanga kufanya mambo kienyeji kienyeji sana ili kuwafurahisha mashabiki wao na sio kuitengeneza timu.
Kuna tetesi kuwa Simba wamemsajili Miquissone, unachojiuliza uyo Kocha alimuona Miquissone kwenye mechi ipi ya kiushindani mpaka akapendekeza asajiliwe? Na je, Simba ina mapungufu gani kwenye eneo lake la pembeni mpaka sasa?
Wamemsajili Klamo, wanaye Banda, wanaye Onana, wanaye Kibu Denis, wanaocheza hizo nafasi wakati huo huo wamesajili mabeki 3 tu? Yaani wanajaza wachezaji kwenye nafasi moja wanasahau wanatakiwa wabalance na nafasi nyingine? Sidhani kama huu ni usajili wa kocha. Huu ni usajili wa viongozi wanaotaka kuutumia kwa maslai yao kwenye uongozi.
Miquissone mwenyewe kakaa nje ya uwanja karibia msimu mzima hajacheza mechi yoyote ya kiushindani mpaka akatemwa timu ya taifa kutokana na kutokuwa fiti, leo hii watu wanajinasibu kumsajili kwa nderemo na vifijo🤔🤔.
Kweli soka la Tanzania ni kivyetu vyetu, nimekubali!
Kwani mchezaji asipocheza msimu mzima ndio asisajiliwe timu nyingine?Ni ajabu sana kwa hizi timu zetu za Kitanzania Simba na Yanga kufanya mambo kienyeji kienyeji sana ili kuwafurahisha mashabiki wao na sio kuitengeneza timu.
Kuna tetesi kuwa Simba wamemsajili Miquissone, unachojiuliza uyo Kocha alimuona Miquissone kwenye mechi ipi ya kiushindani mpaka akapendekeza asajiliwe? Na je, Simba ina mapungufu gani kwenye eneo lake la pembeni mpaka sasa?
Wamemsajili Klamo, wanaye Banda, wanaye Onana, wanaye Kibu Denis, wanaocheza hizo nafasi wakati huo huo wamesajili mabeki 3 tu? Yaani wanajaza wachezaji kwenye nafasi moja wanasahau wanatakiwa wabalance na nafasi nyingine? Sidhani kama huu ni usajili wa kocha. Huu ni usajili wa viongozi wanaotaka kuutumia kwa maslai yao kwenye uongozi.
Miquissone mwenyewe kakaa nje ya uwanja karibia msimu mzima hajacheza mechi yoyote ya kiushindani mpaka akatemwa timu ya taifa kutokana na kutokuwa fiti, leo hii watu wanajinasibu kumsajili kwa nderemo na vifijo🤔🤔.
Kweli soka la Tanzania ni kivyetu vyetu, nimekubali!
Sawa timu haina namba 6 ila imeruhusu magoli machache kuliko timu yenye namba 6 umejifunza nini hapo?Sio kila anayetoa hoja basi anaumizwa na kitu, Maono ya mashabiki kama nyie ni tatizo kwrnye mambo ya msingi, Niambie namba 6 wa maana mnae? Tokea waondoke kina fraga mpaka leo mna shida ya namba 6 sasa badala ya kuboresha mapungufu viongozi wanatembea na upepo wa sifa na sio kusajili kiufundi
Kwa hiyo kocha wa Yanga ndiye kapendekeza Mkude asajiliwe?Mkude anakwenda kuwa back up ya bangala au mauya wanaotolewa kwa mkopo usifikiri wengine wanatumia matumbo kusajili, wanasajili kwa kufata report ya kocha na si vinginevyo
Bila kiungo no 6 mlichapwa 2-0 na mkatulia ,no 6 wenu aliwasaidia nini cha maana? [emoji23][emoji23]Waache tu na sajili zao za mihemko, wakati Simba atakuwa anahesabu magoli, wenzao watakuwa wanahesabu pointi.
Kuna video, scouting nkNi ajabu sana kwa hizi timu zetu za Kitanzania Simba na Yanga kufanya mambo kienyeji kienyeji sana ili kuwafurahisha mashabiki wao na sio kuitengeneza timu.
Kuna tetesi kuwa Simba wamemsajili Miquissone, unachojiuliza uyo Kocha alimuona Miquissone kwenye mechi ipi ya kiushindani mpaka akapendekeza asajiliwe? Na je, Simba ina mapungufu gani kwenye eneo lake la pembeni mpaka sasa?
Wamemsajili Klamo, wanaye Banda, wanaye Onana, wanaye Kibu Denis, wanaocheza hizo nafasi wakati huo huo wamesajili mabeki 3 tu? Yaani wanajaza wachezaji kwenye nafasi moja wanasahau wanatakiwa wabalance na nafasi nyingine? Sidhani kama huu ni usajili wa kocha. Huu ni usajili wa viongozi wanaotaka kuutumia kwa maslai yao kwenye uongozi.
Miquissone mwenyewe kakaa nje ya uwanja karibia msimu mzima hajacheza mechi yoyote ya kiushindani mpaka akatemwa timu ya taifa kutokana na kutokuwa fiti, leo hii watu wanajinasibu kumsajili kwa nderemo na vifijo🤔🤔.
Kweli soka la Tanzania ni kivyetu vyetu, nimekubali!
Wewe tengeneza timu usajili mabeki 6 wa kati hujazuiwaMimi mdau WA Simba.
NAUNGA MKONO HOJA.
Nikiandika hapa kuhusu makosa ya kiufundi yanayofanyika usajili WA Simba.
Simba Ina mabeki watatu tu WA kati.
WAPUMBAVU NA MBUMBUMBU WATAKUSHAMBULIA.
Umemmaliza kabisaUmetaja Klamo, Banda, Onana na Kibu so ni wanne. Umeshajiuliza nafasi aliyosajiliwa Mkude ina wachezaji wangapi aliowakuta?
1) Mauya
2) Sure Boy
3) Aucho
4) Mudathir
5) Yanick
6) ...