Usajili wa Morison aibu kwa mpira wa Tanzania

Usajili wa Morison aibu kwa mpira wa Tanzania

Simba na yanga zinasajili kwa kukomoana sio kwa mahitaji.
 
•Winga-Msuva,winga-BM3
•Number 10-Aziz Ki
•Striker-Mayele
•Mid double pivot-Aucho na Feisal
•Ubavu-Djuma Shaban,Ubavu-Lomalisa Mutambala
•Yanick Bangala na Mwamnyeto-hawa wanazima mali pale nyuma katikati
•Golini-Djugui Diarra

Kwenye ubao mrefu:Kambole,Adriano Yano,Yacouba,Moloko,Mauya,JOB,Sure Boy,Kibwana,Farid,Ibrahim Bacca

kuna timu itaogopa kuingia uwanjani

Mark my words
Timu imecheza na Bingwa wa Afrika Al Ahly na kumfunga, leo iogope kucheza na Utopolo? Ebu kuwa serious kidogo.
 
Hata Baloteli alikua mtukutu, kwa Bm sisi tunataka huduma yake tu hayo mengine dunia itamfunza
 
Halafu huwa nashindwa kuwaelewa hawa utopolo. Kipindi wanapigwa goli 4 , 1 walidai morisoni na Tshishimbi walihujumu timu ndicho kisa cha kupigwa 4G. Sasa leo morisoni huyohuyo kageuka lulu tena utopoloni
 
•Winga-Msuva,winga-BM3
•Number 10-Aziz Ki
•Striker-Mayele
•Mid double pivot-Aucho na Feisal
•Ubavu-Djuma Shaban,Ubavu-Lomalisa Mutambala
•Yanick Bangala na Mwamnyeto-hawa wanazima mali pale nyuma katikati
•Golini-Djugui Diarra

Kwenye ubao mrefu:Kambole,Adriano Yano,Yacouba,Moloko,Mauya,JOB,Sure Boy,Kibwana,Farid,Ibrahim Bacca

kuna timu itaogopa kuingia uwanjani

Mark my words
Huu ni uuaji
 
MORISSON kaja kutafuta pesa bongo na ameshasoma siasa za mpira wetu zilivyo,acha akapige pesa huko.Mpira anajua yule mwamba basi tu anajichetua sometimes

Zaidi ya umaarufu hana maajabu yeyote,kama unabisha leta takwimu hapo uone alivyo mweupe
 
Kwa tunavyofahamu mpira ni kazi kama zilivyo kazi zingine na mtu ili apewe kazi tabia na mwenendo ni kitu muhimu sana.

sasa record za Morrison hazirizishi hata kidogo na kundelea kubaki kucheza Tanzania akilipwa ni dhararu ndio kitu kinampa jeuri, hii itawapa nafasi hata wachezaji wengine kuamini Tanzania tabia ya mchezaji siyo kipaumbele.

Nawakubali sana South hawakutaka ushenzi huu, hawatataki hata kuwmwona akicheza na timu zao sema tu zikiwa away hawana namna.

Bongo kama ilivyo bongo ni bongo lala kwa kila kitu ndo maana hata mpira wetu ni tia maji tia maji, yanga mmeshindwa kumchukua hata mpole mkaenda kwa muhuni huyu. hata simba lilikuwa kosa kumchukua wakiwa wakijua kule alifanya ujinga

Watanzania tunatawaliwa kwa hisia na nguvu za macho kwa kelele za akina Manara,redio na waqchambuzi uchwara , mbona hakuna kelele taifa stars ifanye vizuri. Tuna penda kuweka ukweli pembeni acha tuendelee kuwa kichwa cha mwenda wazimu.
Mkuu hili Jambo mwenyew linanikera San na wala sintasoma comment ya mtu ila Ni ujinga sna kuendelea kuwa na mtu Kam Morrison ktk nnchi hii
 
•Winga-Msuva,winga-BM3
•Number 10-Aziz Ki
•Striker-Mayele
•Mid double pivot-Aucho na Feisal
•Ubavu-Djuma Shaban,Ubavu-Lomalisa Mutambala
•Yanick Bangala na Mwamnyeto-hawa wanazima mali pale nyuma katikati
•Golini-Djugui Diarra

Kwenye ubao mrefu:Kambole,Adriano Yano,Yacouba,Moloko,Mauya,JOB,Sure Boy,Kibwana,Farid,Ibrahim Bacca

kuna timu itaogopa kuingia uwanjani

Mark my words
Una uhakika Msuva atabaki kucheza hii ligi ?
Tate Mkuu
 
.
 

Attachments

  • FB_IMG_1655579378566.jpg
    FB_IMG_1655579378566.jpg
    31.8 KB · Views: 5
Back
Top Bottom