Usajili wa Morison aibu kwa mpira wa Tanzania

Simba na yanga zinasajili kwa kukomoana sio kwa mahitaji.
 
Timu imecheza na Bingwa wa Afrika Al Ahly na kumfunga, leo iogope kucheza na Utopolo? Ebu kuwa serious kidogo.
 
Hata Baloteli alikua mtukutu, kwa Bm sisi tunataka huduma yake tu hayo mengine dunia itamfunza
 
Halafu huwa nashindwa kuwaelewa hawa utopolo. Kipindi wanapigwa goli 4 , 1 walidai morisoni na Tshishimbi walihujumu timu ndicho kisa cha kupigwa 4G. Sasa leo morisoni huyohuyo kageuka lulu tena utopoloni
 
Huu ni uuaji
 
MORISSON kaja kutafuta pesa bongo na ameshasoma siasa za mpira wetu zilivyo,acha akapige pesa huko.Mpira anajua yule mwamba basi tu anajichetua sometimes

Zaidi ya umaarufu hana maajabu yeyote,kama unabisha leta takwimu hapo uone alivyo mweupe
 
Chetu chetu wakili msomi lazima awachetue makolo kama kawaida yake
 
Mkuu hili Jambo mwenyew linanikera San na wala sintasoma comment ya mtu ila Ni ujinga sna kuendelea kuwa na mtu Kam Morrison ktk nnchi hii
 
Una uhakika Msuva atabaki kucheza hii ligi ?
Tate Mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…