Kidumuuu chama!!!
Nichukue fursa hii kuwapongeza makada wote ndani ya chama Cha kijani waliofanya usajili mahiri wa kuhakikisha wanamsajili ndugu Msigwa na kusaidia kumpa nguvu na umaarufu ndugu Lissu.
Ushindi wa TUNDU Lissu una mchango mkubwa Toka Kwa kada huyu mwenye mapenzi ya dhati CHADEMA,
Lengo la Ndugu Msigwa limetimia Kwa sasa, kilichobaki ni kuhakikisha rafiki yake aliyepo CHADEMA anafanikiwa katika safari yake ya matumaini akiwa ndani ya chama Cha kijani.
Kwako Lucas Mwashambwa , Tlaatlaah , johnthebaptist
Karibuni
Nichukue fursa hii kuwapongeza makada wote ndani ya chama Cha kijani waliofanya usajili mahiri wa kuhakikisha wanamsajili ndugu Msigwa na kusaidia kumpa nguvu na umaarufu ndugu Lissu.
Ushindi wa TUNDU Lissu una mchango mkubwa Toka Kwa kada huyu mwenye mapenzi ya dhati CHADEMA,
Lengo la Ndugu Msigwa limetimia Kwa sasa, kilichobaki ni kuhakikisha rafiki yake aliyepo CHADEMA anafanikiwa katika safari yake ya matumaini akiwa ndani ya chama Cha kijani.
Kwako Lucas Mwashambwa , Tlaatlaah , johnthebaptist
Karibuni