Amun Ra
JF-Expert Member
- Jul 30, 2021
- 4,713
- 7,218
Kumuelewa Lissu inaitaji akiri nyingi sio za form mojaNamchukia sana Lissu kwa Uropokaji wake na Maneno yake ya kibaguzi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumuelewa Lissu inaitaji akiri nyingi sio za form mojaNamchukia sana Lissu kwa Uropokaji wake na Maneno yake ya kibaguzi.
Pesa za mbowe zilitoka kwa mama abdulEti anaamini bila Mbowe CHADEMA itajifia Kwa kukosa pesa,
Anasahau CDM ni Taasisi, na Mbowe ni mwanadamu wa kupita tu🤔
Lissu amefanikiwa kusafisha chama,Kumuelewa Lissu inaitaji akiri nyingi sio za form moja
Kama hazikufanikisha malengo Yao,Pesa za mbowe zilitoka kwa mama abdul
Ilikuwa lengo letu,awe Mwenyekiti ili awe kioo, kioo kinapasuka kirahisi, mwanzoni Mbowe alikuwa anaziba tusimpate kirahisichiembe pia pongezi zikufikie Kwa kusaidia ushindi wa TUNDU Lissu Kwa kuanzisha thread nyingi za kumpondea bila kujua ulikuwa unamsaidia Nabii Lissu indirect.
Mbaguzi ni saa100Namchukia sana Lissu kwa Uropokaji wake na Maneno yake ya kibaguzi.
Kama hazikufanikisha malengo Yao,
Basi wamepigwa mara mbili.
Na mangi Huwa harudishi pesa, huo ni mwiko!!
Subiri kombolela la nchi nzimaKama hazikufanikisha malengo Yao,
Basi wamepigwa mara mbili.
Na mangi Huwa harudishi pesa, huo ni mwiko!!
Mbona hakuna kiongozi huko kijani aliyetoka kumpongeza Lissu?Ilikuwa lengo letu,awe Mwenyekiti ili awe kioo, kioo kinapasuka kirahisi, mwanzoni Mbowe alikuwa anaziba tusimpate kirahisi
Wazee wa form moja 😁😁😁 ccm bure kabisaLissu amefanikiwa kusafisha chama,
Mbowe amesaidia kuunganishwa tena chama Kwa kukubali matokeo,
Aibu iwapate majirani walioingilia NDOA ya majirani isowahusu!
Ni kweli, umeona alivo tuma kijembe kwa FAM kule X mara tu baada ya TAL kushinda.Dah! Nadhani Msigwa km angelijua Lissu atakuwa mwenyekiti kamwe asingelienda Ccm
Mnae yeyote huko kijani wa kujibu HOJA za Lissu?Subiri kombolela la nchi nzima
Namchukia sana Lissu kwa Uropokaji wake na Maneno
Kuchukiwa na chawa punguani mnafiki, ni jambo la heri sana.yake ya kibaguzi.
Alipaswa kusoma upepo,Ni kweli, umeona alivo tuma kijembe kwa FAM kule X mara tu baada ya TAL kushinda.
Kwamba Lissu akose USINGIZI kisa anachukiwa na Lucas Mwashambwa!Kuchukiwa na chawa punguani mnafiki, ni jambo la heri sana.
Siwezi pata sonona kwa vyama Vya siasa….huu utoto wenu tunaupa muda tuuu….Sonona, hakuna kuhama chama hata mkishindwa.
Kwako DEMOKRASIA ni utoto?Siwezi pata sonona kwa vyama Vya siasa….huu utoto wenu tunaupa muda tuuu….
Tukikwama tutakuja kuwaomba nyie wauza unga mtusaidie.Siwezi pata sonona kwa vyama Vya siasa….huu utoto wenu tunaupa muda tuuu….
Whatever evil money is…. Being broke is not holy!Tukikwama tutakuja kuwaomba nyie wauza unga mtusaidie.
Hata pesa za Damu?Whatever evil money is…. Being broke is not holy!