Jikite kwenye mada 😀Vipi utabiri wako wa pale kawe..,!?
Jikite kwenye mada
Sasa mnatakiwa kuwa na msimamo mmoja,Namchukia sana Lissu kwa Uropokaji wake na Maneno yake ya kibaguzi.
Mwanasiasa hutakiwi kuwa na hasira na kufanya maamuzi Kwa hasira bila kufanya uchanganuzi wa kutosha.Dah! Nadhani Msigwa km angelijua Lissu atakuwa mwenyekiti kamwe asingelienda Ccm
Msimamo wangu nilishasema simpendi lissu na ninamchukia kwa sababu anapenda sana ubaguzi na alimdhalilisha sana Rais wetu kwa maneno machafu ya kibaguzi na ya kumtweza . Simpendi kabisa kabisa lissuSasa mnatakiwa kuwa na msimamo mmoja,
Wewe useme hili, Msigwa ampongeze Lissu, sasa nani anafaidika Kwa harakati zenu?
Na very soon CDM itajifia kwa kukosa Pesa….. sometimes CCM huwa na strategies zenye akili sana!! Samia sahv anacheeeeka…..Kidumuuu chama!!!
Nichukue fursa hii kuwapongeza makada wote ndani ya chama Cha kijani waliofanya usajili mahiri wa kuhakikisha wanamsajili ndugu Msigwa na kusaidia kumpa nguvu na umaarufu ndugu Lissu.
Ushindi wa TUNDU Lissu una mchango mkubwa Toka Kwa kada huyu mwenye mapenzi ya dhati CHADEMA,
Lengo la Ndugu Msigwa limetimia Kwa sasa, kilichobaki ni kuhakikisha rafiki yake aliyepo CHADEMA anafanikiwa katika safari yake ya matumaini akiwa ndani ya chama Cha kijani.
Kwako Lucas Mwashambwa , Tlaatlaah , johnthebaptist
Karibuni
Sasa unapingana na Makala aliyemsajili Msigwa Ili kumsafisha njia ya ushindi Lissu unayemchukia?Msimamo wangu nilishasema simpendi lissu na ninamchukia kwa sababu anapenda sana ubaguzi na alimdhalilisha sana Rais wetu kwa maneno machafu ya kibaguzi na ya kumtweza . Simpendi kabisa kabisa lissu
Nani anacheka?Na very soon CDM itajifia kwa kukosa Pesa….. sometimes CCM huwa na strategies zenye akili sana!! Samia sahv anacheeeeka…..
sasa kama wewe IQ ni ya darasa la saba ulitaka aseme wewe ni form Ii. Kisa ni kiongoziMsimamo wangu nilishasema simpendi lissu na ninamchukia kwa sababu anapenda sana ubaguzi na alimdhalilisha sana Rais wetu kwa maneno machafu ya kibaguzi na ya kumtweza . Simpendi kabisa kabisa lissu
Kwani yeye anakupenda?Msimamo wangu nilishasema simpendi lissu na ninamchukia kwa sababu anapenda sana ubaguzi na alimdhalilisha sana Rais wetu kwa maneno machafu ya kibaguzi na ya kumtweza . Simpendi kabisa kabisa lissu
Sonona, hakuna kuhama chama hata mkishindwa.Na very soon CDM itajifia kwa kukosa Pesa….. sometimes CCM huwa na strategies zenye akili sana!! Samia sahv anacheeeeka…..
Eti anaamini bila Mbowe CHADEMA itajifia Kwa kukosa pesa,Sonona, hakuna kuhama chama hata mkishindwa.