NAJYUZ
JF-Expert Member
- May 10, 2021
- 1,981
- 3,475
Basi sawa[emoji28]
mimi sitaki kujieleza sana. huyo Morrison ni mavi tu hapa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Basi sawa[emoji28]
mimi sitaki kujieleza sana. huyo Morrison ni mavi tu hapa
Basi hapa kuna watu waliamini zina kutosha kichwani.Ghana hiyo hiyo ambayo morisson anatokea ndio Ghana hiyo hiyo ambayo Simba wamesajili mshambuliaji ambaye anakiwasha QATAR
Tunasubiria drama zenu kama hizi za mwanzo wa msimu tuanze kucheka 🤣Simba inachukua vyuma vinavyojiandaa kwenda ulaya, wakati jamaa zetu wanachukua waliotoka huko miaka 20 iliyopita!.
Hapo kwenye kupasua ngoja tuone kiungo atakaefuata kusajiliwa, lakini hata kwa kiungo mkabaji aliyetoka Coastal jamaa ana nguvu na mapafu, goli moja assist 3.
Mmetia akili nowNinyi ni wazee wa free agent Hamna hela ya kumpa huyu kiumbe.
Ahsante sana mkuu kwa kuuibua huu uzi,makolo waliongea shombo sana kwenye huu uziBasi hapa kuna watu waliamini zina kutosha kichwani.
Bibie tupe mrejesho wa okrah 🤣Mambo vipi Simbaaa OKRAH ni mnyama yeko yeko yekoo
Rage alivyosema hawa ni mbumbumbu ndio uelewe sasa.Bibie tupe mrejesho wa okrah 🤣
Wamjengee mnara rage kwa kuwatunuku jina lao pendwa 🤣Rage alivyosema hawa ni mbumbumbu ndio uelewe sasa.
Yekoo yekoooBibie tupe mrejesho wa okrah 🤣
Sijakuonepo kwenye uzi wetu wa USM ALGER na Yanga.Vina muda basi[emoji28]..
Pye pye..kiko wapi sasa?[emoji16]
Tunawasubiri home na lidege lenu la mchuzi juu tuwatandike tenaBasi hapa kuna watu waliamini zina kutosha kichwani.
Okrah nae ni binadamu, sometimes yes ... sometimes NO, ndicho kilichomkuta Simba SC.Ngoja nifukuwe hili kaburi, nyenyenye kiko wapi sasa?
Utopolo wenyewe mlikuwa mnasajili kikosi kizima kwa kelele msimu ukiisha mnakiacha, msimu unaofuata mnasajili tena kikosi kizima... inaonekana mna kumbukumbu fupi sana.Tunasubiria drama zenu kama hizi za mwanzo wa msimu tuanze kucheka [emoji1787]
Mbumbumbu Pro Max na Mambumbumbu wenzako tisa wakakupa likes.Kwaio Simba imesajili chezaji tutakalo liona kombe la Dunia Qatar?
kuna watu wanapresha mtauwa wenzenu mjue!
Haya tuletee ngano za usajili za msimu mpya huu.Okrah nae ni binadamu, sometimes yes ... sometimes NO, ndicho kilichomkuta Simba SC.
Hata mpira wa ulaya kuna wachezaji wengi wazuri waliosajiliwa timu nyingine wakashindwa ku perform.
Unaonekana bado kipofu wa footballing game, mifano kama Fernando Torres akiwa Chelsea, hakufanana na yule wa Liverpool, Eden Hazard akiwa Chelsea, hafanani na wa R. Madrid, mifano ni mingi...
Hope umefunguka akili kidogo utopolo, na mwaka huu ndio balaa mnalo, ipo mfukoni bilioni 5 ya Super League kwa ajili ya kuwanyoosha kwenye usajili.
Nimemaliza.
Mbumbumbu Mkuu wa JFWewe ndie zuzu kweli, nani aliyekwambia mchezaji akishiriki kombe la dunia hawezi kushuka kiwango?
Vyura mna matatizo sana.
Kumbe alikuwepo Qatar mda unaenda mbioWewe ndie zuzu kweli, nani aliyekwambia mchezaji akishiriki kombe la dunia hawezi kushuka kiwango?
Vyura mna matatizo sana.