Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani mbona najua we ni mmoja wa wanaumoja party?View attachment 2206545sponsor wa chama Yuko ughaibuni, alitumia posho za ubunge kukianzisha, hajamaliza, kahamishwa, ubalozi milioni 5 kwa mwezi
Shida iko wapi mbona vyama vyote nchini ni vya kikabila including chama dumeUmoja party is SUKUMA Gang party
Wapumbavu wakubwa nyie washabiki wa maagufuliShida iko wapi mbona vyama vyote nchini ni vya kikabila including chama dume
Ha ha haaWapumbavu wakubwa nyie washabiki wa maagufuli
Chama kinachotumua Swastika na picha ya Adolf Hitler hakina nafasi tutakidenazify kabla hakijazaliwa rasmi.Ndg zangu kila kitu kinaenda vizuri, ondoeni wasiwasi chama kina watu wengi wanaojielewa na wazito, msimsikilize mtu asiye na uelewa wa chama hiki kinachokuja kubadilisha mustakabali wa taifa hili.
Kuna mtu anatajwa hapo sijui Polepole huyu hajawahi kuwa mmoja wetu ila tuligemea na bado tunategemea kumpa nafasi kuwa mmoja wa wanachama wetu wa mwanzo.
Ndg zangu Watanzania naendelea kuwaomba muendelee kutupa ushirikiano na tuwe na subra.
Wapumbavu wakubwa nyie washabiki wa maagufuli
Hahahaha hawamini kilichowatokea wanaruka na kukanyagana.... sheeeeeez.Kwani mbona najua we ni mmoja wa wanaumoja party?
Kwani hawezi kuja KUKAMILISHA USAJILI kwani Malawi ni jiraniView attachment 2206545sponsor wa chama Yuko ughaibuni, alitumia posho za ubunge kukianzisha, hajamaliza, kahamishwa, ubalozi milioni 5 kwa mwezi
Simfaham uliyemwandikia nadhani umekosea kuandika.Chama kinachotumua Swastika na picha ya Adolf Hitler hakina nafasi tutakidenazify kabla hakijazaliwa rasmi.
Kuna kikwazo kipo kwetu wanachama au serikali yenu?View attachment 2206545sponsor wa chama Yuko ughaibuni, alitumia posho za ubunge kukianzisha, hajamaliza, kahamishwa, ubalozi milioni 5 kwa mwezi
Hiki kijamaa very intelligent. Yaani kika unapokipiga teke ndio unakiongezea mwendo. Haya bara walidhani wamemfuta kaenda kutengeneza combination na Mwinyi. Imagine soko la dagaa likifanya vizuri je maza atachukia na kumuhamishia ubalozi sehemu nyingine.? Je kitendo cha kumuhamisha si ni kama atakuwa kajichongea kwa wazenji ambako ndio kwao na anatafuta jina kwa sasa?Nimemsikia Balozi Polepole alipokuwa kaenda Zanzibar kupokea maelekezo kutoka kwa Mh Rais Mwinyi jr. Jamaa ana misheni mahususi ya kuintegrate blue economy ZNZ na ile ya Malawi ya Ziwa Nyasa khalafu dagaa wa Zenji wawe exported kwenda Congo DRC.
Wazito tena? Ngoja sisi wepesi tuendelee kuwazoomNdg zangu kila kitu kinaenda vizuri, ondoeni wasiwasi chama kina watu wengi wanaojielewa na wazito, msimsikilize mtu asiye na uelewa wa chama hiki kinachokuja kubadilisha mustakabali wa taifa hili.
Kuna mtu anatajwa hapo sijui Polepole huyu hajawahi kuwa mmoja wetu ila tuligemea na bado tunategemea kumpa nafasi kuwa mmoja wa wanachama wetu wa mwanzo.
Ndg zangu Watanzania naendelea kuwaomba muendelee kutupa ushirikiano na tuwe na subra.
Sukuma gang mtapata tabu sana. Mimi nawashauri mu base sana kwa wanyonge kama mwendazake maana wanyonge ndiyo rahisi kuwadanganya na wako wengi.Ndg zangu kila kitu kinaenda vizuri, ondoeni wasiwasi chama kina watu wengi wanaojielewa na wazito, msimsikilize mtu asiye na uelewa wa chama hiki kinachokuja kubadilisha mustakabali wa taifa hili.
Kuna mtu anatajwa hapo sijui Polepole huyu hajawahi kuwa mmoja wetu ila tuligemea na bado tunategemea kumpa nafasi kuwa mmoja wa wanachama wetu wa mwanzo.
Ndg zangu Watanzania naendelea kuwaomba muendelee kutupa ushirikiano na tuwe na subra.
Ndoto za alinachaNimemsikia Balozi Polepole alipokuwa kaenda Zanzibar kupokea maelekezo kutoka kwa Mh Rais Mwinyi jr. Jamaa ana misheni mahususi ya kuintegrate blue economy ZNZ na ile ya Malawi ya Ziwa Nyasa khalafu dagaa wa Zenji wawe exported kwenda Congo DRC.