Usajili wa Umoja Party unakawia kwa sababu Polepole kahamia Malawi?

Usajili wa Umoja Party unakawia kwa sababu Polepole kahamia Malawi?

Hiki kijamaa very intelligent. Yaani kika unapokipiga teke ndio unakiongezea mwendo. Haya bara walidhani wamemfuta kaenda kutengeneza combination na Mwinyi. Imagine soko la dagaa likifanya vizuri je maza atachukia na kumuhamishia ubalozi sehemu nyingine.? Je kitendo cha kumuhamisha si ni kama atakuwa kajichongea kwa wazenji ambako ndio kwao na anatafuta jina kwa sasa?
Lakini je soko likifanikiwa si itamfanya Polepole awe popular zenji kuliko yeye, je maza atastahimili. Ngoja tuone. Penye Mungu binadamu haweki mkono.
"msema kweli ni mpenzi wa Mungu" leo kafyekelewa mbali sababu ya uovu wake.
 
Sukuma gang mtapata tabu sana. Mimi nawashauri mu base sana kwa wanyonge kama mwendazake maana wanyonge ndiyo rahisi kuwadanganya na wako wengi.
Hatuna mlengo wa kuegemea hiki ni chama cha kila Mtanzania mwenye nia ya kubadilisha mfumo na kuijenga Tanzania mpya ile unayoitizama ndotoni.

Ondoa fikra ya matabaka kuifurahia nchi yako.
 
Nachoshindwa kuelewa ni kuona watu wanahusisha masuala ya nchi na ukabila, mbona kama Taifa tulishatoka huko miaka mingi?,
Uwepo wa vyama tofauti katika nchi huchangia sana maendeleo zaidi ya vile watu tunadhani. Ebu ifike wakati tuache kuhusisha masuala ya kitaifa tuki ACT kama ni usimba na uyanga.
Ebu turuhusu kuwepo kwa vyama vingine vyenye ideology tofauti huenda ikawa ni chachu ya kulisaidia taifa kutoka hapa lilipo.
Yaani Taifa linazidi kuzorota kila siku wakati huohuo hatuachi kujinadi kuwa Mungu katubariki kila kitu Tanzania.
GOD BLESS AFRICA & now focus on TANZANIA. Ameeeeen
 
Back
Top Bottom