Lazaroj
JF-Expert Member
- Aug 10, 2015
- 1,451
- 1,050
Inamaana wanalipwa milioni mojaaa,[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]Pesa ya diamond hawana..dai hapig show ya 1m...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inamaana wanalipwa milioni mojaaa,[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]Pesa ya diamond hawana..dai hapig show ya 1m...
Ulisoma Vibaya mkuu. Mm ndiyie niliyeanzisha huu Uzi. Sijaandika Usahili mahali popote.Hii thread ilivyoanzishwa nadhani hukuiona sasa umekurupuka tu...
Hujiulizi mbona wengine hawajanikosoa hapo?!....so ndo hivyo mwanzoni iliandikwa hivyo
Hata hivyo bado ni dharau kuwasainisha mkataba wasanii mbele ya kadamnasi hivyo....kusaini mkataba kunahitaji utulivu wa akili pia na kupitia vipengele vyote.....ndio maana hii nchi tunasainishwaga mikataba ya kilaghai kwa kutokuwa makini na matendo yetu...
Huwezi msainisha msanii mkataba kama unafanya "usajili" wa timu za ndondo cup.
muheshimu maua hakuna msanii wa kike mwenye uwezo kama maua show zake ni classic yeye ni live band ndio msanii ninayenda show zake
maua kuna kitu anacho ambacho napenda wengine hawanaMkuu kweli unafata show au unaenda kumcheki Maua?
maua kuna kitu anacho ambacho napenda wengine hawana
Hiv sasa zitapigwa nyimbo za wasanii waliosailiwa mpaka bas wale wasiopata hili dili wasubir mpaka fiesta iishe ndio watapata tena airtime mawingu fm
Efm toa ngoma weka ngomaKwa wakazi wa Dar na Pwani shida haitakuwa kubwa maana kuna mbadala EFM!
Fiesta ni timu ya mpira wa miguu?Tatizo ujielewi,ule ni usajili kama usajili wa wachezaji unavyofanywahuu ni mfano,ndio maana wamesema ni usajili![]()
Inawezekana sawa sikuona vizuri au inawezekana mod wame-edit pia....nimekuelewa bra.Ulisoma Vibaya mkuu. Mm ndiyie niliyeanzisha huu Uzi. Sijaandika Usahili mahali popote.
Hilo ndilo la msingi. Tiketi zote zitolewe kwa mfumo wa EFD ili serikali ipate gawio lake kama sheria za kodi zinavyoelekeza.Wao wafanye usajili wa wasanii hata buku...
Sisi shida yetu ni tiketi na risiti za EFD
Upo kwenye uongozi wa clouds?Huu ni muda mwingine tutakaposikia kituo hiki cha redio kikimtangaza Ali K kama msanii mkubwa zaidi ya D!
Business Strategy.
Upo kwenye uongozi wa clouds?