Lakini kwa Azizi Andambwile na Gerson Gwalala, me ningeenda na Gwalala.Ni kweli lakini pia Aziz Andambwile akiaminiwa na kupewa nafasi ana uwezo mkubwa sana kua back up ya Aucho kijana yuko vizuri..
Mkude yupo Singida pamoja na Guede.Aucho,Mkude,Andambwile bila kisahau Mudathir na Max wanauwezo wa kukaba na kushambulia.Bila kusahau Job nae mechi ya Medeama nail Ahly alicheza kiungo mkabaji vizuri tu.
Haya nitajie viungo wakabaji wa 5imba kwa sasa.
Nimesoma huu uzi uzi nikamkuta Mkude ndani ya Singida.Mkude Singida kaenda lini?
Guede najua ila Mkude sijasikia wala kuona,kwenye Social platforms za Yanga na Singida.Mkude yupo Singida pamoja na Guede.
Huwa wanajitoa ufahamu Kama Sasa hivi walivyoanzia raundi ya awali.Msimu uliopita
Mechi ya ufunguzi pale Tanga
Simba 4 Yanga 1
Ligi Simba 1 Yanga 2
Ligi Simba 1 Yanga 5
Jumla Yanga 8 Simba 6
Yanga mlizidi goli mbili tu.
Ila mnajitoa ufahamu.
Na ww ukaziamini tetesi,Singida wametambulisha wachezaji wawili mpaka sasa Guede na Lyanga.Nimesoma huu uzi uzi nikamkuta Mkude ndani ya Singida.
Singida Black star, wamejipanga, moto utawaka nafasi ya pili
Hawa wapo kimya ila wamejipanga vyema. Naona wazi akichukua nafasi ya pili. Azam wameleta magalasa ya huko South America nadhani nafasi ya pili ataisikia redioni. Mbumbumbu a.k.a zoazoa fc au DEBORA fc naona wakishika nafasi ya 6 hata shirikisho hawapendi tena. Guede , Lyanga, Manura...www.jamiiforums.com
Wapiga ngeta mbona wapo kila kona ya Jiji la Dar es Salaam.Hadi sasa timu ya Yanga imeanza mazoezi ya pre season, katika usajili wa msimu huu naona Yanga imeingia katika mtego ambao uliukuta Simba, wa kujaza wachezaji wa nafasi moja kwa idadi kubwa huku kuna maeneo hayana mbadala. Simba walikuwa wanawajaza mawinga kibao jambo naliona kwa Yanga kujaza viungo washambuliaji kibao, msimu uliopita walikuwa na viungo washambuliaji wa kutosha huku upande wa kiungo mkabaji wenye viwango akiwa ni Aucho jambo ambalo lilileta taharuki baada ya Aucho kuumia mechi ya klabu bingwa dhidi ya Mamelodi simanzi zilitawala juu ya ni nani atalichukua dimba la Aucho kikamiliifu, ndipo akaonekana mwamba Mkude kulitendea haki kwa mechi dhidi ya Mamelodi. Huyu Mkude sielewi hatima yake ipoje ndani ya kikosi cha Yanga msimu huu. Lakini hata kama bado anasalia jangwani bado kuna umuhimu wa kuletwa mtu atakayekuwa mbadala wa Aucho. Aucho anaweza kuumia, kupata adhabu au kuchoka kutokana na kutumika sana hivyo ni muhimu upande wake kuwa na mbadala uliokuwa na kiwango kikubwa pia.
Kwa anayejua, je Yanga mpaka sasa itakuwa na viungo wakabaji wangapi kuelekea msimu huu mpya?
Wewe utakuwa ni kijana mtiifu wa rage bila shaka! Siyo kwa takwimu hizi! Ile mechi ya ngao ya jamii ilikuwa hivi; Full time Yanga 0 Simba 0 (pen. 1-4).Msimu uliopita
Mechi ya ufunguzi pale Tanga
Simba 4 Yanga 1
Ligi Simba 1 Yanga 2
Ligi Simba 1 Yanga 5
Jumla Yanga 8 Simba 6
Yanga mlizidi goli mbili tu.
Ila mnajitoa ufahamu.
Umebadilika sana siku hizi unachambua soccer ndugu zako ukihoji jambo wanakushambulia badala ya kujibu kwa hoja!Wamemsajili pia Azizi Andambwile kutoka Singida Fountain Gate kama sijakosea. Ni kiungo mkabaji huyo. Ila hoja yako ina mashiko. Angepatikana kiungo mkabaji mwingine mahiri wa Kimataifa kwa ajili ya kumchallenge Aucho.
Hata Pacome pia anajua kukaba timu inaposhambuliwa na kuanzisha mashambulizi kwa haraka timu inapokua ina miliki mpira.Aucho,Mkude,Andambwile bila kisahau Mudathir na Max wanauwezo wa kukaba,kutengeneza nafasi na kushambulia.Bila kusahau Job nae mechi ya Medeama nail Ahly alicheza kiungo mkabaji vizuri tu.
Haya nitajie viungo wakabaji wa 5imba kwa sasa.
Nani kakwambia mkude kaenda singida? Umempeleka wewe!Nimeuliza swali je kwasasa Yanga ina replacement ipi ya Aucho? Maana Mkude kaenda Singida na Mauya hakuwa na kiwango na pia sio sehemu ya kikosi tena. Au ndio tetegemee kuona Sure boy kama back up ya Aucho?
Mkude yupo Avic Town mzeee..Nimeuliza swali je kwasasa Yanga ina replacement ipi ya Aucho? Maana Mkude kaenda Singida na Mauya hakuwa na kiwango na pia sio sehemu ya kikosi tena. Au ndio tetegemee kuona Sure boy kama back up ya Aucho?
Yupo aziz adambwileNimeuliza swali je kwasasa Yanga ina replacement ipi ya Aucho? Maana Mkude kaenda Singida na Mauya hakuwa na kiwango na pia sio sehemu ya kikosi tena. Au ndio tetegemee kuona Sure boy kama back up ya Aucho?
Inakwenda kucheza na timu ya Bundesliga South Africa kwenye Mpumalanga cup.Hii Yanga ni next level, Eng Hersi ni mtu mbad na hana nia njema na ligi yetu, yaani hataki timu yoyote kupata japo droo mbele ya Yanga.
Mi naona kila idara imejaa, hakuna gepu, Yanga inaweza kuwa timu pekee duniani yenye vikosi vya kwanza viwili na nusu, yaani unatoa 11 unaweka 11 na goli ni zile zile 5 - 0 kama kawa.
Mbumbumbu kazini kwao kuna kazi. Ni ngumu sana kwao kurudia ufalme wao zilipendwa!
Yanga washambuliaji ni moto mkali, viungo moto, mabeki moto na kipa la dunia Diarra limesalia jangwani.
Ili kuitendea haki timu, Yanga iombe friendly match na Madrid au PSG. Hiyo ndio level yetu kwasasa!!
Hersi hafai, ametisha mno. Na tumpe maua yake kwa usajili wa kuua ligi. Yaani Hersi ameleta SMG kuua mbu tu!
Wewe jitoe ufahamu tu.Simba sc imefanya usajili wa kisayansi msimu huu.Aucho,Mkude,Andambwile bila kisahau Mudathir na Max wanauwezo wa kukaba,kutengeneza nafasi na kushambulia.Bila kusahau Job nae mechi ya Medeama nail Ahly alicheza kiungo mkabaji vizuri tu.
Haya nitajie viungo wakabaji wa 5imba kwa sasa.