Usajili wa Yanga naona safari hii wamejaza washambuliaji wengi kuliko wakabaji

Usajili wa Yanga naona safari hii wamejaza washambuliaji wengi kuliko wakabaji

Wewe jitoe ufahamu tu.Simba sc imefanya usajili wa kisayansi msimu huu.

Kiungo Cha ukabaji kuna wanaume wawili wa maana,Agustine Okejepha na Yusuph Kaghoma..Debora atakua juu yao kama Double pivot ila hata chini anaweza kucheza...Msimu uanze tupunguze maneno
Timu zote zimesajili sio ww peke yako, vp quality yao ushawahi kuiona au umesimuliwa tu na ukaamini au umesahau Aboubakar Sarr...... aliye miaba Cr7 (Kwa mujibu wa msemaji wenu) leo yupo wapi?

Mimi nimemuona Aucho,Muda,Max na Mkude wakicheza tena ktk michuano mikubwa ktk kiwango cha juu,vp wa kwako?

Msalimie Jobe.
 
Timu zote zimesajili sio ww peke yako, vp quality yao ushawahi kuiona au umesimuliwa tu na ukaamini au umesahau Aboubakar Sarr...... aliye miaba Cr7 (Kwa mujibu wa msemaji wenu) leo yupo wapi?

Mimi nimemuona Aucho,Muda,Max na Mkude wakicheza tena ktk michuano mikubwa ktk kiwango cha juu,vp wa kwako?

Msalimie Jobe.
Niamini mimi,Simba sc hawajakurupuka kwenye usajili awamu hii.Mimi nipo jikoni kabisa ,ko naomba uniamini bwana mkubwa.
 
Niamini mimi,Simba sc hawajakurupuka kwenye usajili awamu hii.Mimi nipo jikoni kabisa ,ko naomba uniamini bwana mkubwa.
Mimi mwenye wachezaji walio sajili na Yanga ambao sijawaona,siwezi kuwasifia mpaka ni waone atleast wakicheza mechi tano hasa za mashindano,ndipo nitakomenti.

Dube nimemuona ila anatatizo moja la majeruhi kuhusu akili na uwezo wa kufunga sina wasi nae,Chama kweli mzuri ila sikutaka aje Yanga,kwani sizani kama ile Morali ya kupigana kama anayo pili umri. Hao wengine wapya mpaka ni waone.Sajili za bongo nazifahamu vizuri sana,kelele nyingi ila uwanjani hamna kitu.
 
Hadi sasa timu ya Yanga imeanza mazoezi ya pre season, katika usajili wa msimu huu naona Yanga imeingia katika mtego ambao uliukuta Simba, wa kujaza wachezaji wa nafasi moja kwa idadi kubwa huku kuna maeneo hayana mbadala. Simba walikuwa wanawajaza mawinga kibao jambo naliona kwa Yanga kujaza viungo washambuliaji kibao, msimu uliopita walikuwa na viungo washambuliaji wa kutosha huku upande wa kiungo mkabaji wenye viwango akiwa ni Aucho jambo ambalo lilileta taharuki baada ya Aucho kuumia mechi ya klabu bingwa dhidi ya Mamelodi simanzi zilitawala juu ya ni nani atalichukua dimba la Aucho kikamiliifu, ndipo akaonekana mwamba Mkude kulitendea haki kwa mechi dhidi ya Mamelodi. Huyu Mkude sielewi hatima yake ipoje ndani ya kikosi cha Yanga msimu huu. Lakini hata kama bado anasalia jangwani bado kuna umuhimu wa kuletwa mtu atakayekuwa mbadala wa Aucho. Aucho anaweza kuumia, kupata adhabu au kuchoka kutokana na kutumika sana hivyo ni muhimu upande wake kuwa na mbadala uliokuwa na kiwango kikubwa pia.

Kwa anayejua, je Yanga mpaka sasa itakuwa na viungo wakabaji wangapi kuelekea msimu huu mpya?
Azizi Andambwile, Sure Boy, Mkude hao wote ni namba sita. Au unazungumzia mchezaji wa kigeni?
 
Back
Top Bottom