Usalama kwa Dkt. Bashiru: Lolote likimtokea tumewajua wabaya wake

Usalama kwa Dkt. Bashiru: Lolote likimtokea tumewajua wabaya wake

Hatuwezi kuamini kwamba Mtaishia kumsema sema kwenye hizo Press release pekee.

Kwa tunavyowajua CCM na Wahuni Gang wake, ni vema tuwaambie mkae mkijua hilo, kwamba maadamu tumewaona hadharani mkimshambulia kwa hasira kali.

Na pale atakapopatwa na lolote lile baya, hatutawaacha na nyinyi mkiendelea kupongezana, kama mlivyokwishakuzowea!

Umma umewajua!
Umma unawatizama!
Umma hauna Furaha nanyi!
Umma umekereka na uozo!
Umma unaumia na #Tozo!
Umma unakereka na #Giza!
Umma hauna Amani mitaani!
Umma unaumia na Bei holela!
Wajasiriamali wako Hoi!
Wamachinga wako Hoi!

Jasho lao linaliwa na wenye Meno. Mkiambiwa Ukweli mnakuwa Mbogo!

Amani mmebaki nayo nyinyi waimba mapambio,wakati hali ya mtanzania ikiporomoka kila uchao wakati nyinyi mnapishana kwenye milango ya Ndege mkijiandaa kuruka na kutua ughaibuni.

Watanzania wengi wanapishana kwenye Ofisi za mikopo Umiza kwa kusukumwa na ugumu wa Maisha. Watanzania wengi wamegeuka wacheza Kamari za kubashiri mipira kwenye vibanda Umiza.

Watanzania wengi wamegeuka watumwa wa Tatu Mzuka na So Many Of The Kind!

#Tutasimama na #Bashiru pamoja na wakweli wote wanaoyajua machungu yetu!

Machawa mkae Mguu Sawa!

View attachment 2423645
ningekuona wa maana kama ungetwambia nani walimlisha sumu mzee MANGULA?
Nani waliongoza genge la kihuni la kununua wabunge kwa kivuli cha kuunga mkono juhudi za chizi?
yupo wapi ben sanane?
nani walimpiga risasi tundu lisu
KALIFUFUENI LITUJIBU KWANZA HAYA MASWALI
 
Hata usichukulie serious Sana hao wanaomnanga BASHIRU leo ndio haohao kesho watamsifia pale mambo yakigeuka Kama ya tarehe 21 Machi 2O21 maisha n Kama marathon TU anayemaliza wakawanza hupongezwa haijalishi alianzaje
Kimsingi kuwaamini wasemacho ni kuichosha akili yako
 
Hatuwezi kuamini kwamba Mtaishia kumsema sema kwenye hizo Press release pekee.

Kwa tunavyowajua CCM na Wahuni Gang wake, ni vema tuwaambie mkae mkijua hilo, kwamba maadamu tumewaona hadharani mkimshambulia kwa hasira kali.

Na pale atakapopatwa na lolote lile baya, hatutawaacha na nyinyi mkiendelea kupongezana, kama mlivyokwishakuzowea!

Umma umewajua!
Umma unawatizama!
Umma hauna Furaha nanyi!
Umma umekereka na uozo!
Umma unaumia na #Tozo!
Umma unakereka na #Giza!
Umma hauna Amani mitaani!
Umma unaumia na Bei holela!
Wajasiriamali wako Hoi!
Wamachinga wako Hoi!

Jasho lao linaliwa na wenye Meno. Mkiambiwa Ukweli mnakuwa Mbogo!

Amani mmebaki nayo nyinyi waimba mapambio,wakati hali ya mtanzania ikiporomoka kila uchao wakati nyinyi mnapishana kwenye milango ya Ndege mkijiandaa kuruka na kutua ughaibuni.

Watanzania wengi wanapishana kwenye Ofisi za mikopo Umiza kwa kusukumwa na ugumu wa Maisha. Watanzania wengi wamegeuka wacheza Kamari za kubashiri mipira kwenye vibanda Umiza.

Watanzania wengi wamegeuka watumwa wa Tatu Mzuka na So Many Of The Kind!

#Tutasimama na #Bashiru pamoja na wakweli wote wanaoyajua machungu yetu!

Machawa mkae Mguu Sawa!

View attachment 2423645
Huyu tuhuma zake ndizo zitaanza kuwekwa mezani kwani hatadhuriwa kwa lipi haswa mbona sioni utisho wowote alionao Bashiru.
Waliondolewa Makatibu wote Nchi nzima ambao aliwaweka yy pasipo nadhara itakuwa yy.
Sioni utisho wake wowote
 
Hata usichukulie serious Sana hao wanaomnanga BASHIRU leo ndio haohao kesho watamsifia pale mambo yakigeuka Kama ya tarehe 21 Machi 2O21 maisha n Kama marathon TU anayemaliza wakawanza hupongezwa haijalishi alianzaje
Hili ndo tunapaswa lizingatia
 
Hatuwezi kuamini kwamba Mtaishia kumsema sema kwenye hizo Press release pekee.

Kwa tunavyowajua CCM na Wahuni Gang wake, ni vema tuwaambie mkae mkijua hilo, kwamba maadamu tumewaona hadharani mkimshambulia kwa hasira kali.

Na pale atakapopatwa na lolote lile baya, hatutawaacha na nyinyi mkiendelea kupongezana, kama mlivyokwishakuzowea!

Umma umewajua!
Umma unawatizama!
Umma hauna Furaha nanyi!
Umma umekereka na uozo!
Umma unaumia na #Tozo!
Umma unakereka na #Giza!
Umma hauna Amani mitaani!
Umma unaumia na Bei holela!
Wajasiriamali wako Hoi!
Wamachinga wako Hoi!

Jasho lao linaliwa na wenye Meno. Mkiambiwa Ukweli mnakuwa Mbogo!

Amani mmebaki nayo nyinyi waimba mapambio,wakati hali ya mtanzania ikiporomoka kila uchao wakati nyinyi mnapishana kwenye milango ya Ndege mkijiandaa kuruka na kutua ughaibuni.

Watanzania wengi wanapishana kwenye Ofisi za mikopo Umiza kwa kusukumwa na ugumu wa Maisha. Watanzania wengi wamegeuka wacheza Kamari za kubashiri mipira kwenye vibanda Umiza.

Watanzania wengi wamegeuka watumwa wa Tatu Mzuka na So Many Of The Kind!

#Tutasimama na #Bashiru pamoja na wakweli wote wanaoyajua machungu yetu!

Machawa mkae Mguu Sawa!

View attachment 2423645
Ameeen.

Kundi dogo lisilozidi watu 100,000, kamwe halitaruhusiwa kukandamiza wananchi zaidi ya ml 60.
 
Hatuwezi kuamini kwamba Mtaishia kumsema sema kwenye hizo Press release pekee.

Kwa tunavyowajua CCM na Wahuni Gang wake, ni vema tuwaambie mkae mkijua hilo, kwamba maadamu tumewaona hadharani mkimshambulia kwa hasira kali.

Na pale atakapopatwa na lolote lile baya, hatutawaacha na nyinyi mkiendelea kupongezana, kama mlivyokwishakuzowea!

Umma umewajua!
Umma unawatizama!
Umma hauna Furaha nanyi!
Umma umekereka na uozo!
Umma unaumia na #Tozo!
Umma unakereka na #Giza!
Umma hauna Amani mitaani!
Umma unaumia na Bei holela!
Wajasiriamali wako Hoi!
Wamachinga wako Hoi!

Jasho lao linaliwa na wenye Meno. Mkiambiwa Ukweli mnakuwa Mbogo!

Amani mmebaki nayo nyinyi waimba mapambio,wakati hali ya mtanzania ikiporomoka kila uchao wakati nyinyi mnapishana kwenye milango ya Ndege mkijiandaa kuruka na kutua ughaibuni.

Watanzania wengi wanapishana kwenye Ofisi za mikopo Umiza kwa kusukumwa na ugumu wa Maisha. Watanzania wengi wamegeuka wacheza Kamari za kubashiri mipira kwenye vibanda Umiza.

Watanzania wengi wamegeuka watumwa wa Tatu Mzuka na So Many Of The Kind!

#Tutasimama na #Bashiru pamoja na wakweli wote wanaoyajua machungu yetu!

Machawa mkae Mguu Sawa!

View attachment 2423645
Utawafanya Nini wakiamua kufanya Yao?
 
CCM ina maajabu na Vioja vyake!

Huyohuyo Kinana aliwahi kuwaita wenzie mizigo ndani ya CCM na Serikali yake.
Lakini hakuguswa!

Kinana aliwahi kuwaita wenzie Magamba,ingawa Magufuli ndie alikuja kuyaondoa hayo Magamba!
Aliwaita akiwa kiongozi
 
Hatuwezi kuamini kwamba Mtaishia kumsema sema kwenye hizo Press release pekee.

Kwa tunavyowajua CCM na Wahuni Gang wake, ni vema tuwaambie mkae mkijua hilo, kwamba maadamu tumewaona hadharani mkimshambulia kwa hasira kali.

Na pale atakapopatwa na lolote lile baya, hatutawaacha na nyinyi mkiendelea kupongezana, kama mlivyokwishakuzowea!

Umma umewajua!
Umma unawatizama!
Umma hauna Furaha nanyi!
Umma umekereka na uozo!
Umma unaumia na #Tozo!
Umma unakereka na #Giza!
Umma hauna Amani mitaani!
Umma unaumia na Bei holela!
Wajasiriamali wako Hoi!
Wamachinga wako Hoi!

Jasho lao linaliwa na wenye Meno. Mkiambiwa Ukweli mnakuwa Mbogo!

Amani mmebaki nayo nyinyi waimba mapambio,wakati hali ya mtanzania ikiporomoka kila uchao wakati nyinyi mnapishana kwenye milango ya Ndege mkijiandaa kuruka na kutua ughaibuni.

Watanzania wengi wanapishana kwenye Ofisi za mikopo Umiza kwa kusukumwa na ugumu wa Maisha. Watanzania wengi wamegeuka wacheza Kamari za kubashiri mipira kwenye vibanda Umiza.

Watanzania wengi wamegeuka watumwa wa Tatu Mzuka na So Many Of The Kind!

#Tutasimama na #Bashiru pamoja na wakweli wote wanaoyajua machungu yetu!

Machawa mkae Mguu Sawa!

View attachment 2423645
Hata usalama wa lissu mpaka ku pyupyu wabaya wake walijulikana, reference hayo uliyoorodhesha same kwa lissu issue ilikua open kbs!!
 
Wana CCM hawa jamani!
Usije ukathubutu kuwaamini hawa watu, sio wakweli kabisa na uongo bin unafiki bin uchawa bin ukatili bin udhulumati ni jadi yao!
 
Hatuwezi kuamini kwamba Mtaishia kumsema sema kwenye hizo Press release pekee.

Kwa tunavyowajua CCM na Wahuni Gang wake, ni vema tuwaambie mkae mkijua hilo, kwamba maadamu tumewaona hadharani mkimshambulia kwa hasira kali.

Na pale atakapopatwa na lolote lile baya, hatutawaacha na nyinyi mkiendelea kupongezana, kama mlivyokwishakuzowea!

Umma umewajua!
Umma unawatizama!
Umma hauna Furaha nanyi!
Umma umekereka na uozo!
Umma unaumia na #Tozo!
Umma unakereka na #Giza!
Umma hauna Amani mitaani!
Umma unaumia na Bei holela!
Wajasiriamali wako Hoi!
Wamachinga wako Hoi!

Jasho lao linaliwa na wenye Meno. Mkiambiwa Ukweli mnakuwa Mbogo!

Amani mmebaki nayo nyinyi waimba mapambio,wakati hali ya mtanzania ikiporomoka kila uchao wakati nyinyi mnapishana kwenye milango ya Ndege mkijiandaa kuruka na kutua ughaibuni.

Watanzania wengi wanapishana kwenye Ofisi za mikopo Umiza kwa kusukumwa na ugumu wa Maisha. Watanzania wengi wamegeuka wacheza Kamari za kubashiri mipira kwenye vibanda Umiza.

Watanzania wengi wamegeuka watumwa wa Tatu Mzuka na So Many Of The Kind!

#Tutasimama na #Bashiru pamoja na wakweli wote wanaoyajua machungu yetu!

Machawa mkae Mguu Sawa!

View attachment 2423645
Kama kodi hazitoshi Serikali yenyewe kupitia TBC inaingiza pesa za kamari ..jana nimeshangaa eti TBC nao wanasema weka elfu moja ujichotee mihela.
 
Kama kodi hazitoshi Serikali yenyewe kupitia TBC inaingiza pesa za kamari ..jana nimeshangaa eti TBC nao wanasema weka elfu moja ujichotee mihela.
Pesa zikiwa nyingi na peace of mind hutoweka. !!
 
Iran ni issue nyingine haya hayajaanza leo kinachotokea Iran ni jambo dogo sana lakini kwa media za kimataifa utasikia kelele sana tu media wakitaka jambo lao hata dogo watalifanya kubwa leo hii unasikia corona? lakini wakitaka tena tuimbe corona wanaweza mara moja. sio kila jambo unalosikia huko CNN sijui BBC ukadhani ukweli. Haya ya Iran wala sio issue ni kwa sababu wako katika majadiliano kila mtu anataka kushika mpini ili apate nguvu kupata anachotaka. walisema N. korea yako wapi kimyaa
Kwako wewe unaona jambo dogo sababu ya uelewa wako ulipofikia au unachopenda kusikia!

Yangekuwa madogo,timu ya Taifa ya Iran isingeugomea wimbo wao wa Taifa!
 
sisi CCM wala hatuna shida na yeye, anahangaika na kivuli chake !! kama ikifikia muda tunamuhitaji basi tutavuta kamba yetu then atasogea. Chama hiki ni kikubwa, unapopewa madaraka makubwa ndani ya chama na ukastaafu basi ishi kama wastaafu wengine kwa heshima.

Na kama una hamu ya kubwabwaja basi katafute vichama uchara huko vipo vingi tu, ila CCM ina maadili na miiko yake ambayo mtu mmoja hawezi kucheza nayo kabisa kabisa.
 
Back
Top Bottom