Usalama kwa Dkt. Bashiru: Lolote likimtokea tumewajua wabaya wake

Usalama kwa Dkt. Bashiru: Lolote likimtokea tumewajua wabaya wake

Mimi bado sijawajua na wala sijafahamu kama ameshapata maadui wengine wapya hivi karibuni ambao ni tofauti na wale ambao alikuwa nao siku zote, anaowafahamu
 
Na ingekuwa ni kazi bure,isingekukera wewe hadi kunijibu ulivyonijibu!

Hii ni njia mojawapo na sahihi zaidi.
Mjuwe tunawajua na kuwaona!

Siku yakitimia ndio mtajua mnavyojulikana!
Acha kelele wewe Ingia mtaani kapambane na maisha upate hela daily kuanzisha thread humu za Mama haitakusaidia kwa lolote lile hakuna leader yoyote atakayekupa hela mkononi nenda kazitafute Acha kulalamika lalamika kama mtoto wa kike
 
Back
Top Bottom