Heee kumbe mnasikiaga raha mkizivaa so huwa mnahisi ubaridi kivipi kama dushe au???!!!
Habari wadau,
for ladies ambao mnatumia au mshawahi tumia PAds au pantliner za Human Cherish mtakubaliana na mimi kuwa huwa zina leta a high level of comfort na dryness mtu ukiwa kwenye siku zako,lakini pia ile ukivaa tu unasikia kama kipupwe hivi kinapuliza,it feels good lakini mhhhhh inaogopesha pia,
zina usalama.kweli hizi bidhaa????
kama not safe.which ones are?
msaada pls
nawasilisha
Swali zuri kweli shost.......tena wanasema.......zinasaidia kupunguza maumivu kwa wale wanaokuwa wanaumwa wakiwa kwenye siku.......how......I don't know.......na kupunguza mtiririko kama ni mkubwa.........sasa hapo ndio sijui zina nini hasa.......tusubiri wajuzi waje.......
Sio kama dushe wewe sogea huko........ni kama mint.......kibaridi fulani hivi.......yaani unatembea kama unadundadunda kwa raha.........full kipupwe.........
hahahah dushe linakuwaga la baridi kwaniii
ts.different bwn ,
Mbona huku kwetu uswahilini watu wanatupia vipande vya khanga....is that safe ladies?
si ghali, bei kuanzia 5000......
Wacha kabisa........
Ndio preta 5000 TUu!