badiebey
JF-Expert Member
- Nov 29, 2013
- 5,875
- 3,112
Habari wadau,
for ladies ambao mnatumia au mshawahi tumia PAds au pantliner za Human Cherish mtakubaliana na mimi kuwa huwa zina leta a high level of comfort na dryness mtu ukiwa kwenye siku zako,lakini pia ile ukivaa tu unasikia kama kipupwe hivi kinapuliza,it feels good lakini mhhhhh inaogopesha pia,
zina usalama.kweli hizi bidhaa????
kama not safe.which ones are?
msaada pls
nawasilisha
for ladies ambao mnatumia au mshawahi tumia PAds au pantliner za Human Cherish mtakubaliana na mimi kuwa huwa zina leta a high level of comfort na dryness mtu ukiwa kwenye siku zako,lakini pia ile ukivaa tu unasikia kama kipupwe hivi kinapuliza,it feels good lakini mhhhhh inaogopesha pia,
zina usalama.kweli hizi bidhaa????
kama not safe.which ones are?
msaada pls
nawasilisha