Mapambano Yetu
JF-Expert Member
- Aug 14, 2012
- 1,130
- 2,102
Baadhi ya Misikiti ina vyumba vya siri vinavyotumika kufundishia kareti na judo. Mafunzo hutolewa kwa vijana wa kiume angali wakiwa wadogo. watoto hufundishwa ili hali wakijengwa kisaikolojia kuwa ipo siku watakwenda kumpiga khafiri. Mifano mizuri iko Kigoma Ujiji. Misikiti ya ujiji ina maeneo maalum ya kufundishia judo na kareti na mafunzo hayo yanatolewa kwa vijana wa kiislam tu ndani ya vyunba hivyo. Pia baadhi ya misikiti Manispaa ya iringa inayo maeneo hayo. Na milangoni wanaandika, "Si ruhusa kuingia kama si mhusika"
Kutokana na hili vyombo vya usalama fanyeni uchunguzi kwani kumjenga mtoto kisaikolojia ili awe tayari kupanbana na khafiri ni hatari na inaweza kuwa sehemu ya kuandaa watu hatari kwa taifa la baadae.
Kutokana na hili vyombo vya usalama fanyeni uchunguzi kwani kumjenga mtoto kisaikolojia ili awe tayari kupanbana na khafiri ni hatari na inaweza kuwa sehemu ya kuandaa watu hatari kwa taifa la baadae.