Serikali dhaifu na inayoongozwa na mtu dhaifu.
SANTURI ZA CHADEMA HIZI, zimepitwa na wakati, haya Rais dhaifu lakini ni rais wa watu na anawapuuza kwa matusi yenu na kuelekeza nguvu zake kuwaletea watanzania maendeleo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Serikali dhaifu na inayoongozwa na mtu dhaifu.
Ni kutaka kuendekeza tu majungu kuwa vyombo vya dola vinafuatilia CDM, hii inaweza kuwaaminisha watanzania kuwa hata hao wanaodhaniwa kuwa wanafanyiwa mambo ya utekaji ni vibaraka wa CHADEMA na ndiyo maana kila wanapokumbwa na mikasa hiyo CHADEMA ndiyo wanakuwa wa kwanza kupiga kelele, mbona kuna matukio mengi sana ya kinyama yanafanyika hapa nchini lakini kamwe hao CDM hawajitokezi kuyakemea kama kweli wana uchungu? Mauaji ya ALBINO nakumbuka waziri Mkuu aliliongelea kwa uchungu bungeni wapinzanindiyo walikuwa wa kwanza kumsakama au ALBINO hawana haki ya kutetewa?Hawataifuatilia hiyo ishu ungesema cdm wanataka fanya maandamano wangefuatilia kwa juhudi kubwa. Hilo suala la karate kwa wavaa vipedo kila sehemu wanafanya. Ukienda maawal secondary na shule 1 ya seminary ya kiislam mkoani katavi utawakuta wanapiga karate na judo tu.
Hawataifuatilia hiyo ishu ungesema cdm wanataka fanya maandamano wangefuatilia kwa juhudi kubwa. Hilo suala la karate kwa wavaa vipedo kila sehemu wanafanya. Ukienda maawal secondary na shule 1 ya seminary ya kiislam mkoani katavi utawakuta wanapiga karate na judo tu.
Baadhi ya Misikiti ina vyumba vya siri vinavyotumika kufundishia kareti na judo. Mafunzo hutolewa kwa vijana wa kiume angali wakiwa wadogo. watoto hufundishwa ili hali wakijengwa kisaikolojia kuwa ipo siku watakwenda kumpiga khafiri. Mifano mizuri iko Kigoma Ujiji. Misikiti ya ujiji ina maeneo maalum ya kufundishia judo na kareti na mafunzo hayo yanatolewa kwa vijana wa kiislam tu ndani ya vyunba hivyo. Pia baadhi ya misikiti Manispaa ya iringa inayo maeneo hayo. Na milangoni wanaandika, "Si ruhusa kuingia kama si mhusika"
Kutokana na hili vyombo vya usalama fanyeni uchunguzi kwani kumjenga mtoto kisaikolojia ili awe tayari kupanbana na khafiri ni hatari na inaweza kuwa sehemu ya kuandaa watu hatari kwa taifa la baadae.
Pombe za mtama zina madhara kweli. Tutolee umbea wako hapa.Baadhi ya Misikiti ina vyumba vya siri vinavyotumika kufundishia kareti na judo. Mafunzo hutolewa kwa vijana wa kiume angali wakiwa wadogo. watoto hufundishwa ili hali wakijengwa kisaikolojia kuwa ipo siku watakwenda kumpiga khafiri. Mifano mizuri iko Kigoma Ujiji. Misikiti ya ujiji ina maeneo maalum ya kufundishia judo na kareti na mafunzo hayo yanatolewa kwa vijana wa kiislam tu ndani ya vyunba hivyo. Pia baadhi ya misikiti Manispaa ya iringa inayo maeneo hayo. Na milangoni wanaandika, "Si ruhusa kuingia kama si mhusika"
Kutokana na hili vyombo vya usalama fanyeni uchunguzi kwani kumjenga mtoto kisaikolojia ili awe tayari kupanbana na khafiri ni hatari na inaweza kuwa sehemu ya kuandaa watu hatari kwa taifa la baadae.
Siyo vizuri kabisa kuendekeza mambo haya ya udini, iko haja kusimama kidete na kupingana na yeyote mwenye kupenda kuleta mada za aina hii humu JF bila ujali ni wa dini yako au la, mimi ni mkristo lakini mada za udini siziungi mkono hata mar moja.
Nadhani rais aliwaita kwa nia njema, na ni Rais mwenye kusikiliza hoja za watu bila kujali ni wa dini gani lakini sote ni mashahidi kuwa Rais wetu ni mtu wa kukurupuka kukubalina na kila jambo kabla ya kupima kama lina maslahi kwa taifa, tusubiri tu yote waliongea na Rais yatafanyiwa kazi kufuatana na uzito wa kila jambo na yale ambayo hayana tija sidhani kama yatakubaliwa.
SANTURI ZA CHADEMA HIZI, zimepitwa na wakati, haya Rais dhaifu lakini ni rais wa watu na anawapuuza kwa matusi yenu na kuelekeza nguvu zake kuwaletea watanzania maendeleo.
Ni kutaka kuendekeza tu majungu kuwa vyombo vya dola vinafuatilia CDM, hii inaweza kuwaaminisha watanzania kuwa hata hao wanaodhaniwa kuwa wanafanyiwa mambo ya utekaji ni vibaraka wa CHADEMA na ndiyo maana kila wanapokumbwa na mikasa hiyo CHADEMA ndiyo wanakuwa wa kwanza kupiga kelele, mbona kuna matukio mengi sana ya kinyama yanafanyika hapa nchini lakini kamwe hao CDM hawajitokezi kuyakemea kama kweli wana uchungu? Mauaji ya ALBINO nakumbuka waziri Mkuu aliliongelea kwa uchungu bungeni wapinzanindiyo walikuwa wa kwanza kumsakama au ALBINO hawana haki ya kutetewa?
Mleta mada ni mpumbavu sana inaelekea ni mwanasiasa na ana chama kinachopenda ubaguzi na hata wanaomuunga mkono utaona ni walewale pumbavu kabisa
Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
Msikiti wa Ipogoro Iringa
Hawataifuatilia hiyo ishu ungesema cdm wanataka fanya maandamano wangefuatilia kwa juhudi kubwa. Hilo suala la karate kwa wavaa vipedo kila sehemu wanafanya. Ukienda maawal secondary na shule 1 ya seminary ya kiislam mkoani katavi utawakuta wanapiga karate na judo tu.
Tusivutie kamba kwenye imani zetu.Kikinuka hakuna atakayepona uwe wewe au mimi!
Haya yanayoendelea yanafahamika kwa wachache huku wananchi tunaishia kuwa wahanga!
"The war is going on but the reason under cover" by Black Eyed Peas.
Baadhi ya Misikiti ina vyumba vya siri vinavyotumika kufundishia kareti na judo. Mafunzo hutolewa kwa vijana wa kiume angali wakiwa wadogo. watoto hufundishwa ili hali wakijengwa kisaikolojia kuwa ipo siku watakwenda kumpiga khafiri. Mifano mizuri iko Kigoma Ujiji. Misikiti ya ujiji ina maeneo maalum ya kufundishia judo na kareti na mafunzo hayo yanatolewa kwa vijana wa kiislam tu ndani ya vyunba hivyo. Pia baadhi ya misikiti Manispaa ya iringa inayo maeneo hayo. Na milangoni wanaandika, "Si ruhusa kuingia kama si mhusika"
Kutokana na hili vyombo vya usalama fanyeni uchunguzi kwani kumjenga mtoto kisaikolojia ili awe tayari kupanbana na khafiri ni hatari na inaweza kuwa sehemu ya kuandaa watu hatari kwa taifa la baadae.
Ni vizuri ungeitaji hiyo misikiti
we huangalia mleta mada au unasoma mada yenyewe?Mleta mada ni mpumbavu sana inaelekea ni mwanasiasa na ana chama kinachopenda ubaguzi na hata wanaomuunga mkono utaona ni walewale pumbavu kabisa
Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
Yaani kwa mawazo haya, bora wenye akili zenu jichangeni mje zenu Ulaya aisee hiyo nchi ya bongo haitobadilika asialani, watu wana shahada za hadi za uzamivu, lakini hawawezi kutafakari hata jambo dogo. Sasa serikali ifanye nini? ipige marufuku Judo au? si warudishe viwanja vya wazi kama ilivyokuwa zamani ambapo tulikuwa tukicheza michezo hiyo. Siku hizi si hakuna viwanja vya wazi michezo itachezwa wapi. Judo ni mchezo wa akili na ukakamavu tu si zaidi. Hakuna mtu atakeyeandaa watu kujifunza judo wakapambane na mwenye SMG!!!? only Tanzania where you can find people are arguing in such rubbish-things"Yeah, na mm nilitaka niutaje huo nilipita jana..serikal iangalie wala isidharau jambo hili kwakua sio utaratib wetu hapa tz