Usalama wa taifa chunguzeni hili,

Usalama wa taifa chunguzeni hili,

Status
Not open for further replies.
hz dini hz inatakiwa tuzisikize kwa kufikiria sana,wakati mwingn huwa nafikiria hv hawa viongoz wa dini wanaopaplisha waumini wa dini yao wawachukie wa dini nyingn je ndo mungu wao ndo anavyowaagiza hvyo au wana wa adam wanayatafsiri vbaya maandiko,hv kuna mungu anayependa binadamu wengn aliowaumba wauliwe jamani,au ni mapenzi mabaya ya hzo dini
 
UNAFIKI WENU UTAWAUWAAAA...
Hili tatizo la Tanzania kuangalia hizi issue upande mmoja ni HATARI KUBWA SAAAAAANA.....kuliko tunavyodhania na kuhadithiana humu kwa majina ya kificho !

SAINT BENEDICT FATHER'S - PERAMIHO wao pale parokia , Sijui jimboni Songea ndio wanavyooita WANAMILIKI KABISA SILAHA ZA KIVITA.

Source: Gazeti la RAIA MWEMA.

SWALI;

Zimeingiaje hapa nchini silaha hizo na kwa madhumuni gani ? Tusifiche uchafu chini ya kapeti

HOJA;
Mnataka wasijifunze Karate na Judo. Sawaaaa.... Badala yake wajifunze nini ? Kuimba mapambio ama mila zile za ki ANGLIKANA ?
umenena mkuu pia kuna kiwanja cha ndege,wale wazungu hubeba dhahabu,vito na pembe za ndovu bila bugdha.kuna mahandaki kati ya hospital na mission hakuna mswahili kupitia humo!UWT chunguzeni hawa wanaiba rasilimali zetu kwa kisingizio cha dini
 
Ukishaona misikiti imejengwa kwenye public domain na serikali ya Kikwete ikishangilia ujue nchi imegeuza Islamic state, anagalia kwenye petro station mpaka kiwanda cha National Milling cha pale Tazara cha serikali alichokabidhiwa bakhresa amejenga msikiti ofisi za serikali kama NSSF ,kwenye super market unadhani judo na karate zitaazuiwa kufundisha wana kibali cha IKULU hao ndio maana unaona Mandela road yote ile viwandani misikiti imejaa kwenye viwanda wanakofanya wakristo na waislamu ,nchi imeharibiwa sana na huyu mdini alhaj Kikwete
 
Nchi hii ni ya Wakristo peke yao ?
Juzi Maaskafo wamekwenda kwa JK - IKULU wanamueleza Umbea & Majungu ati kuwa ISLAMIC BANKING ni tatizo.... Watu wazima waliokwenda shule wanapata tabu na mfumo wa Ki Bank unaompendeza MUNGU....??

Yaaani hata sijui wanataka Waislamu nchi hii wahame ? Hata sielewi....

tumia akili zako sio za kutumwa, sijaona sehemu yoyote waliosema islmic banking ni tatizo katika taarifa yao kwa JK.
SWALA LA KUMPENDEZA MUNGU HILO NI LAKO BINAFSI, KWANI MUNGU WAKO SIO LAZIMA AWE MUNGU WAO
 
Tusichukiane kwa sababu za baadhi ya watu kwa maslahi ya kisiasa.. Hizo judo mbona zipo miaka na miaka lakini sijwahi kusikia muislam amepiga mtu?
 
umenena mkuu pia kuna kiwanja cha ndege,wale wazungu hubeba dhahabu,vito na pembe za ndovu bila bugdha.kuna mahandaki kati ya hospital na mission hakuna mswahili kupitia humo!uwt chunguzeni hawa wanaiba rasilimali zetu kwa kisingizio cha dini

tatizo sio dini, ila ni udhaifu wa serikali,
 
Ni vizuri ungeitaji hiyo misikiti
Mimi naona si busara kuitaja hiyo misikiti kwani wahusika aliowaomba wafuatilie wakifanya hivyo wataifahamu tu. Kuitaja ni kuleta ugomvi na marumbano yasiyokua na msingi waswahili walisema lisemwalo lipo hivyo ni vema wanausalama wakafuatilia bila kua biased. Unajua machafuko yatokeapo hayatajali imani ya mtu ndugu yangu wote tutawekwa kundi moja haina maana kua walio na imani fulani watapata mahitaji yote muhimu kama maji ,madawa ,na chakula nyakati hizo la hasha huduma zote zitasimama . Tumuombe mola atupe kheri
 
Ukishachanganya dini na siasa lazima uwe mwehu. Mwanasiasa akishaishiwa hoja lazima atajificha kwenye dini ili akamilishe malengo yake...tusikubali kutumika kisiasa
 
tatizo sio dini, ila ni udhaifu wa serikali,

hakuna udhaifu wa serikali bali tatizo ni baadhi ya watu kutumiwa vibaya na wanasiasa nao kukubali kugeuzwa kama maboya. Kataeni kutumika...mtatupwa tu siku ya mwisho
 
UNAFIKI WENU UTAWAUWAAAA...
Hili tatizo la Tanzania kuangalia hizi issue upande mmoja ni HATARI KUBWA SAAAAAANA.....kuliko tunavyodhania na kuhadithiana humu kwa majina ya kificho !

SAINT BENEDICT FATHER'S - PERAMIHO wao pale parokia , Sijui jimboni Songea ndio wanavyooita WANAMILIKI KABISA SILAHA ZA KIVITA.

Source: Gazeti la RAIA MWEMA.

SWALI;

Zimeingiaje hapa nchini silaha hizo na kwa madhumuni gani ? Tusifiche uchafu chini ya kapeti

HOJA;
Mnataka wasijifunze Karate na Judo. Sawaaaa.... Badala yake wajifunze nini ? Kuimba mapambio ama mila zile za ki ANGLIKANA ?
Mkuu kama kuna kitu kama hicho basi ni vema wanausalama wakafuatilia. Kama silaha hizo unazosema zipo basi wafuatiliwe maana lengo letu ni kuishi nchi ya amani si unajua mkuu vurugu zianzapo hazichagui itikadi ya mtu wote ni mashahidi wa wenzetu hima tuungane kufichua njama potofu mahali popote bila aibu.
 
Ukishaona misikiti imejengwa kwenye public domain na serikali ya Kikwete ikishangilia ujue nchi imegeuza Islamic state, anagalia kwenye petro station mpaka kiwanda cha National Milling cha pale Tazara cha serikali alichokabidhiwa bakhresa amejenga msikiti ofisi za serikali kama NSSF ,kwenye super market unadhani judo na karate zitaazuiwa kufundisha wana kibali cha IKULU hao ndio maana unaona Mandela road yote ile viwandani misikiti imejaa kwenye viwanda wanakofanya wakristo na waislamu ,nchi imeharibiwa sana na huyu mdini alhaj Kikwete

wenye chuki za kidini mnajulikana hapa jukwaani...wewe froida, tenende na jama mmoja ivi...mna poor analysis kama hii yako hapa halafu mnapenda sana kuandika chuki dhidi ya waislam...hamtafanikiwa kwa sababu waislam hawana chuki hizo na wakristo walio wengi wana akili timamu sio kama wewe ulietoroka mirembe ukakatisha na dozi
 
hakuna udhaifu wa serikali bali tatizo ni baadhi ya watu kutumiwa vibaya na wanasiasa nao kukubali kugeuzwa kama maboya. Kataeni kutumika...mtatupwa tu siku ya mwisho

acha ushabiki, ebu nipe tafsiri ya haya yafuatayo.
1. Kiongozi wa nchi anaposema hadharani anawajua wauza madawa ya kulevya halafu hawashughulikii
2. Kiongozi wa nchi anapowaambia wezi wa epa warudishe fedha walizoiba ili wasishtakiwe
3. Kiongozi wa nchi anayelalamikia uchaguzi wa 2010 kutawaliwa na udini kisha hachukui hatua ya kuwaadabisha wahusika
4.kiongozi wa nchi anawajua wezi bandarini lakini anachelea kuchukua hatua


VIPI AU HUU NI UPENDO KWA RAIA WAKE BILA UBAGUZI WA WEMA NA WABAYA , IF THAT IS THE CASE THEN SERIKALI YETU INA UPENDO USIO NA MIPAKA
 
wenye chuki za kidini mnajulikana hapa jukwaani...wewe froida, tenende na jama mmoja ivi...mna poor analysis kama hii yako hapa halafu mnapenda sana kuandika chuki dhidi ya waislam...hamtafanikiwa kwa sababu waislam hawana chuki hizo na wakristo walio wengi wana akili timamu sio kama wewe ulietoroka mirembe ukakatisha na dozi
chuki mnazo nyinyi na si waislamu wote ila wavaa vipedo na wafuga nyasi yaani wana ghilba wale ila mwisho wao upo tu
 
hakuna udhaifu wa serikali bali tatizo ni baadhi ya watu kutumiwa vibaya na wanasiasa nao kukubali kugeuzwa kama maboya. Kataeni kutumika...mtatupwa tu siku ya mwisho
haha siku ya mwisho lini? ndo mnavyodanganyana mpaka mnajilipua mwisho wa dunia ni siku yako ya kufa hakuna mwisho mwingine waambie na wenzio
 
Hawataifuatilia hiyo ishu ungesema cdm wanataka fanya maandamano wangefuatilia kwa juhudi kubwa. Hilo suala la karate kwa wavaa vipedo kila sehemu wanafanya. Ukienda maawal secondary na shule 1 ya seminary ya kiislam mkoani katavi utawakuta wanapiga karate na judo tu.

Jambo ulisolijua ni usiku wa giza. Eti TISS wanafatilia maandamano ya CDM, hahahahahaha. duuuuuh! sikujua bana, hebu tujuze zaidi.
 
tunataka kile kikao cha diamond jubillee kilichojadiliwa tujue make baada ya kile kikao wenzetu walipata nguvu sana

hicho kikao mwenyekiti alikuwa nani kilikaa tarehe ngapi tujuze mkuu.
 
Baadhi ya Misikiti ina vyumba vya siri vinavyotumika kufundishia kareti na judo. Mafunzo hutolewa kwa vijana wa kiume angali wakiwa wadogo. watoto hufundishwa ili hali wakijengwa kisaikolojia kuwa ipo siku watakwenda kumpiga khafiri. Mifano mizuri iko Kigoma Ujiji. Misikiti ya ujiji ina maeneo maalum ya kufundishia judo na kareti na mafunzo hayo yanatolewa kwa vijana wa kiislam tu ndani ya vyunba hivyo. Pia baadhi ya misikiti Manispaa ya iringa inayo maeneo hayo. Na milangoni wanaandika, "Si ruhusa kuingia kama si mhusika"
Kutokana na hili vyombo vya usalama fanyeni uchunguzi kwani kumjenga mtoto kisaikolojia ili awe tayari kupanbana na khafiri ni hatari na inaweza kuwa sehemu ya kuandaa watu hatari kwa taifa la baadae.

Hata kule Ukerewe ila walikanusha bure tu. Ila najiuliza judo za nini? Enzi za Bruce Lee zilikwisha. Siku hizi kuna vitu vinavyoruka na vyenye ncha kali. Vingine ni vizito na vinavyodhuru. Mbaya zaidi, ina faida gani kujifunza yote hayo wakati watu wenyewe ni wa kujitoa mhanga?
 
Siraha kubwa ni elimu wala siyo kareti, siku hizi mwenye sayansi ndiyo mshindi
 
Siyo vizuri kabisa kuendekeza mambo haya ya udini, iko haja kusimama kidete na kupingana na yeyote mwenye kupenda kuleta mada za aina hii humu JF bila ujali ni wa dini yako au la, mimi ni mkristo lakini mada za udini siziungi mkono hata mar moja.

Tabia yenu wabongo kufumbia macho vitu wakati jamaa wanajipanga na kuwaripua
 
"Sitaki kuwa mshabiki wa hii topic, ila hili jambo sio jipya, nimeona hapa Arusha, Dar, Morogoro na Tanga. sio uongo na si vibaya kujifunza kareti, Lakini lengo laweza kuwa la kishetani. hapo ndio penye mjadala.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom