Usalama wa Taifa: Mpo likizo?

Status
Not open for further replies.
Ndimara and GT

Good observations. Naamini watawala watasikia huko 'likizo' walipo

JJ
 
Kimya cha watajwa hapo juu kinasikitisha kwa kweli lakini at least JF watu hawako kimya
 
Taa nyekundu inamuakia Kikwete,mwenzie Kibaki C***** inabana sasa hivi

Kibaki naye alikuwa mpinzani once..

labda Contract ya serikali na Travel Channel ilikuwa inaitaka serikali yetu iwape kila kitu including usafiri wakiwa nchini, na ukizingatia tuna helicopter chache basi wakaona wawape moja ya bird(s) za jeshi. Kukaa kwao kimya ndio kunatufanya tufikirie kuna mkono wa ufisadi, wangetoa tamko na kuonyesha sehemu ya contract(kama hiko).
 
Inaonekana hii ilikuwa ni bitter pill to swallow

I can understand

lakini ndio tumepewa platform sasa tufanyeje tuwalambe miguu hawa watu?
 
Ahh Nimechoka sasa, Nitasema haya na litakalokuwa liwe:

Hawa jamaa wa usalama wa taifa (TISS) wamezidi sana na inabidi tuanze kuwashikia bango nao. Niliwapa breki kidogo maana ile hofu ya agents kunitafuta na kuitafuta familia yangu ilikuwa inanisumbua lakini sasa gloves are off. Nitaanza kuweka vitu vyenu hapa nyie wezi na mafisadi wa usalama wa taifa na lolote mnalotaka kufanya mfanye tu. Ni mimi na JF against nyie:

Katika unafiki wa hali ya juu, Raisi Kikwete juzi ametangaza kumfuta kazi Balali (ambaye alishatangaza kujiuzulu) na kutoa amri ya kuendelea kufanya uchunguzi wa BOT. Cha kutia hasira ni kitendo cha Kikwete kutangaza makampuni 22 ambayo anadai kuwa ndiyo yamehusika na upotevu wa pesa BOT huku kwa makusudi kabisa akiacha kuzitaja kampuni za DeepGreen na Tangold. Cha kutia hasira tena ni kitendo cha ikulu kukataaa kuweka wazi report ya ukaguzi wa BOT iliyofanywa na E&Y kwa masingizio kwamba hiyo report inahusu mambo ya usalama wa taifa.

Huu usalama wa taifa kwa sasa umezidi. Tangold inahusiana moja kwa moja na usalama wa taifa. Jamaa wanahusishwa na wizi mkubwa sana kwa kupitia kampuni hewa. Hebu kumbuka hii iliyotolewa na Dr Slaa:


Hebu angalia hapo mkondo wa pesa kutoka benki kuu kwenda Tangold na kuishia TISS.

What the f......k with this TISS, hawa ni kina nani na mbona hawaguswi?
 
Sometimes kuna kitu kinaitwa Covert Operations kwenye nchi jirani..
 
Na ifuatayo ni kwa nini Kikwete ameacha kwa makusudi kuitaja kampuni ya Deep Green (kumbuka tisheti za green za ccm) katika report yake. Hawa jamaa hata file lao limepotea BRELA:





Kikwete sisi haya tutazidi kuyaweka kwenye magazeti ya Tanzania mpaka utakapoamua kuzitaja hizi kampuni mbili na kuhakikisha kuwa hawa wanashughulikiwa. Hawa jamaa wa DeepGreen ambao wewe unahusika zaidi na pesa zao zilizotumika kukuweka ikulu lazima wajulikane wazi.

Kwa vile sio kila afisa usalama wa taifa na fisadi, inabidi hao watu wa TISS ambao wana uhusiano na Tangold pia wawekwe wazi hapa kwa sababu halali mtu mpaka kieleweke na wale afisa usalama wa taifa ambao ni safi wasichafuliwe na wachoyo na walafi wachache walioko huko TISS.
 
Hiyo ilikuwa ni pesa ya kununulia kanga, kofia na t-shirt za kijani; pamoja na kulipia pilau nyingi kule kwa akina Rostam (Igunga).

Mataifa ya nje na wafadhiri itabidi watuokoe na janga hili; kwani wakikohoa tu hawa wakubwa tunajua mambo yatarekebika kidogo hapo 2010. Bila hivyo, inaelekea sisi wananchi hatuna njia na uwezo wa kuwaadabisha hawa wahujumu. Sisi hatuna nguvu za kuwashinda hawa; jamani tusaidieni wakubwa.
 
Sometimes kuna kitu kinaitwa Covert Operations kwenye nchi jirani..

Icadon:
Kuanzia tarehe mosi Aug. hadi Desemba 2005 kulikuwa na janga gani katika nchi jirani lililosababisha matumizi hao?
 
ha ha haaaaa ha, Jee huijuwi system ni nini?
 
ha ha haaaaa ha, Jee huijuwi system ni nini?

Niambie ndugu yangu maana kila mtu kulingana na alichosomea shuleni ana tafsiri yake tofauti ya neno system. Wanauchumi wana tafsiri tofauti ya system na ile ya madakitari.

Tafsiri yako ni ipi?
 
Katika vitu ambavyo viliondoa credibility ya Slaa na mafisadi wa ngono wenzake kwenye donor community, kwa wasomi na wafanyabiashara ni kutangaza kwenye hiyo dossier kwamba neno TISS kwenye transactions walizoona maana yake ni Tanzania Intelligence and Security Service. Hata teller pale Mwanga Community Bank atakwamba TISS kwenye banking jargon manake ni Tanzania Inter-bank Services System. Usalama wa taifa is so incompetent lakini sio kwenye kiwango cha kuandika TISS kwenye transactions, labda wataandika Kagoda Agriculture.

Halafu mpenzi, unajikuza sana kutangaza vita na usalama wa taifa kwasababu they are incompetent as to know kwamba upo Ohio. Na pili who the f are you to deserve their attention?
 
MwK:
Huenda ni 'system' ya kuwakomoa wananchi, na kuwaneemesha wakubwa; ndivyo ninavyoielewa hiyo 'system' inavyotumiwa humu.
 

Ufisadi wa usalama wa taifa umewafanya kuwa mambumbumbu hata wasijue kuwa TISS inawahusu wao na kuitumia kila sehemu kwa vile walivyozoea. Fisadi mwingine wa ccm ameitafsiri hiyo TISS ambayo wewe unaiita Tanzania Inter-bank Service system kama Tanzania Internal Surveillance system.

Hii ni game ya maneno na so far kila mtu anaweza kuwaka lake kufunika TISS. Kuhusu attention na usalama wa taifa labda nikuulize wewe wa Ohio utueleze kilichotokea kwako miaka ile ulipokuwa mtawa katika kanisa la katoliki la boston
 
atakwamba TISS kwenye banking jargon manake ni Tanzania Inter-bank Services System. Usalama wa taifa is so incompetent lakini sio kwenye kiwango cha kuandika TISS kwenye transactions, labda wataandika Kagoda Agriculture.


kwa tafsiri yako.

asante wewewe mchaga kwa kutupa habari za Mwanga,Pili asante pia kwa kutambua Kagoda ni kampuni ya kujinufaisha wkwa watu wa usalama wa viongozi.Tatu nashukuru bado unajiita fisadi wakati unafahamu ufisadi ni dhambi.Nne toa hoja sababu hoja ujibiwa kwa hoja,Tano tunakupenda kwasababu itafika wakati utaeleza ukweli wote kuhus ufisadi.
 
Hold on a minute.. yawezekana Balali alipomuambia mama Meghji kuwa zilikuwa ni sababu za "Usalama" alikuwa anajua anachozungumzia? Mtu mkubwa kama yeye kuja na sababu ya "usalama" kati ya sababu zote duniani..
 
Haya sasa:
TISS - Tanzania Intelligence and Security Service;
AU
TISS - Tanzana Inter-bank Services System

Dr Slaa atueleze alikuwa na maana ipi. Inter-bank service ambayo haikuwa na jina la benki husika, alama ambayo laa na wenzake wasingeweza kuitambua?

Halafu ni kwa vipi hizo TISS z Meremeta na DeepGreen na wenzake ziwe nyakati hizo hasa Aug. hadi Dec.? Ni udadisi tu, mimi sina majibu wala ufahamu.
 
Duh hizi aibu za mchana mwanawane! inaelekea wakati tunasheherekea hizi public holidays mafisadi wanakuwa na ngoma wanazocheza gizani.

By the way wana JF msimind, ni majina tu yanafanana, sina hisa huko deep green!
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…