Wana JF na especially my sister the African Lady.
Let us take a deep breath and read between the lines. Ukweli ni kwamba hizo transactions ni fishy yes, and in this case TISS ni Tanzania Inter-Bank Settlement System, na ni system(and I know how it works), currently being used to facilitate inter-bank transactions within local banks in Tanzania. Kinachotokea ni kama hutaki ku-expose who is the actual recipient was hizo pesa na kama ni transansaction within the realm of the local banking system, then kwenye transaction logs zako unaweza kuweka TISS. Ila nivigumu kuiweka hivyo kama transaction ina involve foreign banks (meaning outside your local banking realm) manake sheria za money laundering zitakubana, lakini napo pia kuna mbinu zingine zinazoweza kutumika.
Nadhani issue ya TISS (Idara) kuhusiana na hilo transaction log siyo and we could be barking at the wrong tree! Nadhani kilichotokea ni kuwa pesa hizo zilikombwa mara ya mwisho na wenye akaunti wakatoa order ziwekwe kwenye local account kwenye benki nyingine through TISS (inter-bank settlement) badala ya kuandika cheques etc.
Lingine ni kwamba Tanzania Intelligence Community lina watu very well versed with their profession and most of them are very articulate professionals, na hilo I stand by my comment and I don't have to prove it, ila pia kuna wachache wanaojidai wamo kumbe hawamo na ndio hao tunakumbana nao mitaani mbwembwe nyiingi. Kwa mfano kwa issue ya BOT niliandika majuzi kuwa walimwabia Balali mara nyingi tu kuwa analizwa lakini hakusikia, kumbuka huyu jamaa BWM alimpa kichwa saana.Hata ile document ya kwanza kuhusu BOT scam alionyeshwa na TISS yeye akapuuzia, na hii ni kala ya circulation yake over the internet! Sasa la ajabu ni kwamba, yeye badala ya kusikiliza ushauri wa TISS akatumia bango la TISS (according to Meghji)kuwa malipo ya Kagoda ni kwa shughuli za usalama wa taifa, ambalo pia nina uhakika Mama Meghji amelizua tu. Yeye aliboronga na hata hiyo barua ya ku-retract naamini kaiandika juzi tu! Mbona mwanzoni alikuwa anamtetea Balali. Mama akubali tu kazi imemshinda; alichoweza ni kuziagiza suti za JK for inauguration ceremony hapo alifanya kazi nzuri!
La mwisho ni kwamba tusiliangalie hili la BOT kuwa ni kubwa mno; makubwa yapo ambapo serikali inapoteza over $2 million kila siku na mahali hapo ni TRA. Kama kuna penye ufisadi kikomo ni TRA, kuanzia system yenyewe ya taxation, structure ya shirika lenyewe na viongozi wake ndo basi tena, wakiongozwa na Yona, Mramba, Meghji! Kama kuna wa kuwavalia njuga ni TRA, kwa vile hakuna nchi inayoweza kuendelea kama haina taxation system inayoeleweka. Yetu ni kumliza mchapa kazi!