Usalama wa Taifa: Mpo likizo?

Usalama wa Taifa: Mpo likizo?

Status
Not open for further replies.
....Pamoja na kukubali ukweli juu ya mapungufu yaliyoelezwa ni vizuri pia tukumbuke kuwa yapo mazuri mengi tu yaliyofanywa na Idara hiyo. Kwa msingi huo kukihukumu chombo hicho kuwa hakifai, kimeshindwa kufanya kazi yake ni hoja ambayo inahitaji kutazamwa kwa mapana zaidi.....

Malaika (Ibilisi) alifanya dhambi moja tu! (kwa mujibu wa Bible) na dhambi hiyo ilimfanya aadhibiwe milele. Endapo watu au Idara ambayo tunaiamini kuwa inafanya kazi ya kimalaika isiyo na shaka yoyote ikatuhumiwa kuwa kuna ushiriki wa kulitafuna Taifa letu dawa ya taasisi hiyo ni kuifinyanga upya ili kiwe kitu kisafi. We Tanzanian tuna haki ya kuzungumzia ustawi wa nchi yetu kama katiba inavyoelekeza. Iwapo nchi inatafunwa na watu tuliowapa dhamana halafu TISS ipo kuwalinda ili wale vizuri basi siona maana ya kile kiapo wanachokitoa, au tuseme wanaapa kwa viongozi hawa na hawaapi kwa nchi??

Rev> Kishoka
Umeleta hoja mwafaka na ni kweli kwamba kuna mazuri yaliyofanyika na TISS ila ni wajibu wao kufanya hayo mazuri maana haikuundwa ili ifanye mabaya. Ni aibu kwa nchi inayotaka kupiga hatua za maendeleo halafu juhudi hizo zisiungwe mkono na wananchi kwa jumla (ikiwemo idara zote za dola). Kitendo cha kuitisha JF kuwa inaleta uchochezi kwa kusema ukweli basi maana ya uundwaji wa Taasisi ya Usalama wa Taifa inakuwa haipo. Ni bora wataalam wakakaa chini na kuchakatua what we need kwani vita baridi imekuwa MOTO sasa, China inakuja juu kiuchumi kwa bidhaa feki, Fursa mbalimbali za kiuchumi hazitakuwa na maana pasipokuwa na angalizo kutoka kwa Taasisi nyeti yenye nia chanya kwa taifa. Wasomi tunaowalipia kodi zetu wanafisadika kila kukicha kwa kuwa Taasisi za serikali zimelala. Leo hii sio sawa na zile nyakati za ubaguzi na vuguvugu la ukombozi. Tuliowasaidia ukombozi wa nchi zao hakuna la maana wanalofikiria juu yetu zaidi y kutuibia (kiujanja) rasilimali zetu. Hivyo ni muda mzuri kwa mamlaka husika kufikiria how does TAASISIZ za dola zitakuwa formed na kutekeleza majukumu yake.

Hivyo Mzee wa Busara, ni haki sisi WALIPA KODI kuhoji uhalali wa taasisi hizi endapo zinafanya kazi kinyume na matarajio yetu. au wenzetu wanalipwa kwa pesa za misaada? Tusipotoa Kodi wajue watashindwa kuoperate, Ni budi wakafanyia kazi taarifa tunazozitoa badala ya kututishia kwa kutukamatakamata na kufungua mashtaka-kivuli.

Bravo Rev. Kishoka, naunga mkono Hoja
 
Naomba turudi kwenye hoja asili, maana naona tumepotea na kuanza kuulizana ni vipi idara zimegawanyika na mipango mingine.

Swali ni kwa nini vyombo hivi vimekuwa dhaifu kufanya kazi zao kwa makini? je ni udhaifu wa makusudi au ni ukosefu wa watendaji makini ambao kumechlea kulea uzembe?

Would we have seen this kind of crap let say 1984?

Kujibu swali lako, nadhani watumishi wengi wa Idara hizi wamekuwa demoralized na matendo ya wakubwa wao kutokuwathamini na kugeuza hivi vyombo kama mali binafsi za kuwasaidia kuchuma, Tatizo lingine ni wanasiasa kuingilia shughuli za vyombo hivi.
 
Kujibu swali lako, nadhani watumishi wengi wa Idara hizi wamekuwa demoralized na matendo ya wakubwa wao kutokuwathamini na kugeuza hivi vyombo kama mali binafsi za kuwasaidia kuchuma, Tatizo lingine ni wanasiasa kuingilia shughuli za vyombo hivi.

Ndugu yangu Icadon,

Heshima mbele, kumbe upo? Sijakuona siku nyingi kidogo yakhe, anyways, maneno yako ni mazito mkuu, kula 5!
 
Kujibu swali lako, nadhani watumishi wengi wa Idara hizi wamekuwa demoralized na matendo ya wakubwa wao kutokuwathamini na kugeuza hivi vyombo kama mali binafsi za kuwasaidia kuchuma, Tatizo lingine ni wanasiasa kuingilia shughuli za vyombo hivi.

So what is the solution? hii demoralization ndiyo imefanya wawe wazembe kiasi hicho? Au ni uzembe wa makusudi kama wakati ule walipo stage kuibiwa gari ya Kombe akiwa DG pale Magomeni?
 
Ndugu yangu Icadon,

Heshima mbele, kumbe upo? Sijakuona siku nyingi kidogo yakhe, anyways, maneno yako ni mazito mkuu, kula 5!

Nipo mkuu, uwanja wangu siku hizi ni kwenye thread ya jaluo.


So what is the solution? hii demoralization ndiyo imefanya wawe wazembe kiasi hicho? Au ni uzembe wa makusudi kama wakati ule walipo stage kuibiwa gari ya Kombe akiwa DG pale Magomeni?

Unajua hiyo story ya kuhijack gari, inanikumbusha story ya mnene mmoja naye kaachana na mkewe Mama akawa anang'ang'ania gari wakastage mchezo kama huo.
Vitu kama hivyo lazima viwafanye watumishi wenye uzalendo wakoseme moyo wa kujituma. solution(s) nadhani inabidi wanasiasa wawaachie professionals wafanye kazi zao bila kuwaingilia kwa matakwa binafsi, alafu inabidi kuwe na uhusiano mzuri na wananchi .
 
One may ask what is Usalama wa Taifa? je usalama wa taifa ni kulinda kushambuliwa, kupinduliwa na kuwadhuru viongozi wakuu? what about security of Wananchi, security of mali and natural resources, security of our well being?

In the modern world after fall of communism and 9/11, most intelligent organizations such as FBI, CIA, MI5, MI6, Mossad, Surete, KGB and many others they have expanded their areas of network due to improvements made by those who are looking to harm national interests and security of respective countries.

Things like epidemic diseases, economic sabotage, drug trafficking, terrorism, coups, kidnapping, assasinations are now more relevant than nuclear missile from Dubai hitting Dar Es Salaam. These foreign intelligent services have vested interest to secure their countries at any cost against any act that could create any kind of instability or break the security of a a country.

Sasa hivi nimeshindwa kupata usingizi nikijiuliza ikiwa Polisi, TAKUKURU na TISS walishindwa kazi kubaini mapungufu ya RDC (let say unintetionaly) je leo vile viapo vyao vya kulinda Taifa ni vya thamani gani?

What if akija mtu kwa makusudi na Bird Flu na kutaka kutuangamiza? what if hii mvua ya Thailand ina madhara kwa taifa, what if Alikeda wakitumia udhaifu wetu kujipenyeza na kujipatia pesa safi kwa mikopo ya kutoka Benki Kuu?

Icadon,

Je hawa wenzetu wa Usalama wameshindwa kuhimili kuburuzwa na kukosa Uzalendo? Je wamefikia kufanya kazi kama Sungusungu?

Enyi WanaUsalama mnaochungulia humu ndani, jaribuni basi hata kutupa utetezi na kutuondolea hofu! Msituogope kuwa sisi ni wabaya!

Infact mtushukuru kwa michango yetu na mtusamehe kwa mapungufu yetu ambayo ni matusi na si constructive criticism.
 
Wandugu,

Mojawapo ya sababu ya kushuka kiwango cha utendaji kwenye TISS ni ajira za kujuana. Usalama wa Taifa ni kwajili ya Taifa na wananchi wake. Ila kwa Tanzania ni Usalama sijui wa viongozi na maslahi yao? Mimi siwaelewi kabisa!
 
Rev Kishoka

Mzee utanisamehe kwani nilitegemea kuwa ningespend wikiendi iliyopita kama nilivyoahidi kuchangia hii thread lakini unajua tena nilikuwa nina kiporo cha “MBUNGE WA PMAFIA thread”

Umezungumzia mambo ya maana sana hapa na kusema ukweli kuna mengi ya kuzungumza humu.

Personally mimi niko zaidi upande wa Policy kuliko operations au systems. Na nadhani kuwa tatizo tulilokuwa nalo ni hatuna Strategy ya maana kutokana na sababu mbali mbali na chache mojawapo ni:

1) Katiba yetu haiweki wazi amabo ya accountability na responsibility

2) Culture iliyojikita pale USALAMA WA TAIFA ya kulindana hata kwenye madhambi

3) Hakuna legislation ambayo iko updated kutokana na nyakati tuliyonayo



4) Hatukuweza kuchukua nafasi tuliyopata baada ya ubalozi wa USA kulipuliwa Dar kwani tungeweza kunufaika zaidi kutokana na msaada ambao Clinton Administration ilikuwa tayari kutupatia
Sidhani kama sisi tuna matatizo ya HUMIT (Humman intelligence) bali tatizo letu ni SIGINT na namna ya maintelligence analysts ambao wanalipwa vizuri na ambao wako free kufanya kazi zao bila kuingiliwa na wanasiasa



USALAMA WA TAIFA UNATIKIWA UPANYIWE REFORM TOP DOWN KWAKU:


a)Improve the integration of foreign and domestic intelligence




b)Improve indication and timely warning of impending threats to national security kwa sababu issues kama za BOT,RICHMOND,SERENGETI \ingeweza kuepukika kama watu wangekuwa responsible from the start




c)Improve analysis of threats both domestic na foreign




d)Improve our ability to use intelligence to counter threats to our national security;


e)Improve our ability to set goals and prioritize intelligence requirements, both collection/acquisition and analysis; and Improve the sharing of information in the fullest and most prompt manner.

Kuna taarifa kuwa watu wa USALAM WA TAIFA walifanya kazi yao lakini wakubwa wao waliwa overrule. Na hili nakubaliana nalo by 100% kwa sababu politicians wanaingilia sana kazi zao hawa jamaa




The bottom line siamini hata siku moja kuwa Usalama wa Taifa wanakosa usingizi kwa sababu yanayosemwa JAMBO FORUMS . after all ukitazama kwa undani Jambo Forums siyo source ya habari bali JF ni vinara wa kuchambua taarifa wanazozipata na in the end ni incompetent politicians ndio ambao wanakosa usingizi.





Vile vile tusisahu kuwa its in the best interest kwa USALAMA WA TAIFA kama Jambo forums wakiendelea ku operate kwani inawarahisishia zaidi kazi wale tunaowaita ARMCHAIR officers ambao kazi yao ni kudelegate kwa departments zinginezo



Umezungumzia mambo ya biological threats na jinsi gain tunaweza kukabiliana nayo nadhani hiyo ni muhimu lakini usisahau kuwa hiyo nayo inaangukia katika mambo ya Human security hivyo idara hiyo inabidi ijitegemee




Ni kweli wafanya kazi wengi wa Uslama wa Taifa ni watoto wa wakubwa au baba zao walikuwa wako serikalini lakini in my opinion nadhani kuwa ni ma losers tuu I for very simple reason. In 2008 its inot really cool kufanya kazi uslama wa Taifa wakati CITYBANK wanawalipa wafanyakazi wao 20x more. Why waste time kuwa civil servant?





Nadhani Othaman na jamaa zake washaiona hiyo. Sasa hivi strategically dunia imebadilika na what counts now sio GEO=POLITICS bali ni GEO-ECONOMICS na nadhani what we need is more officers who are fluent in MANDARIN and CANTONESE badala ya kunganngania kuwa posted Addis Ababa au New York.
JK angetaka angemrudisha bwana AGOSTINO MAHIGA na angempa nafasi hata ya waziri wa Mambo ya ndani japo Mahiga na Membe picha haziendi klakini jamaa pale NEWYORK ni sawa na multimillion dollar weapon ambayo ni defunct. Of course OTHMAN aendelee kuwa bosi wa USALAM WA TAIFA na independence yake iendelee kama kawaida lakini Personell inabidi ibadilishwe na wengi wao inabidi wapunguzwe.





Mimi nina propose jamaa wa TIARA - Tactical Intelligence & Related Activities waongezewe budget halafu jamaa wa Joint Military Intelligence Program(MI) ipunguzwe budget yao kwa sababu wao wanazo resources nyingi za kuwaongezea pesa kasha nian suggest tuwe na National Foreign Intelligence Program(NFIP) ambao wanatakiwa washaestimate impact ya kuwa EAST AFRICAN SUPERSTATE na jinsi gani kazi zao zitakuwa affected na namna gani tutanufaika na kazi yao.

RECOMMENDATIONS ZANGU:
CORE: hawa wanajumisha watu wa system architectures for intelligence systems and applications inabidi waongezewe budget kwani wanajumuisha security organs zote za Tanzania

Idara ya TASKING: Skendo la RICHOMND na BOT zisingetokea kama hawa walikuwa wanafanya kazi zao inavyotakiwa walitakiwa kuwa kiungo baina consumers and producers of intelligence products.Inawezekana kabisa kulikuwa na oversight kubwa idara hii.

Idara ya COLLECTIONS: Idara hii imejaa watu wazima wengi na sikati kuwa mchango wao wa HUMINT ni mzuri lakini in this day and age ni ngumu kwao kudeal na watu amabo hawabebi AK 47 . In short threat iko zaidi kwa watu ambao wanatembea na Laptops au USB stick than anthing else. Sasa hawa walitakiwa waongezewe vifanyia kazi kazi ambavyo vinaendana na serity threats za kileo.

Idara ya PROCESSING Mimi ugomvi wangu mkubwa uko idara hii.Tangu bolu lilipopigwa ubalozi wa USA Dar I am not sure kama kuna heads ziliroll toka idara hii kwani mabomu yalitengenzwa DAR na resources zote zilipatikana Tanzania sasa sielewi hawa jamaa kama wanapewa budget ya kutosha au lakini I suspect hawapewi budhet ya kutosha na sijui kama processing zao ziko uptodate nah ii ninamaanisha both both primary processing and secondary exploitation systems.



Idara ya DISSEMINATION: Kama ipo hii sijui wanafanaya nini lakini I suspect hawa wanashinda kwenye ma bar kunywa bia . Yupio dogo mmoja namjua anadai yuko idara hii lakini mpaka leop sijui watu wa Othama walimpa kazi based on which criteria (lakini hapa si mahala pa kumzungumzia ) kwa msio jua kazi ya idara hii ni kuwa hawa jamaa kazi yao ni kuprovide communications links between collection systems, processors, and users na hawa jamaa kazi zao zaidi ni Comms lakini kama budget iko chini I am sure kuwa wanayo excuse ya kushinda kwenye Makontena wakinya all day

Rev Kishoka nitarudi tenaa baadae kuendelea na huuu mjadala natoka kidogo
 
Rev Kishoka

Mzee utanisamehe kwani nilitegemea kuwa ningespend wikiendi iliyopita kama nilivyoahidi kuchangia hii thread lakini unajua tena nilikuwa nina kiporo cha "MBUNGE WA PMAFIA thread"

Umezungumzia mambo ya maana sana hapa na kusema ukweli kuna mengi ya kuzungumza humu.

Personally mimi niko zaidi upande wa Policy kuliko operations au systems. Na nadhani kuwa tatizo tulilokuwa nalo ni hatuna Strategy ya maana kutokana na sababu mbali mbali na chache mojawapo ni:

1) Katiba yetu haiweki wazi amabo ya accountability na responsibility

2) Culture iliyojikita pale USALAMA WA TAIFA ya kulindana hata kwenye madhambi

3) Hakuna legislation ambayo iko updated kutokana na nyakati tuliyonayo



4) Hatukuweza kuchukua nafasi tuliyopata baada ya ubalozi wa USA kulipuliwa Dar kwani tungeweza kunufaika zaidi kutokana na msaada ambao Clinton Administration ilikuwa tayari kutupatia
Sidhani kama sisi tuna matatizo ya HUMIT (Humman intelligence) bali tatizo letu ni SIGINT na namna ya maintelligence analysts ambao wanalipwa vizuri na ambao wako free kufanya kazi zao bila kuingiliwa na wanasiasa



USALAMA WA TAIFA UNATIKIWA UPANYIWE REFORM TOP DOWN KWAKU:


a)Improve the integration of foreign and domestic intelligence




b)Improve indication and timely warning of impending threats to national security kwa sababu issues kama za BOT,RICHMOND,SERENGETI \ingeweza kuepukika kama watu wangekuwa responsible from the start




c)Improve analysis of threats both domestic na foreign




d)Improve our ability to use intelligence to counter threats to our national security;


e)Improve our ability to set goals and prioritize intelligence requirements, both collection/acquisition and analysis; and Improve the sharing of information in the fullest and most prompt manner.

Kuna taarifa kuwa watu wa USALAM WA TAIFA walifanya kazi yao lakini wakubwa wao waliwa overrule. Na hili nakubaliana nalo by 100% kwa sababu politicians wanaingilia sana kazi zao hawa jamaa




The bottom line siamini hata siku moja kuwa Usalama wa Taifa wanakosa usingizi kwa sababu yanayosemwa JAMBO FORUMS . after all ukitazama kwa undani Jambo Forums siyo source ya habari bali JF ni vinara wa kuchambua taarifa wanazozipata na in the end ni incompetent politicians ndio ambao wanakosa usingizi.






Vile vile tusisahu kuwa its in the best interest kwa USALAMA WA TAIFA kama Jambo forums wakiendelea ku operate kwani inawarahisishia zaidi kazi wale tunaowaita ARMCHAIR officers ambao kazi yao ni kudelegate kwa departments zinginezo



Umezungumzia mambo ya biological threats na jinsi gain tunaweza kukabiliana nayo nadhani hiyo ni muhimu lakini usisahau kuwa hiyo nayo inaangukia katika mambo ya Human security hivyo idara hiyo inabidi ijitegemee




Ni kweli wafanya kazi wengi wa Uslama wa Taifa ni watoto wa wakubwa au baba zao walikuwa wako serikalini lakini in my opinion nadhani kuwa ni ma losers tuu I for very simple reason. In 2008 its inot really cool kufanya kazi uslama wa Taifa wakati CITYBANK wanawalipa wafanyakazi wao 20x more. Why waste time kuwa civil servant?





Nadhani Othaman na jamaa zake washaiona hiyo. Sasa hivi strategically dunia imebadilika na what counts now sio GEO=POLITICS bali ni GEO-ECONOMICS na nadhani what we need is more officers who are fluent in MANDARIN and CANTONESE badala ya kunganngania kuwa posted Addis Ababa au New York.
JK angetaka angemrudisha bwana AGOSTINO MAHIGA na angempa nafasi hata ya waziri wa Mambo ya ndani japo Mahiga na Membe picha haziendi klakini jamaa pale NEWYORK ni sawa na multimillion dollar weapon ambayo ni defunct. Of course OTHMAN aendelee kuwa bosi wa USALAM WA TAIFA na independence yake iendelee kama kawaida lakini Personell inabidi ibadilishwe na wengi wao inabidi wapunguzwe.





Mimi nina propose jamaa wa TIARA - Tactical Intelligence & Related Activities waongezewe budget halafu jamaa wa Joint Military Intelligence Program(MI) ipunguzwe budget yao kwa sababu wao wanazo resources nyingi za kuwaongezea pesa kasha nian suggest tuwe na National Foreign Intelligence Program(NFIP) ambao wanatakiwa washaestimate impact ya kuwa EAST AFRICAN SUPERSTATE na jinsi gani kazi zao zitakuwa affected na namna gani tutanufaika na kazi yao.

RECOMMENDATIONS ZANGU:
CORE: hawa wanajumisha watu wa system architectures for intelligence systems and applications inabidi waongezewe budget kwani wanajumuisha security organs zote za Tanzania

Idara ya TASKING: Skendo la RICHOMND na BOT zisingetokea kama hawa walikuwa wanafanya kazi zao inavyotakiwa walitakiwa kuwa kiungo baina consumers and producers of intelligence products.Inawezekana kabisa kulikuwa na oversight kubwa idara hii.

Idara ya COLLECTIONS: Idara hii imejaa watu wazima wengi na sikati kuwa mchango wao wa HUMINT ni mzuri lakini in this day and age ni ngumu kwao kudeal na watu amabo hawabebi AK 47 . In short threat iko zaidi kwa watu ambao wanatembea na Laptops au USB stick than anthing else. Sasa hawa walitakiwa waongezewe vifanyia kazi kazi ambavyo vinaendana na serity threats za kileo.

Idara ya PROCESSING Mimi ugomvi wangu mkubwa uko idara hii.Tangu bolu lilipopigwa ubalozi wa USA Dar I am not sure kama kuna heads ziliroll toka idara hii kwani mabomu yalitengenzwa DAR na resources zote zilipatikana Tanzania sasa sielewi hawa jamaa kama wanapewa budget ya kutosha au lakini I suspect hawapewi budhet ya kutosha na sijui kama processing zao ziko uptodate nah ii ninamaanisha both both primary processing and secondary exploitation systems.



Idara ya DISSEMINATION: Kama ipo hii sijui wanafanaya nini lakini I suspect hawa wanashinda kwenye ma bar kunywa bia . Yupio dogo mmoja namjua anadai yuko idara hii lakini mpaka leop sijui watu wa Othama walimpa kazi based on which criteria (lakini hapa si mahala pa kumzungumzia ) kwa msio jua kazi ya idara hii ni kuwa hawa jamaa kazi yao ni kuprovide communications links between collection systems, processors, and users na hawa jamaa kazi zao zaidi ni Comms lakini kama budget iko chini I am sure kuwa wanayo excuse ya kushinda kwenye Makontena wakinya all day

Rev Kishoka nitarudi tenaa baadae kuendelea na huuu mjadala natoka kidogo

GT kula tano,
Mzee hapo kwenye green umeongea kitaaluma mno kama unaelewa nazungumzia nini.

Hao watu wetu wanaoconduct Intelligence Collection wanafanya kazi zao kwa moyo wote au basi ndio wanaexcute amri kutoka kwa wanasiasa nini cha kufanya na nini cha kuacha?

Naomba mniambie kutoka kwenye hii listi hapa kipi ambacho tunakihitaji sana na kipi hatukiitaji kulingana na hali yetu ya kiuchumi na position yetu kwenye ramani ya dunia,
Human Intelligence (HUMINT)
Imagery Intelligence (IMINT)
Signal Intelligence (SIGINT)
Measurement and Signature Intelligence (MASINT)
Technical Intelligence (TECHINT)
Open Source Intelligence (OSINT)
 
..nimemkumbuka george tenet.

..jamaa aliandika kitabu,kuelezea yaliyojiri kuelekea 9/11 na yaliyoendelea.

..politics na group interests ni vitu viwili very lethal!
 
GT kula tano,
Mzee hapo kwenye green umeongea kitaaluma mno kama unaelewa nazungumzia nini.

Hao watu wetu wanaoconduct Intelligence Collection wanafanya kazi zao kwa moyo wote au basi ndio wanaexcute amri kutoka kwa wanasiasa nini cha kufanya na nini cha kuacha?

Naomba mniambie kutoka kwenye hii listi hapa kipi ambacho tunakihitaji sana na kipi hatukiitaji kulingana na hali yetu ya kiuchumi na position yetu kwenye ramani ya dunia,
Human Intelligence (HUMINT)
Imagery Intelligence (IMINT)
Signal Intelligence (SIGINT)
Measurement and Signature Intelligence (MASINT)
Technical Intelligence (TECHINT)
Open Source Intelligence (OSINT)



Nchi kama yetu sisi tuko nyuma sana kwenye departments hizi..


Imagery Intelligence (IMINT)
Signal Intelligence (SIGINT)
Measurement and Signature Intelligence (MASINT)
Technical Intelligence (TECHINT)
Open Source Intelligence (OSINT)

Sababu ya kukosekana kwa hizi ni kwa sababu wanasiasa hawaoni umuhimu wa hawa jamaa kupewa pesa kwa ajili ya hizo.

Uganda wako mbali sana kwenye hizo depts na the same applies to Rwanda nchi ambazo in principle ziko kwenye state of war..both domestic and foreign
 
Yes, Uganda na Rwanda wako juu.

Kwenye major shake up ya TISS niko na wewe, Foreign affairs wana Intel Department yao?

By the way umesema kuwa inabidi tutilie mkazo kwenye SIGINT tuna resources za kurahisisha kazi, maana sidhani kama Air Force yetu ina ata UAV moja.
 
Yes, Uganda na Rwanda wako juu.

Kwenye major shake up ya TISS niko na wewe, Foreign affairs wana Intel Department yao?

By the way umesema kuwa inabidi tutilie mkazo kwenye SIGINT tuna resources za kurahisisha kazi, maana sidhani kama Air Force yetu ina ata UAV moja.


Its an open secret what they have and what they dont have:

kwanza naweza kukupa stats nilizonazo kuhusu Jeshi letu na hizi bado hazijawa updated lakini ni za mpaka 2007 na pili ni kweli hawana UAV hata moja japo yule mdosi wa pale AVALON alikuwa katika process hiyo ya kutaka kuwauzia za kizamani toka Czech republic

Tuna wanajeshi 23,000

ambako kwenye army tuna 23,000

navy 1,000

Air 3,000

paramilitary including mgambo walimvua nguo machinga wako 1,400

Resevists wetu wako 80,000 (tena hawa ni joint)

naweza kukupa wanatumia kiasi gani na na mpka 2007 wana silaha za namna gani lakini aibu zaidi iko kwenye airforce yetu ambayo inshort have VIRTUALLY NO AIR DEFENCE ASSETS SERVICEABLE!

Sasa JK alikuwa ni mwanajeshi and one would expect kuwa angeweza kuongea na jamaa tukaendelea kupungua Jeshi ka tukawa na jeshi dogo lakini effective kwa kuwapa vyombo vya kufanyia kazi. Last time i checked i couldnt belive eti tuna tumia LCU2 YUNNAN ambazo kusema ukweli zimepitwa na wakati

Sasa hizopesa wanazoiba kule BOT, RICHMOND na kwingineko tuneweka kubeef up navy kule Lake Vivctoria kutokana na eneo lenyewe kujaa wakorofi toka nchi jirani

Anywa hii thread ilikuwa ni ya intelligence kama kuna mtu anaweza aanzishe thread tuwajadili wanajeshi wetu wanavyoteseka huku wanasiasa wakiendelea kutuibia
 

Its an open secret what they have and what they dont have:

kwanza naweza kukupa stats nilizonazo kuhusu Jeshi letu na hizi bado hazijawa updated lakini ni za mpaka 2007 na pili ni kweli hawana UAV hata moja japo yule mdosi wa pale AVALON alikuwa katika process hiyo ya kutaka kuwauzia za kizamani toka Czech republic

Tuna wanajeshi 23,000

ambako kwenye army tuna 23,000

navy 1,000

Air 3,000

paramilitary including mgambo walimvua nguo machinga wako 1,400

Resevists wetu wako 80,000 (tena hawa ni joint)

naweza kukupa wanatumia kiasi gani na na mpka 2007 wana silaha za namna gani lakini aibu zaidi iko kwenye airforce yetu ambayo inshort have VIRTUALLY NO AIR DEFENCE ASSETS SERVICEABLE!

Sasa JK alikuwa ni mwanajeshi and one would expect kuwa angeweza kuongea na jamaa tukaendelea kupungua Jeshi ka tukawa na jeshi dogo lakini effective kwa kuwapa vyombo vya kufanyia kazi. Last time i checked i couldnt belive eti tuna tumia LCU2 YUNNAN ambazo kusema ukweli zimepitwa na wakati

Sasa hizopesa wanazoiba kule BOT, RICHMOND na kwingineko tuneweka kubeef up navy kule Lake Vivctoria kutokana na eneo lenyewe kujaa wakorofi toka nchi jirani

Anywa hii thread ilikuwa ni ya intelligence kama kuna mtu anaweza aanzishe thread tuwajadili wanajeshi wetu wanavyoteseka huku wanasiasa wakiendelea kutuibia

Kuhusu TISS iliundwa kimfumo wa MOSSAD na ata jengo la makao makuu yao lilijengwa na hao hao jamaa, sasa performance yao inakaribiana na MOSSAD kwa sasa na miaka ya nyuma lets say wakati wa vita za ukombozi kusini mwa Afrika?

Inabidi kuwe na jukwaa la Security issues mkuu.
Angalia jeshi letu lilivyofanya kwenye hii exercise ni ya zamani kidogo lakini
http://www.aba.mil.za/results.htm

chini hapo ni Shenyang zetu
11ae642.jpg
 
GT, Icadon,

Shukrani sana kwa shule.

I still believe TISS management and leadership failed Taifa! The fact they allowed themselves to be bulldozed by politician for matters that are not of national Security Interest like searching for where is JF tells us TISS is becoming a joke.

I agree we need TISS to be modernized by looking at where the world is and where Tanzania interests are?

Are we in anyway desire to remain a Powerbroker in Africa? what about East, Central and South? have we caved in to South Africa now Mbeki and not Botha is in Power?

I trylly believe Tanzania can become a super power in Africa using its natural wealth and stability. the question is what will the powers (Government) do on this?

We have several threats political, civil and economic which are free of ideology (not ujamaa and ubepari anymore).

The question is what is TISS doing to project Tanzania's power against Uganda, Rwanda, Kenya, Zambaia, Mozambique, Congo , Burundi, Sudan, Ethiopia, Zimbabwe, Namibia, Malawi and DRC? be economically or politically?

What is TISS doing to protect Tanzania against the Economical Mafia who are an arm length away from dictating how we vote? If Gire, was capable to deceive our Prime minister and was awarded a huge contract to supply suppliment energy (electricity) and he had no single ounce of Tech how and finance to see the project go through, one has to ask, how did Gire brothers got so close to touch our "football"?

Tuendelee!
 
Mods naomba hii muinganishe na ile thread tunayoendelea nayo ya Rev kishoka ya TISS kwani zote zinahusiana
 
Nimekuwa nikifuatilia thread hii kwa karibu sana na kuna mambo ambayo yananigusa kwa kina na yamenisaidia kuona jambo moja muhimu ambalo sina budi kulitungia hoja. Asanteni sana wachangiaji!!
 
Nimekuwa nikifuatilia thread hii kwa karibu sana na kuna mambo ambayo yananigusa kwa kina na yamenisaidia kuona jambo moja muhimu ambalo sina budi kulitungia hoja. Asanteni sana wachangiaji!!

mzee tunaomba input yako humu maana unategemewa sana humu
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom